Recent posts
26 November 2021, 13:53
nyumba 150 za watumishi umma zimeanza kujengwa eneo la nzuguni
Na;Mindi Joseph . Jumla ya nyumba 150 za watumishi wa umma katika eneo la Nzuguni zimeanza kujenga kupitia Miradi inayotekelezwa na wakala wa majengo Tanzania TBA jijini Dodoma huku zikitarajiwa kukamilika mwezi June 2022. Akizungumza katika Ziara ya viongozi wa…
26 November 2021, 13:38
Serikali imewataka wananchi walio omba vitambulisho vya Taifa kwenda ofisi za us…
Na; Fred Cheti . Serikali imewataka wananchi wote walioomba vitambulisho vya Taifa kwenda katika ofisi za Usajili za wilaya ,kata pamoja na vijini walipofanya usajili kwa ajili ya kwenda kuchukua vitambulisho hivyo badala ya kulalamika kuwa vitambulisho hivyo havitoki. Wito…
26 November 2021, 13:03
Mamlaka ya Serikali mtandao yaja na mfumo wa E. mrejesho
Na; Shani Nicolous. Mamlaka ya serikali mtandao ipo hatua za mwisho za usanifu wa mfumo unaoitwa E. mrejesho ambao utasaidia wananchi kuanadika pongezi au changamoto katika taasisi zote za umma. Akizungumza na Dodoma fm kupitia kipindi cha Dodoma live Kamishna…
26 November 2021, 12:36
Wanawake wapewe elimu ya kugombea nafasi mbalimbali
Na; Mariam Matundu. Tume ya taifa ya uchaguzi imeshauriwa kuwa inatoa elimu endelevu ya chaguzi mbalimbali hapa nchi ili kuwezesha wanawake kuelimika zaidi na kujitokeza kugombea nafasi za uongozi zinazojitokeza. Hayo yamesemwa na mbunge wa viti maalumu mkoa wa Mbeya…
26 November 2021, 11:50
Hatimaye Dodoma yapata kituo cha kwanza cha Tv
Na; Mariam Kasawa. kwa mara ya kwanza Mkoa wa Dodoma utakua na kituo cha Tv ambacho kitarusha matangazo yake moja kawa moja kutokea Dodoma. Akizungumza wakati wa kukabidhi leseni ya kituo hicho kipya mkurugenzi wa mamlaka ya mawasiliano kanda ya…
22 November 2021, 11:54
Wakazi wa Ihumwa waulalamikia mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF)
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Ihumwa Wilaya ya Dodoma mjini wameulalamikia mfuko wa maendeleo ya jamii(TASAF)juu ya vigezo walivyo zingatia katika usajili wa watu wenye uhitaji wa kusaidiawa na mfuko huo. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya…
22 November 2021, 10:39
Jamii yatakiwa kuhakikisha watu wanamaliza dozi ya chanjo ya sinopharm
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kuhakikisha watu wanamaliza dozi ya chanjo ya sinopharm mara baada ya kuchanja awamu ya kwanza. Wito huo umetolewa na Mratibu wa elimu ya afya Mkoa Dr .Nassoro Ally Matuzya amesema kuwa chanjo hiyo…
5 November 2021, 13:46
Rais Samia afungua kongamano la kumbukizi ya historia ya Maalim Seif Sharif Hama…
Na; Fred Cheti. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Novemba 5 ameshiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa kumbukumbu ya Maisha ya Hayati Maalim Seif Sharif Hamad. Akizungumza katika mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya…
5 November 2021, 13:26
Jamii yatakiwa kuweka tamaduni ya kuzungumza na vijana juu ya afya ya uzazi
Na; Mariam Matundu. Jamii imeshauriwa kuacha tamaduni za kutozungumza na watoto wao na badala yake wawe wa wazi katika kufikisha elimu ya afya ya uzazi. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya vijana wamesema kuwa wanakumbwa na sintofahamu juu ya…
5 November 2021, 12:59
Mchango wa sekta ya madini waongezeka na kufikia asilimia 7.7
Na;Mindi Joeph . Waziri wa Madini Dotto Biteko amesema Mchango wa sekta ya madini umeongezeka na kufikia asilimia 7.7 ya pato la taifa katika robo ya pili ya mwaka 2021 huku ukitarajiwa kufikia asilimia 10 ifikapo mwaka 2025. Akizungumza leo…