Recent posts
10 December 2021, 12:25
Imeelezwa kuwa asilimia 70 watoto wenye ulemavu wa macho wamefaulu elemu ya msin…
Na; Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa asilimia 70 ya watoto wenye ulemavu wa macho waliosaidiwa kwa kupatiwa vifaa vya kusomea na kupewa kipaumbele shuleni, wamefaulu elimu ya msingi na kijiunga na sekondari. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Shirika la Light For The…
8 December 2021, 14:20
Jamii yatakiwa kuondoa hofu juu ya kuripoti matukio ya ukatili
Na; Shani Nicolaus . Wakati Tanzania ikiendelea kuungana na mataifa mengine katika kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia jamii imetakiwa kuondoa hofu juu ya kuripoti kesi za ukatili. Akizungumza na Dodoma fm msimsamizi mkuu wa dawati la jinsia…
8 December 2021, 13:07
Tume ya Taifa ya umwagiliaji imesema itaendelea kujenga miundonu pamoja na mabwa…
Na;Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imesema itaendelea kukabiliana na maadiliko ya tabianchi kwa kutumia teknolojia zinazotumia maji kidogo na kujenga miundombinu pamoja na mabwawa ya kutunza maji. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume hiyo Bw. Daudi Kaali amesema mabadiliko…
7 December 2021, 11:05
Wamiliki wa maabara watakiwa kusimamia ubora wa maabara zao
Na; Shani Nicolous. BODI ya Maabara Binafsi za Afya (PHLB) nchini inawasisitiza wamiliki na wataalamu wa maabara kote nchini, kusimamia ubora wa maabara zao ili kuleta huduma sahihi katika jamii. Hayo yamebainishwa jijini Dodoma na Msajili wa Bodi ya Maabara…
7 December 2021, 09:40
Watu wenye ulemavu waitaka jamii kuacha unyanyapaa
Na; Mariam Matundu. Watu wenye ulemavu wameitaka jamii kuacha dhana potofu ya unyanyapaa na kuwaona ni watu wasioweza kujieleza pale wanapofika katika maeneo kutoa huduma mbalimbali . Rajabu Mpilipili ni mkurugenzi wa taasisi ya Youth with disabilities organization na joyce…
3 December 2021, 10:20
Jamii yatakiwa kujenga vyoo bora ili kuepuka matatizo ya kiafya
Na; Benard Filbert. Wito umetolewa kwa jamii kujenga vyoo bora ili kuepuka adha ya kiafya ambayo inaweza kujitokeza. Wito huo umetolewa na afisa afya wa Jiji la Dodoma Abdallah Mahiya wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu utekelezaji wa kampeni…
30 November 2021, 13:17
Tanzania yatajwa kupata mafanikio makubwa katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru
Na; Dawati. Katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru wa Tanzania bara, Nchi inatajwa kupata mafanikio makubwa kupitia sekta ya maliasili, mali kale na utalii ikiwemo kukuza na kuimarisha shughuli za utalii Nchini. Naibu Waziri wa maliasili na utalii Mh.…
30 November 2021, 12:56
Serikali yapongezwa kwa kuruhusu wanafunzi waliopata ujauzito kurudi shule
Na; Yussuph Hans. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imepongeza hatua ya serikali kuruhusu wanafunzi waliopata ujauzito kurudi shuleni baada ya kujifungua. Akitoa taarifa hiyo Jijini Dodoma Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora,…
30 November 2021, 12:34
Serikali yatarajia kuzindua ujenzi wa ofisi za wizara awamu ya pili
Na; Mariam Matundu. Serikali inatarajia kuzindua ujenzi wa ofisi za Wizara awamu ya pili zinazojengwa katika mji wa Serikali pamoja na uzinduzi wa huduma za kijami ikiwemo uwekaji wa jiwe la msingi kituo cha polisi chenye hadhi ya daraja la…
29 November 2021, 13:56
Tanzania yaahidi kuendeleza ushirikiano na India
Na; Fred Cheti. Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na Serikali ya Uganda katika mambo mbalimbali ikwemo katika masuala ya elimu na biashara ili kuendelea kukuza uhusiano uliopo baina ya nchi hizo. Hayo yamesemwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…