Recent posts
6 May 2021, 11:41
Wananchi wametakiwa kuwa na utamaduni wa kufanya utalii wa ndani.
Na; Mariam Kasawa Wananchi wametakiwa kuwa na utaratibu wa kufanya utalii wa ndani katika mbuga mbalimbali ili kufahamu vivutio vingi vya utalii vinavyo patikana hapa Nchini. Ushauri huo umetolewa na wawakilishi kutoka hifadhi ya Taifa Tanzania TANAPA wakati wakizungumza na…
6 May 2021, 07:59
Wananchi Makulu waomba bodaboda wanao fanya uhalifu wachukuliwe sheria kali
Na; Joan Msangi. Kufuatia baadhi ya watu wanaoendesha pikipiki maarufu kama bodaboda kudaiwa kujihusisha na uhalifu , wananchi katika Kata ya Makulu jijini Dodoma wameiomba Serikali kuwachukulia hatua kali za kisheria watakaobainika. Wakizungumza na Dodoma fm wananchi hao wamesema nyakati…
5 May 2021, 12:58
Utekelezaji ujenzi wa bomba la gesi dar es salaam hadi mombasa kukuza uchumi wa…
Na; Shani Nicolaus Makubaliano yaliyofikiwa kati ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu na Rais wa Kenya Uhuru Kenyata kuhusu ujenzi wa bomba la gesi kutoka Dar es Salaam hadi Mombasa yatafungua fursa za kiuchumi kwa mataifa yote mawili. Hayo yameelezwa…
5 May 2021, 11:37
Wananchi watakiwa kutunza utamaduni kujenga Taifa lenye utambulisho stahiki
Na; Fred Cheti Katika kuelekea siku ya uwanuai wa tamaduni duniani wito umetolewa kwa jamii kutunza na kuendeleza tamaduni za kitanzania katika ngazi zote ikiwemo vitu vya asili ili kujenga Taifa lenye utambulisho stahiki na amani. Wito huo umetolewa na…
5 May 2021, 11:09
wananchi wahimizwa kutunza miundombinu ya maji na barabara
Na; Thadei Tesha Wananchi jijini Dodoma wametakiwa kuendelea kutunza miundombinu ya maji na barabara ili iweze kutumika kwa muda mrefu kama ilivyokusudiwa. Wito huo umetolewa na wenyeviti wa mitaa ya Kiwanja cha Ndege Bw.Ignas Rufyadira na Bi.Zena Chiuja ambaye ni…
5 May 2021, 10:41
Kamati ya kudumu ya bunge yaridhishwa na utekelezwaji wa miradi Dodoma
Na; Mindi Joseph Kamati ya kudumu ya Bunge ya kilimo,Mifugo na Maji imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maji Mzakwe jijini Dodoma na Buigiri Wilayani Chamwino inayotajwa kupunguza adha ya maji kwa wananchi. Akizungumza katika ziara hiyo,Mwenyekiti wa kamati ya…
5 May 2021, 10:13
Waziri Ummy awataka Viongozi wa Mikoa na Wilaya kuendelea kuchapa kazi
Na; Nteghenjwa Hosseah Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za mitaa Mhe.Ummy Mwalimu amewataka Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kuendelea kuchapa kazi kama awali na sio kukaa…
4 May 2021, 13:40
Wafanyabiashara, wajasiriamali wapigwa msasa matumizi ya vipimo
Na; Alfred Bulahya Watumiaji wa vipimo mbalimbali jijini Dodoma wametakiwa kuhakikisha wanazingatia vipimo kwa mujibu wa sheria ili kuongeza thamani ya bidhaa zao. Hayo yamesemwa leo jijini Dodoma na katibu tawala wa Mkoa wa Dodoma Bi.Aziza Muba, wakati akizungumza na…
4 May 2021, 11:51
NGOs zatakiwa kusimamia miradi inayo lenga kuwasaidia wananchi
Na; Mariamu Matundu. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto anayeshughulikia Maendeleo ya Jamii, Mwanaidi Ali Khamis ameyaagiza Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) nchini kuhakikisha miradi yanayoisimamia inalenga kuwasaidia wananchi ili waweze kujikwamua kiuchumi. Naibu Waziri…
4 May 2021, 10:22
RUWASA kutatua kero ya maji katika vijiji vya Msembeta, Chigongwe, Nala, na Luga…
Na; Selemani kodima Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini wilaya ya Dodoma umesema una mpango wa kumaliza changamoto ya maji katika maeneo ya Msembeta,Chigongwe ,Nala pamoja na Lugala kwa kutoa maji bonde la Mzakwe . Hayo yamesemwa…