Recent posts
12 May 2021, 13:17
Barabara kata ya Mtanana A hadi Ndalibo kuanza marekebisho hivi karibuni
Na; Benald Filbert Barabara zilizopo katika kata ya Mtanana wilaya ya Kongwa zimeingizwa kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2021/22 ili kufanyiwa ukarabati kuanzia eneo la Mtanana A hadi Ndalibo, kwa lengo la kuondoa usumbufu ambao wananchi wamekuwa wakikutana nao.…
12 May 2021, 13:00
Wazazi kata ya makanda wataka matokeo chanya kwa wanafunzi
Na; Victor Chigwada Kutokana na matokeo yasiyokuwa ya kuridhisha kwa wanafunzi wa shule za sekondari katika Kata ya Makanda wazazi wametaja kilichosababisha hali hiyo ni kuwepo kwa kambi za kitarafa. Baadhi ya wazazi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema…
12 May 2021, 12:47
Wananchi watakiwa kufuatili na kuhoji miradi ambayo imekamilika na haitumiki
Na; Mindi Joseph Serikali imehimizwa kuwashirikisha wananchi katika ujenzi wa miradi ya maendeleo ili kuokoa hasara inayojitokeza kufuatia asilimia 36 ya miradi iliyokamilika Nchini kutotumika licha ya kugharimu rasilimali nyingi za fedha. Taswira ya habari imezungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa…
12 May 2021, 10:12
Waziri mkuu azindua vitabu vya miongozo ya utayarishaji wa miradi ya maji
Na; Mindi Joseph waziri mkuu kasimu majaliwa amezindua vitabu vya miongozo ya utayarishaji wa miradi ya maji ili kupunguza changamoto ya maji nchini. Akizungumza baada ya kuzindua mwongozo huo Kwenye kikao cha watendaji wa sekta ya maji nchini LEO jijini…
11 May 2021, 14:05
Watoto wa kike wahamasishwa kupenda masomo ya sayansi
Na; Mariam Matundu. Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF), Justina Mashiba amesema kupitia miradi ya mfuko huo wamekuwa wakitoa mafunzo yenye lengo la kumuhamasisha mtoto wa kike kupenda masomo ya sayansi, kuwa mbunifu na kupenda kujifunza masuala…
11 May 2021, 13:08
Wananchi wametakiwa kuunga mkono juhudi za kuhamasisha ubunifu wa teknolojia,
Na; Fred Cheti . Serikali imewataka wananchi kuunga mkono juhudi zake katika kuhamasisha ubunifu wa teknolojia ili matumizi yake yaweze kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao. Wito huo umetolewa leo na waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
11 May 2021, 12:40
Jamii yatakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya kuambukizwa na yasiyo yak…
Na; Mariam Matundu. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya kuambukizwa na yasiyo ya kuambukizwa ikiwemo Covid 19 ili kulinda afya zao . Hayo yamesemwa na afisa afya wa jiji la Dodoma Abdallah Mahiya na kuongeza kuwa kutokana…
11 May 2021, 11:15
Serikali kuimarisha na kufungua mipaka ya masoko katika Nchi za kanda ya Afrika…
Na;Mindi Joseph. Serikali imeahidi kuendelea kuwa na uchumi imara kwa kuimarisha na kufungua mipaka ya masoko katika nchi za kanda ya Africa mashariki na maziwa makuu. Akizungumza katika Mahojiano na Taswira ya habari Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud…
11 May 2021, 10:54
Wakazi jijini Dodoma wamehamasishwa kujiunga na Bank ya Amana.
Na; Mariam Kasawa. Wakazi jijini Dodoma wamehamasishwa kufungua akaunt katika Bank ya Amana kwani ni nafuu na rahisi kutoa huduma kwa jamii. Akizungumza na kapu kubwa la Dodoma fm meneja wa bank ya Amana tawi la Dodoma Bw. Athuman Julius…
11 May 2021, 08:24
Wakazi Makulu waomba wazazi wanao katisha watoto masomo wachukuliwe hatua za kis…
Na;Benjamin Jackson. Kutokana na kuzuka kwa tabia ya wazazi kusitisha masomo ya Watoto wao ya elimu ya sekondari pindi wanapo hitimu elimu ya msingi ,baadhi ya wananchi wameiomba serikali kuchukua hatua kali kwa wazazi wenye tabia kama hiyo. Wakizungumza na…