Dodoma FM
Dodoma FM
24 September 2021, 09:24
Na; Mariam Matundu . Katika kuendelea kutatua changamoto za miundombinu ya elimu wakazi wa Kijiji cha Iyumbwi Kata Ya Nghumbi Wilayani Kongwa wanaendela na ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi Iyumbwi kwa nguvu zao .Katika ujenzi…
24 September 2021, 09:08
Na; Thadey Tesha. Wito umetolewa kwa wananchi jijini Dodoma kutunza miundombinu ya maji hususani ya maji taka ili kuepuka athari za kiafya zinazoweza kujitokeza. Wito huo umetolewa na MwenyeKiti wa mtaa wa Kiwanja ch ndege Bw. Ignas Joseph baada ya…
23 September 2021, 11:22
Na; Nadhiri Hamisi. Wadau wa utunzaji wa mazingira Nchini wameiomba Serikali kuwahusisha vijana na makundi maalum katika mapambano dhidi ya mabadiliko ya tabianchi na utunzaji wa mazingira. Wakizungunza na Dodoma fm Neema Mwaikyusa mtaalamu wa mazingira na Bw. Sudi Salum…
21 September 2021, 12:51
Na; Benard Filbert. Jamii imetakiwa kuacha kutupa hovyo barakoa zilizotumika ili kuepuka kusababisha magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya hewa. Hayo yameelezwa na afisa afya wa jiji la Dodoma Abdallah Mahiya wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu athari za utupaji…
21 September 2021, 12:34
Na;Mindi Joseph. Serikali imeombwa kutoa kipaumbele kikubwa cha bajeti na sera katika kuanzisha na kuendeleza shule jumuishi kwa watoto ili kusaidia maendeleo ya elimu maalumu. Akizungumza na taswira ya habari Msimamizi wa Sera kwenye Mradi wa Elimu Jumuishi unaotekelezwa Mkoani…
21 September 2021, 12:20
Na; Shani Nicolous. Kufuatia maadhimisho ya siku ya amani Duniani mwenyekiti wa wenyeviti wote jijini Dodoma Matwiga Kiyatya amesema wajibu wao ni kuhakikisha mitaa yote jijini inakuwa katika hali ya amani. Akizungumza na Taswira ya habari kupitia kipindi cha Dodoma…
21 September 2021, 12:08
Na ; Thadei Tesha. Wazazi jijini hapa wameshauriwa kuhakikisha wanawasaidia watoto wao waliohitimu darasa la saba katika kuwawezesha kupata mafunzo mbalimbali katika kipindi hiki wanachosubiri matokeo ili kupunguza vitendo vya ukatili na watoto kuharibikiwa kimaadili katika jamii. Akizungumzia athari ambazo…
20 September 2021, 12:04
Na; Alfred Bulahya. Jamii imeshauriwa kuacha kuchangia nguo na badala yake kila mmoja atumie mavazi yake ili kuepusha kupata maambukizi ya magonjwa mbalimbali ya kuambukiza. Wito huo umetolewa na Tabibu Joseph Zabron Kusanya wakati akizungumza na Taswira ya habari ofisini…
20 September 2021, 11:54
Na; Shani Nicolous. Imeelezwa kuwa matumizi ya pombe katika jumuiya na kwenye mikusanyiko yanachangia kwa kiasi kikubwa maambukizi ya uviko 19. Akizingumza na Taswira ya habari Dr. Missan Yango kutoka hospitali ya Mkoa Dodoma amesema kuwa kutumia pombe sehemu za…
20 September 2021, 11:42
Na; Mariam Matundu . Baraza la taifa la uwezeshaji wananchi Kiuchumi (NEEC)linatarajia kuzindua Kanzi data ya wafanyabiashara wa Tanzania ili kuongeza wigo wa uwekezaji. Hayo yamesemwa na Katibu Mtendaji wa baraza hilo Beng’i Issa wakati alikitoa taarifa juu ya Kongamano…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-