Recent posts
12 May 2021, 12:47
Wananchi watakiwa kufuatili na kuhoji miradi ambayo imekamilika na haitumiki
Na; Mindi Joseph Serikali imehimizwa kuwashirikisha wananchi katika ujenzi wa miradi ya maendeleo ili kuokoa hasara inayojitokeza kufuatia asilimia 36 ya miradi iliyokamilika Nchini kutotumika licha ya kugharimu rasilimali nyingi za fedha. Taswira ya habari imezungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa…
12 May 2021, 10:12
Waziri mkuu azindua vitabu vya miongozo ya utayarishaji wa miradi ya maji
Na; Mindi Joseph waziri mkuu kasimu majaliwa amezindua vitabu vya miongozo ya utayarishaji wa miradi ya maji ili kupunguza changamoto ya maji nchini. Akizungumza baada ya kuzindua mwongozo huo Kwenye kikao cha watendaji wa sekta ya maji nchini LEO jijini…
11 May 2021, 14:05
Watoto wa kike wahamasishwa kupenda masomo ya sayansi
Na; Mariam Matundu. Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF), Justina Mashiba amesema kupitia miradi ya mfuko huo wamekuwa wakitoa mafunzo yenye lengo la kumuhamasisha mtoto wa kike kupenda masomo ya sayansi, kuwa mbunifu na kupenda kujifunza masuala…
11 May 2021, 13:08
Wananchi wametakiwa kuunga mkono juhudi za kuhamasisha ubunifu wa teknolojia,
Na; Fred Cheti . Serikali imewataka wananchi kuunga mkono juhudi zake katika kuhamasisha ubunifu wa teknolojia ili matumizi yake yaweze kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao. Wito huo umetolewa leo na waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
11 May 2021, 12:40
Jamii yatakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya kuambukizwa na yasiyo yak…
Na; Mariam Matundu. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya kuambukizwa na yasiyo ya kuambukizwa ikiwemo Covid 19 ili kulinda afya zao . Hayo yamesemwa na afisa afya wa jiji la Dodoma Abdallah Mahiya na kuongeza kuwa kutokana…
11 May 2021, 11:15
Serikali kuimarisha na kufungua mipaka ya masoko katika Nchi za kanda ya Afrika…
Na;Mindi Joseph. Serikali imeahidi kuendelea kuwa na uchumi imara kwa kuimarisha na kufungua mipaka ya masoko katika nchi za kanda ya Africa mashariki na maziwa makuu. Akizungumza katika Mahojiano na Taswira ya habari Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud…
11 May 2021, 10:54
Wakazi jijini Dodoma wamehamasishwa kujiunga na Bank ya Amana.
Na; Mariam Kasawa. Wakazi jijini Dodoma wamehamasishwa kufungua akaunt katika Bank ya Amana kwani ni nafuu na rahisi kutoa huduma kwa jamii. Akizungumza na kapu kubwa la Dodoma fm meneja wa bank ya Amana tawi la Dodoma Bw. Athuman Julius…
11 May 2021, 08:24
Wakazi Makulu waomba wazazi wanao katisha watoto masomo wachukuliwe hatua za kis…
Na;Benjamin Jackson. Kutokana na kuzuka kwa tabia ya wazazi kusitisha masomo ya Watoto wao ya elimu ya sekondari pindi wanapo hitimu elimu ya msingi ,baadhi ya wananchi wameiomba serikali kuchukua hatua kali kwa wazazi wenye tabia kama hiyo. Wakizungumza na…
10 May 2021, 13:19
Wakazi wa mtaa wa Makulu waomba kuongezewa vifaa kwaajili ya kusafisha mazingira
NA;Alfredy Sanga. Viongozi wa Mtaa wa Makulu jijini Dodoma wameelezea changaoto wanazokutana nazo kila ifikapo mwisho wa mwezi wanapowaongoza wananchi kufanya usafi. Akizungumza na Dodoma Fm balozi wa Mtaa wa Makulu Bw.Peter Salali amesema tangu kuanzishwa kwa utaratibu wa ufanyaji…
10 May 2021, 12:23
Serikali yaahidi kuwalinda wabunifu na wavumbuzi ili kuendelea kutengeneza ajira…
Na;Mindi Joseph Serikali imesema itaendelea kuwalinda wabunifu na wavumbuzi mbalimbali kupitia sheria ya alama ya biashara na huduma ya mwaka 2000 ili kuendelea kutengeneza ajira nchini. Akizungumza na Taswira ya habari Raphael Mtalima Afisa utumishi na utawala mwandamizi kutoka Brela…