Recent posts
17 May 2021, 13:22
kujengwa kwa soko la kimataifa Kongwa kutaongeza fursa za ajira
Na; Benard Filbert Kujengwa kwa chuo cha kilimo pamoja na soko la mazao la kimataifa katika Kata ya Mtanana Wilaya ya Kongwa imeelezwa itaongeza fursa nyingi za ajira kwa wananchi wa eneo hilo. Hayo yameelezwa na diwani wa Kata hiyo…
17 May 2021, 12:26
Zaidi ya Bil.635 zatengwa ujenzi wa barabara nchi nzima
Na; Yussuph Hans Zaidi ya shilingi Bilion 635 kutoka Mfuko wa Barabara zimetengwa kwa ajili ya matengezo ya Barabara Nchini kwa kipindi cha Mwaka 2021/22. Hayo yamebainishwa leo bungeni na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mh Leonard Madaraka Chamuriho wakati…
17 May 2021, 11:56
Miundombinu mibovu chanzo cha ugumu wa safari Kikuyu kaskazini
Na; Shani Nicolous Wakazi wa kata ya Kikuyu kaskazini jijini Dodoma wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara katika Kata hiyo hali inayosababisha ugumu wa usafiri hasa msimu wa mvua wa mvua. Wakizungumza na Dodoma fm wakazi hao wamesema kuwa ni…
13 May 2021, 13:00
Wahanga , ukatili wa kijinsia walalamika kusubirishwa muda mrefu wanapokwenda ku…
Na;Mindi Joseph. Moja ya changamoto inayotajwa kuwakabili wahanga wa ukatili wa kijinsia ni kusubirishwa kwa muda mrefu wanapokwenda hospitali kupatiwa matibabu wakati mwingine kutopata matibabu. Ili kufahamu kiini cha changamoto hiyo na hatua wanazochukua pindi wanapowapokea wahanga wa vitendo hivyo…
13 May 2021, 12:13
Mama lishe zingatieni usafi ili kuepusha maambukizi ya homa ya Ini
NA; SHANI NICOLOUS. Wito umetolewa kwa mama lishe jijini Dodoma kuzingatia usafi katika shughuli zao, hususani wa vijiko vinavyotumika kulia chakula ili kuepusha maambukizi ya ugonjwa wa homa ya ini. Akizungumza na Taswira ya Habari daktari kutoka Hospitali ya Benjamini…
13 May 2021, 11:46
Uhaba wa rasilimali fedha ulichangia kukwamisha mashindano ya Sayansi na teknolo…
Na; Benard Filbert. Ukosefu wa rasilimali fedha umetajwa kuwa sababu iliyokuwa ikipelekea Wizara ya elimu sayansi na teknolojia kushindwa kufanya mashindano ya kitaifa ya sayansi teknolojia na ubunifu katika ngazi za Wilaya. Hayo yameelezwa na profesa Kipanyula ambaye ni mkurugenzi…
13 May 2021, 10:39
Waandishi wametakiwa kutumia malengo endelevu kuibua changamoto za jamii.
Na; Yussuph Hans. Waandishi wa Habari wa Redio za kijamii Nchini wametakiwa kutumia malengo ya maendeleo endelevu ya 2030 katika kuibua changamoto mbalimbali zilizopo katika jamii zao kwa lengo la kuleta ufumbuzi. Hayo yamesemwa na Afisa Programu wa shirika la…
12 May 2021, 13:43
Haki elimu yataja vipaumbele katika mabadiliko ya sera ya elimu
Na; Mariam Matundu Imeelezwa kuwa ili Tanzania kuwa na elimu jumuishi yenye ufanisi ni muhimu sera ya elimu ieleze wazi suala hilo na kuweka vipaumbele katika mitaala jumuishi ,pamoja na utoaji wa elimu nyumbufu kwa ngazi zote. Hayo yameelezwa na…
12 May 2021, 13:17
Barabara kata ya Mtanana A hadi Ndalibo kuanza marekebisho hivi karibuni
Na; Benald Filbert Barabara zilizopo katika kata ya Mtanana wilaya ya Kongwa zimeingizwa kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2021/22 ili kufanyiwa ukarabati kuanzia eneo la Mtanana A hadi Ndalibo, kwa lengo la kuondoa usumbufu ambao wananchi wamekuwa wakikutana nao.…
12 May 2021, 13:00
Wazazi kata ya makanda wataka matokeo chanya kwa wanafunzi
Na; Victor Chigwada Kutokana na matokeo yasiyokuwa ya kuridhisha kwa wanafunzi wa shule za sekondari katika Kata ya Makanda wazazi wametaja kilichosababisha hali hiyo ni kuwepo kwa kambi za kitarafa. Baadhi ya wazazi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema…