Dodoma FM
Dodoma FM
18 September 2021, 03:14
17 September 2021, 13:54
Na ;FRED CHETI . Inaelezwa kuwa uelewa hafifu kuhusu sheria ndogo za usafi wa mazingira na rasilimali za asili umekua ukichangia kwa kiasi kikubwa uchafuzi wa mazingira katika jamiii. Hayo yamebainishwa na baadhi ya wakazi Jijini Dodoma wakati wakizungumza na…
17 September 2021, 13:44
Na; Benard Filbert. Licha ya mji wa Bahi Mkoani Dodoma kupokea fedha kiasi cha shilingi million 120 kwa ajili ya kuchimba kisima kipya ili kuongeza upatikanaji wa maji bado juhudi zinahitajika kutokana na wingi wa watu katika eneo hilo. Hayo…
17 September 2021, 04:01
16 September 2021, 14:01
Na;Mindi Joseph . Waziri wa Mambo y a Ndani ya Nchi George Simbachawene ameviagiza Vyombo vyote vya ulinzi na usalama Nchini kuanza kuchukua hatua za kisheria kwa wale ambao wanatumia mitandao ya kijamii vibaya ikiwemo kudhalilisha viongozi.Akizungumza leo Mtumba Jijini…
16 September 2021, 12:59
Na; Benard Filbert. Jamii imetakiwa kuacha kuwachukua watoto chini ya miaka 18 kufanya kazi za ndani kwani kufanya hivyo ni kinyume na sheria za Nchi ya Tanzania. Hayo yameelezwa na afisa maendeleo ya jamii Mkoa wa Dodoma Bi. Honoratha Rwegasira…
16 September 2021, 12:45
Na ;Victor Chigwada. Changamoto ya uhaba wa maji katika Kata ya Msanga Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma umeendelea kuwa kilio kikubwa kwa wananchi na kusababisha maji kununuliwa kwa bei kubwa. Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Msanga wameiomba Serikali kuwasaidia kupata…
16 September 2021, 03:09
15 September 2021, 14:48
Na ;Shani Nicolous . Siku moja baada ya uzinduzi wa mpango wa uelimishaji na uhamasishaji wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 uliofanyika jana baadhi ya wananchi wameeleza kuwa mpango huo utasaidia kuongeza uelewa katika jamii juu ya…
15 September 2021, 14:30
Na; Mariam Matundu. Serikali kwa kushirikiana na Wadau wa kutokomeza watoto wanaoishi mitaani wameazimia kuanza ukaguzi wa magari ya abiria ili kubaini usafirishaji wa watoto kwa lengo la kuzuia ongezeko la watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani. Hayo yamefikiwa katika…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-