Recent posts
7 March 2022, 13:46
Jamii inahitaji zaidi Elimu ya Afya ya akili
Na; Benard Filbert. Wadau wa afya nchini wameombwa kuwekeza katika utoaji wa elimu ya afya ya akili kwa vijana ili kuwasaidia kuondokana na changamoto mbalimbali. Hayo yameelezwa na mkurugenzi wa huduma za tiba kutoka wizara ya afya wakati akizungumza na…
7 March 2022, 13:28
Wazazi watajwa kuwa chanzo cha watoto kuacha shule
Na; Neema Shirima. Imeelezwa kuwa baadhi ya wazazi wamekuwa chanzo cha watoto wao kutokukwenda shule kutokana na kutowanunulia vifaa vya shule pamoja na sare za shule Hayo yamesemwa na diwani wa kata ya Hombolo bwawani bwn Andrew Mseya wakati akizungumza…
7 March 2022, 12:43
Serikali yaombwa kufanya ukarabati katika shule kongwe za msingi
Na; Mariam Matundu. Serikali imeombwa kufanya ukarabati wa majengo katika shule kongwe za msingi ili kukabiliana na changamoto ya uchakavu wa majengo unaoathiri ufundishaji hasa kwa watoto wenye ulemavu. Shule ya msingi Iboni iliyopo wilayani Kondoa ni miongoni mwa shule…
3 March 2022, 15:05
Tanzania kuendelea kusimamia usawa wa kijinsia
Na; Mariam Matundu. Tanzania imezihakikishia nchi za Umoja wa Afrika kuendelea kusimamia usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kiuchumi katika sekta mbalimbali na kuwawezesha kupata fursa katika sekta hizo Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,…
3 March 2022, 14:11
Mgogoro kati ya Urusi na Ukraine watajwa kuleta athari za kiuchumi
Na; Benard Filbert. Mgogoro unaoendelea hivi sasa kati ya Urusi na Ukraine umetajwa kuleta athari kubwa za kiuchumi barani Afrika ikiwepo kupanda kwa bei ya nishati ya mafuta. Hayo yameelezwa na Profesa Enock Wiketie mchambuzi wa masuala ya uchumi kutoka…
1 March 2022, 15:53
Wakazi wa Mkoka waiomba serikali kukamilisha mradi wa maji
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kata ya Mkoka Wilaya ya kongwa wameiomba Serikali kukamilisha miradi ya maji safi ili waweze kuondokana na changamoto hiyo ya muda mrefu Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema ukosefu wa maji…
1 March 2022, 15:34
Sekta ya madini ni kiungo muhimu katika ukusanyaji mapato.
Na; Victor Chigwada. Sekta ya madini Jijini Dodoma imekuwa kiungo muhimu katika nyanja ya ukusanyaji mapato licha ya baadhi ya migodi pamoja na jamii ya maeneo husika kutokunufaika kwa kiasi kikubwa. Wananchi wa kijiji cha Nholi Kata ya Mpalanga wamesema…
21 February 2022, 15:49
Ukosefu wa elimu ya huduma ya kwanza wachangia baadhi ya watu kupoteza maisha
Na; Thadei Tesha. Imeelezwa kuwa ukosefu wa elimu kwa jamii juu ya namna ya kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa ni miongoni mwa sababu zinazopelekea baadhi ya watu kupoteza maisha kwa haraka. Baadhi ya wananchi jijini hapa wamesema ueleewa juu…
21 February 2022, 15:32
Uchangiaji wa vifaa vyenye ncha kali watajwa kuchangia maambukizi ya homa ya ini
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa kuchangia matumizi ya vifaa vyenye ncha kali ni miongoni mwa sababu zinazoweza kupelekea ugonjwa wa ini. Hayo yameelezwa na daktari bingwa wa magonjwa ya figo kutoka Hospital ya Benjamin Mkapa Bwana Festo Sizamin wakati akizungumza…
16 February 2022, 15:55
Jamii yatakiwa kuwapa ushirikiano watu wenye ulemavu
Na; Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kuelewa kuwa wapo baadhi ya watu wenye ulemavu ambao wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika jamii kutokana na kupewa ushirikiano kutoka katika jamii. Akizungumza na taswira ya habari katibu mkuu wa shirikisho la watu wenye ulemavu…