Recent posts
8 July 2021, 11:11
Kampeni ya zero migogoro yafanikiwa kusikiliza kesi zaidi ya elfu moja kwa siku…
Na; Shani Nicolous. Kampeni ya zero migogoro ya ardhi Mkoani Dodoma imefanikiw kusikiliza kesi zaidi ya elfu moja kwa siku mbili huku baadhi ya kesi zikitatuliwa papo kwa papo na nyingine zilizohitaji kufika maeneo husika zikiendelea kufanyiwa kazi. Akizungumza na…
6 July 2021, 14:01
Baadhi ya wafanyakazi wa ndani waelezea kukumbana na changamoto ya ukatili na un…
Na;Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa licha ya mchango mkubwa katika Familia, bado wafanyakazi wa ndani wanakabiliwa na changamoto ya kufanyiwa vitendo vya Ukatili na Unyanysaji wa kijinsia kutoka kwa waajiri wao, wanafamilia, ndugu na marafiki. Mmoja wa wasaidizi wa kazi za…
6 July 2021, 12:15
Watumishi wa wizara za maji na mamlaka zake watakiwa kuwa na lugha nzuri kwa wat…
Na; Pius Jayunga. Waziri wa maji Jumaa Aweso amewataka watumishi wa Wizara ya maji na mamlaka zake kuwa na lugha nzuri kwa wateja wao ili kuchochea utoaji wa huduma bora za maji kwa wananchi maeneo mbalimbali Nchini. Kauli hiyo ameitoa…
6 July 2021, 11:49
Wakazi Mkutani walazimika kutembea kilomita sita kutafuta maji
Na; Benard Filbert. Wakazi wa Kijiji cha Mkutani Kata ya Hogoro Wilayani Kongwa wanakabiliwa na changamoto ya huduma ya maji safi na salama hali ambayo imekuwa ikiwalazimu kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo. Hayo yameelezwa na wakazi hao wakati wakizungumza…
5 July 2021, 12:31
Wakazi wa kata ya Iduo waiomba serikali kufanya marekebisho ya barabara
Na; Beanard Filbert. Wakazi wa kata ya Iduo Wilayani Kongwa wameiomba Serikali kuhakikisha wanafanya marekebisho ya miundombinu ya barabara katika Kata hiyo ili kuepusha usumbufu ambao wamekuwa wakikutana nao hususani katika msimu wa mvua. Hayo yameelezwa na wakazi hao wakati…
5 July 2021, 11:32
Jamii imeshauriwa kutumia vyakula mchanganyiko ili kupunguza magonjwa yasiyo na…
Na; Shani Nicolous. Jamii imeshauriwa kutumia vyakula mchanganyiko vya kujenga mwili ili kupunguza magonjwa yasiyokuwa na ulazima pamoja na madhara mengine ambayo yanatokana na uzito wakupindukia. Akizungmza na Dodoma FM Dr. Mathew kutoka Poly Clinic Jijini Dodoma amesema kuwa kumekuwa…
5 July 2021, 10:54
Wanafunzi wa vyuo watakiwa kujiandaa kisaikolojia kukabilia na changamoto ya aj…
Na;Yussuph Hans. Mjadala kuhusu tatizo la ajira Nchini limekuwa likichukua sura mpya na hii ni kutokana na ukubwa wa tatizo hilo ambalo linaendelea kuumiza vichwa vya watungaji wa sera na wadau wengine. Hali hii imepelekea baadhi ya wasomi na wachambuzi…
5 July 2021, 09:49
Wakazi wa Mlebe walia na changamoto ya upungufu wa madawa na wahudumu wa Afya
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlebe Kata ya Msamalo wanakabiliwa na uhaba wa wahudumu wa afya katika zahanati yao hali inayodhoofisha utoaji wa huduma za matibabu hasa kwa akina mama wajawazito. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira…
2 July 2021, 14:15
Wakuu wa idara na taasisi watakiwa kuhakikisha wanalipa fidia kabla ya kutwaa Ar…
Na;Yussuph Hans. Marufuku imetolewa kwa wakuu wa idara, taasisi pamoja na wakurugenzi kuhakikisha wanalipa fidia kwa wananchi kabla ya kutwaa ardhi yao ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa maridhio baina ya pande zote mbili. Akizungumza katika kikao cha uzinduzi wa…
2 July 2021, 11:53
Wakazi wa Miganga walalamikia kukatika kwa maji mara kwa mara
Na; Benard Filbert. Kukatika kwa maji kila mara katika mtaa wa miganga kata ya Mkonze mkoani Dodoma imetajwa kuwa kero kwa wakazi wa mtaa huo hali inayowalazimu kutumia maji ya visima ambayo sio salama kiafya. Hayo yameelezwa na wakazi wa…