Recent posts
29 June 2021, 11:21
Ukosefu wa maji safi na salama waathiri uchumi wa kijiji cha Asanje
Na; Benard Filbert. Ukosefu wa huduma ya maji safi na salama katika kijiji cha Asanje wilayani bahi imetajwa kuathiri shughuli za kiuchumi kwa wakazi wa kijiji hicho. Hayo yameelezwa na wakazi wa kijiji hicho wakati wakizungumza na taswira ya habari…
28 June 2021, 13:01
Jamii imetakiwa kufuatilia na kufahamu sheria ndogondogo za utunzaji wa mazingir…
Na; JOAN MSANGI. Imeelezwa kuwa endapo jamii itafuatilia na kufahamu sheria ndogondogo za utunzaji wa mazingira itasaidia kwa kiasi kikubwa katika utunzaji wa mazingira pamoja na kuwa na mazingira bora. Hayo yameelezwa na Bw.Dicksoni Kimaro Afisa Mazingira wa jiji la…
28 June 2021, 12:42
Mwenyekiti wa baraza la Taifa la mashirika yasiyo ya kiserikali atangaza mchakat…
Na;Mindi Joseph . Mwenyekiti wa kamati wa baraza la taifa la mashirika yasiyo yakiserikali NaCoNGO Wakili Flaviana Charles ametangaza kuanza kwa mchakato wa uchaguzi katika ngazi ya mikoa yote nchini unaoshirikisha wawakilishi waliochaguliwa kutoka kila wilaya. Akizungumza leo jijini Dodoma…
28 June 2021, 11:48
Rasilimali za Taifa zikisimamiwa vyema zitanufaisha maisha ya kila Mtanzania
Na;Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa endapo Rasilimali za Taifa zitasimamiwa vizuri pamoja na kufanyia kazi mapendekezo ya mkaguzi na mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali zitanufaisha vyema Maisha ya kila Mtanzania. Hayo yamebainishwa leo Jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Taasisi ya…
28 June 2021, 11:26
Waganga na wakunga watiba asilia watakiwa kujua sheria ili kuepusha migogoro kwa…
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa uelewa mdogo wa sheria kwa waganga wa tiba za asili nchini ni sababu inayo pelekea kutokea kwa migogoro mingi katika jamii. Hayo yameelezwa na katibu wa umoja wa waganga na wakunga asilia nchini Bwana Lucas…
26 June 2021, 15:15
Waathirika wa dawa za kulevya Nchini wasaidiwe
Na;Mindi Joseph Serikali imesema tatizo la matumizi ya Dawa za kulevya Nchini limeendelea kuongezeka siku hadi siku huku akitoa Maelekezo mbalimbali kwa kuwasiadia waathirika wadawa za kulevya kiuchumi ili wasirudi katika matumizi ya Dawa hizo. Akizungumza hii leo Jijini Dodoma…
26 June 2021, 15:07
Mkutano wa wadau kuchangia maoni uboreshaji wa mitaala ya elimu Nchini wafanyika…
Na,Mindi Joseph . Serikali imesmea ni vyema kusitisha mabadiliko yoyote kwenye mitaala ya Ngazi ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari iliyopo sasa Nchini mpaka mchakato wa wadau kuchangia maoni ili kuwa na Mtaala ambao ni shirikishi na jumuishi utakapokamilika.…
25 June 2021, 14:07
Iyumbu waishukuru serikali kwa kusimamia ipasavyo migogoro ya Ardhi
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Iyumbu jijini Dodoma wameishukuru Serikali kwa kusimamia ipasavyo utatuzi wa migogoro ya ardhi. Baadhi ya wanachi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema tangu Diwani wa Kaya yao alipoingia madarakani ameshirikiana na wananchi…
25 June 2021, 13:49
Rais Samia Suluhu amewataka viongozi wa dini Nchini kuendeleza mapambano dhidi y…
Na; FRED CHETI. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassani leo June 25 amewataka viongozi wa dini nchini kuendeleza mapambano dhidi ya janga la Corona. Akizungumza wakati akihutubia baraza la Maaskofu wa jimbo katoliki Tanzania jijini…
25 June 2021, 13:35
Asasi za kiraia zapongezwa mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Na; Benard Filbert. Kamishna msaidizi wa kinga na huduma za jamii kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya Bi.Moza Makumburi amezipongeza asasi mbalimbali za kiraia zinazoshirikiana na Serikali kuzuia matumizi na biashara hiyo nchini. Akizungumza na Dodoma…