Recent posts
22 April 2021, 08:39
Watanzania wanatarajia nini kwenye hotuba ya Rais Samia ?
Na; Mariam Kasawa Rais Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuhutubia Bunge katika hotuba itakayotoa mwelekeo wa nini hasa amepanga kutimiza katika muhula wake wa kwanza madarakani. Hii itakuwa ni mara yake ya kwanza kufanya hivyo tangu aapishwe kuwa Rais Machi…
21 April 2021, 12:50
Dodoma jiji kucheza na Azam FC kesho uwanja wa Jamhuri Dodoma
Na; Matereka Junior Makocha wa timu zote mbili Dodoma jiji na Azam fc wamezungumzia maandalizi yao ya mwisho kuelekea mchezo wao wa kesho Alhamis katika uwanja wa Jamhuri.
21 April 2021, 12:27
Elimu ya Afya ya uzazi fumbo kubwa kwa vijana wasio na uelewa
Na; Mariam Matundu . Baadhi ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza kutoka vyuo mbalimbali wametajwa kuwa miongoni mwa vijana ambao bado hawana ujasiri wa kuzungumza masuala ya afya ya uzazi kwa uwazi. Hayo yamesemwa na kijana, mwanafunzi wa chuo cha…
21 April 2021, 10:44
Jamii yatakiwa kutambua kuwa haki sawa katika malezi itapunguza ukatili wa kijin…
Na; Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kuhakikisha inatoa haki sawa katika malezi kwa watoto wao wa kike na wakiume ili kuleta usawa wa kijinsia na kupunguza vitendo vya ukatili kwenye jamii. Wito huo umetolewa na afisa ustawi wa jamii Dodoma Bi.Faudhia…
21 April 2021, 10:27
Vitunguu kupanda bei , baada ya msimu wake kwisha
Na; Tosha Kavula. Imeelezwa kuwa uchache wa zao la vitunguu sokoni hivi sasa, unasababishwa na msimu wake wa mavuno kupita. Wakizungumza na Dodoma Fm wafanyabiashara wa zao hilo katika soko la Majengo wamesema hali hii imechangia bei ya zao hilo…
21 April 2021, 10:04
NEMC yafanya operesheni vifungashio visivyo na ubora.
Na; Mindi Joseph. Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Kanda ya Kati Dodoma limefanya operesheni ya ukaguzi wa vifungashio visivyokidhi ubora sokoni na kukamata vifungashio takribani kilo 125 na kuvitaifisha. Akizungumza na taswira ya Habari baada ya kufanya ukaguzi huo…
21 April 2021, 08:29
Hombolo walalamikia changamoto ya barabara inayopelekea vyombo vya usafiri kuhar…
Na ;Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Hombolo Makulu Wilaya ya Dodoma mjini wametoa kilio chao juu ya changamoto ya barabara ambayo huwa inaathilika kwa kipindi cha mvua na kusababisha kero kwa watumiaji Taswira ya habari imezungumza na Mwajuma Rashidi…
21 April 2021, 07:52
Wakulima washauriwa kutumia njia bora za kuhifadhi mazao
Na ;Thadei Tesha. Wakulima wameshauriwa kutumia njia bora za uhifadhi wa mazao ili kuhakikisha mazao yao yanadumu kwa muda mrefu bila ya kuharibika. Akizungumza na taswira ya habari afisa kilimo wa jiji la Dodoma Bi.Gloria Woisso amebainisha njia bora za…
20 April 2021, 12:42
Wafanyabishara Soko la Majengo, “bei za bidhaa hazijapanda”
NA; RAMLA SHABAN Wakati wafanyabiashara wa viazi vitamu jijini Dodoma wakisema bei ya zao hilo haijapanda katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan,wanunuzi wengi wameendelea kulalamikia kupanda kwa bei hizo. Wakizungumza na Dodoma fm baadhi ya wafanyabiashara katika soko la Majengo …
20 April 2021, 12:18
Sekondari ya Wotta kutatuliwa kero ya madawati
Na; Selemani Kodima Changamoto ya upungufu wa madawati katika shule ya Sekondari Wotta Wilayani Mpwapwa huenda ikapatiwa ufumbuzi baada ya kupatikana fedha za mfuko wa jimbo kiasi cha shilingi milioni moja na elfu thelathini na mbili. Baadhi ya wananachi wakizungumza…