Recent posts
26 April 2021, 05:52
Wakazi wilayani Chamwino wanatarajia kunufaika na mradi wa boresha lishe
Na; Selemani Kodima. Wakazi wa kijiji cha Chanhumba wilayani Chamwino wamesema wanatarajia kupata Elimu zaidi juu ya Lishe bora kupitia mfululizo wa Vipindi vya Redio vya Dodoma fm ili kusaidia kupunguza hali ya udamavu katika maeneo yao . Wakizungumza na…
23 April 2021, 14:58
Rais Samia Suluhu afanya uteuzi mwingine
Na; Ikulu Mawasiliano Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Hedwiga Swai kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania. Dkt. Swai anashika wadhifa huo kwa kipindi cha pili baada ya kipindi…
23 April 2021, 10:42
Uhaba wa Alizeti wachangia mafuta ya kula kupanda bei
Na; SALIM KIMBESI. Wafanyabiashara wa mafuta ya kupikia katika soko la Majengo jijini Dodoma wamesema kuwa uhaba wa zao la alizeti ndio umechangia bei ya bidhaa hiyo kupanda. Wakizungumza na Dodoma Fm baadhi ya wafanyabiashara hao wamesema kuwa, upatakanaji wa…
23 April 2021, 10:24
Kusudio la Rais Samia la kukutana na viongozi wa vyama vya siasa litasaidia ku…
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa azma ya rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu ya kukutana na viongozi wa vyama vya siasa Nchini itasaidia kuleta maelewano baina ya serikali na vyama vingine vya siasa. Akizungumza na Taswira ya…
23 April 2021, 09:14
Serikali yakiri hakuna malimbikizi ya malipo ya Pensheni kwa wastaafu
Na; Yussuph Hans Serikali imesema imelipa mafao mbalimbali kwa Wanachama waliokidhi vigezo ambapo katika kipindi cha Julai Mwaka 2020 mpaka Mwezi Machi Mwaka huu, imewalipa jumla ya Watumishi 93,661 Mafao yenye thamani ya Tsh Bilioni Mia Tatu Sabini na Saba…
22 April 2021, 15:46
Rais Samia akusudia kukutana na viongozi wa kisiasa
Na; Mariam Kasawa. Rais Samia ameliambia Bunge kuwa anapanga kukutana na viongozi wa kisiasa ili kwa pamoja waweke msimamo wa kuendesha shughuli za kisiasa. Rais Samia amesema hayo wakati akitaja namna anavyopanga kuboresha mazingira ya uhuru na demokrasia nchini Tanzania.…
22 April 2021, 12:19
Wazazi waiomba Serikali na Taasisi za Elimu kutilia mkazo somo la stadi za kazi…
Na ; Mariam Kasawa Wazazi jijini Dodoma wametoa wito kwa Serikali na taasisi za elimu nchini kutilia mkazo ufundishwaji wa masomo ya stadi za kazi na maisha ili kuwafanya wanafunzi kuwa na haiba nzuri pamoja uwezo wa kufanya kazi pindi…
22 April 2021, 11:25
Mlowa Bwawani kufikisha huduma ya maji katika maeneo yake ambayo hayajafikiwa
Na; Benard Filbert Kufuatia kukamilika kwa marekebisho ya mradi wa maji katika Kata ya Mlowa Bwawani Wilayani Chamwino, uongozi wa Kata umejipanga kufikisha huduma hiyo kwenye maeneo ambayo hayajafikiwa. Hayo yanajiri kufuati miezi kadhaa iliyopita mradi huo kushindwa kufanya kazi…
22 April 2021, 10:56
Chidilo walalamika kukosa huduma zitokanazo na nishati ya umeme.
Na; Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa huduma ya umeme katika Kijiji cha Chidilo Kata ya Mpalanga Wilayani Bahi kumechangia kwa kiasi kikubwa kakosekana kwa huduma nyingine zinazotegemea nishati hiyo. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wananchi wa Kijiji hicho wakati…
22 April 2021, 10:23
Vijana wajengewa uwezo kupitia shindano la usalama mtandaoni
Na; Mindi Joseph. Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema itaendelea kuboresha mawasiliano bora na salama kwa watumiaji kufuatia idadi ya watumiaji wa mtandao kufika milioni 27.9 Desemba 2020 mwaka ulio pita. Akizungumza wakati wa kufunga shindano la pili la masuala…