Recent posts
11 January 2022, 14:35
Viongozi wapya walio apishwa watakiwa kufanya kazi kwa bidii
Na; Thadei Tesha. Wananchi jijini Dodoma wamewaomba viongozi wapya walioapishwa kufanya Kazi kwa bidii kwa lengo la kuwaletea wananchi maendeleo. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi jijini hapa wamesema viongozi hao wanao wajibu mkubwa wa kuhakikisha wanafanya Kazi kwa bidii…
11 January 2022, 14:14
Zoezi la kuchukua fomu za uspika wa Bunge laendelea
Na; Fred Cheti. Zoezi la uchukuaji wa fomu kwa ajili ya kugombea kiti cha uspika wa bunge la Tanzania unaendelea ambapo baadhi ya viongozi na watu mbalimbali wameendelea kujitokeza katika zoezi hilo . Ni Katika makao makuu ya chama cha…
11 January 2022, 14:08
Chuo cha ufundi stadi chatarajiwa kujengwa Mlowa bwawani.
Na; Neema Shirima. Serikali ya Tanzania imepokea mradi wa kujenga chuo kikubwa cha ufundi stadi ambacho kitajengwa katika kata ya Mlowa bwawani ndani ya jiji la Dodoma Hayo yamebainishwa na diwani wa kata hio bwn Andrew ambapo amesema nchi ya…
20 December 2021, 13:53
Ujenzi wa eneo la machinga wazinduliwa jijini Dodoma
Na; Thadey Tesha. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mh Antony Mtaka Amezindua ujenzi wa eneo la wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga lililopo Bahi Road lenye uwezo wa kuchukua wamachinga zaidi ya 3800. Akizungumza katika uzinduzi huo mh Mtaka amesema kukamilika…
17 December 2021, 15:05
Tanzania yatakiwa kuwa na sera madhubutu ya nishati jadidifu
Na ;Mindi Joseph. Jukwaa la wadau wa nishati endelevu limesema Tanzania inahitaji sera madhubutu ya nishati jadidifu nyenye nyezo za utekelezaji katika mageuzi ya matumizi ya nishati na kuongeza usalama na upatikanaji wa nishati Nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa TaTEDO Eng.…
16 December 2021, 14:22
Wakazi wa Nzinje waiomba DUWASA kuwatatulia kero ya maji
Na;Mindi joseph . Wakazi wa mtaa wa Nzinje jijini Dodoma wameiomba Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira DUWASA kuwasaidia kutatua changamoto ya maji inayowakabili kwa muda mrefu. Wakizungumza na Dodoma Fm baadhi ya wananchi hao wanasema kutokana na…
16 December 2021, 14:12
Rais Samia kuunda wizara itakayo shughulikia masuala ya jinsia
Na; Mariam Matundu. Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ili kutekeleza kikamilifu ahadi za nchi kuhusu kizazi chenye usawa ataunda wizara maalumu itakayo shughulikia masuala ya jinsia . Rais samia amesema hayo katika uzinduzi wa…
16 December 2021, 13:57
Wakazi wa Ntyuka wametakiwa kuacha kupitisha mifugo barabarani
Na; Benard Filbert. Wafugaji katika Kata ya Ntyuka jijini Dodoma wametakiwa kuacha kupitisha mifugo yao barabarani ili kuepuka uharibifu wa barabara. Hayo yameelezwa na Diwani wa Kata hiyo Bw.Yona Mrema wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu utunzaji wa miundombinu…
14 December 2021, 13:50
Teknolojia ya kisasa kilimo cha umwagiliaji yawanufaisha wakulima
Na; Mindi Joseph. Wakulima katika skimu za kilimo cha umwagiliaji wametaja kunufaika na teknolojia ya kisasa ambayo ni mbadala wa matumizi ya rasimali maji. Baadhi ya wakulima kutoka Kiwere na Mafuruto, wamesema wamenufaika na teknolojia hiyo maarufu kwa jina la…
14 December 2021, 12:31
Wanawake wafurahishwa na utendaji kazi wa taasisi za kutetea haki za wanawake
Na ;Thadei Tesha. Wanawake waelezea jinsi wanavyo nufaika na taasisi mbalimbali zinazo tetea kundi la wanawake katika nyanja mbalimbali. Taswira ya habari imefanya mahojiano na baadhi ya wanawake kuhusiana na Namna walivyonufaika na harakati mbalimbali zinazofanywa na mashirika dhidi yao.…