Recent posts
25 October 2021, 10:48
Jamii imetakiwa kuacha tabia ya kuvaa miwani ya urembo bila kufanya uchunguzi wa…
Na; Alfred Bulahya. Jamii imetakiwa kuacha tabia ya kuvaa miwani ya urembo bila kufanya uchunguzi wa miwani hiyo ili kuepusha kupata magonjwa yasiyo ya lazima. Wito huo umetolewa na mtaalamu wa afya kutoka hospital ya rufaa ya mkoa wa Dodoma…
23 October 2021, 15:23
Baraza la Madaktari Tanganyika laridhia kufanyika kwa mtihani maalum kwa wanafun…
Na;Mindi Joseph . Baraza La Madaktari Tanganyika limeridhia na kuruhusu kufanyika kwa Mtihani Maalumu Kwa Wanafunzi Wa Udaktari Wanaotarajia Kujiunga Na Utarajali Huku Nafasi Hiyo ikilenga tu wale Waliokutana Na Changamoto Wakati Wakifanya Usajili Lakini Hawakuwa Na Vigezo. Akizungumza na…
23 October 2021, 14:48
Wananchi watakiwa kushirikishwa kuweka mifumo bora ya kisera na kisheria
Na;Yussuph Hans. Asasi za kiraia Nchini zimetakiwa kuwa chachu ya kuleta maendeleo kwa kuisadia Serikali katika mipango mbalimbali ili kuwafikia wananchi wengi zaidi. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Haki Rasilimali Racheal Chagonja wakati akizungumza na Dodoma Fm katika…
23 October 2021, 14:39
Spika Ndugai azitaka Asasi za kiraia nchini kutatua changamoto za watanzania na…
Na;Mindi Joseph . Spika Wa Bunge La Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh.Job Ndugai amezitaka Asasi Za Kiraia Nchini kutokutumika na badala yake zifanye Kazi Kwa Weledi na Uadilifu. Akizungumza Leo Jijini Dodoma Spika wa Bunge Job Ndugai wakati wa…
22 October 2021, 12:27
Kukosekana kwa utu ni chanzo cha kushamiri kwa biashara ya dawa za kulevya
Na; Fred Cheti. Kukosekana kwa utu inatajwa kuwa chanzo cha kushamiri kwa biashara ya dawa za kulevya duniani kote kwa kua biashara hiyo inatajwa kudhalilisha utu na heshima ya binadamu. Hii ni kulingana na shirika la habari la kidini la…
22 October 2021, 12:15
Wananchi waonyesha muitikio mdogo katika kujitokeza kupima Afya ya macho
Na;Yussuph Hans. Licha ya Serikali kuhakikisha Huduma ya upimaji Macho inapatikana katika vituo mbalimbali vya afya nchini, imeelezwa kuwa kasi ya kujitokeza kupima Afya ya Macho kwa Wananchi bado ndogo. Wakizungumza na Taswira ya Habari baadhi ya Wakazi jijini hapa,…
22 October 2021, 12:06
Wiki ya AZAKI kuanza kesho
Na;Mindi Joseph. Ikiwa kesho ni Wiki ya Asasi za kiraia nchini AZAKI imetajwa kukua zaidi na kuchangia maendeleo endelevu nchini pamoja na wananchi. Akizungumza leo jijini Dodoma Nesia Mahenge Mkurungezi Mkazi CBM Tanzania amesema kila kwenye maendeleo ya nchi AZAKI…
22 October 2021, 11:54
Jamii yaaswa kuacha tabia ya kutelekeza watoto ili kupunguza wimbi la watoto wa…
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kuacha tabia ya kutelekea watoto ili kupunguza wimbi la watoto wa mitaani. Wito huo umetolewa na mwanaharakati kutoka shirika lisilo la kiserikali la Kisedeti Ibrahm Mtangoo amesema kuwa wimbi kubwa la watoto wa…
21 October 2021, 14:05
Ukarabati wa barabara katika kata ya mnadani utapunguza usumbumbufu kwa wakazi w…
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa endapo ukarabati wa barabara unaoendelea katika mtaa wa Karume Kata ya Mnadani jijini Dodoma utakamilika utapunguza usumbufu kwa wakazi hao hususani kipindi Cha Mvua. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa mtaa huo wakati wakizungumza…
21 October 2021, 13:49
Serikali ya Tanzania yaendelea kuimarisha ushirikiano na nchi jirani ikiwemo ka…
Na; Selemani Kodima. Serikali ya Tanzania imeendelea na juhudi zake za kuimarisha ushirikiano na nchi jirani ikiwemo Burundi ambapo pamoja na mambo mengine imekusudia kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya kilimo. Kufuatia ushirikiano huo Waziri wa kilimo Mhe…