Recent posts
10 August 2021, 12:37
Mifumo duni ya kilimo cha mtama yapelekea uzalishaji kuwa hafifu wilayani Kongwa
Na; Shani Nicolaus . Imeelezwa kuwa kutokuzingatia upandaji wa mbegu bora za mtama kwa baadhi ya wakulima katika wilaya ya Kongwa inachangia uzalishaji duni wa zao hilo hivyo kurudisha nyuma maendeleo ya wakulima. Hayo yamesemwa na afisa kilimo pamoja na…
10 August 2021, 12:15
Wakazi wa Hombolo wauomba uongozi wa kata kuimarisha utunzaji mazingira mnadani
Na;Mindi Joseph . Wananchi wa vijiji vinavyozunguka mnada wa Hombolo mkoani Dodoma wameomba uongozi ngazi ya kata kuwasogezea huduma ya vyoo pamoja na kuweka usimamizi madhubuti wa utunzaji wa Mazingira mnadani hapo . Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya…
10 August 2021, 11:56
Wakazi wa Mkanana walalamikia kukosa maji safi na salama
Na; Selemani Kodima. Licha ya uwepo wa chemchem za maji katika kijiji cha Mkanana bado Changamoto ya Maji imeendelea kuwa kilio kwa wakazi wa eneo hilo hali ambayo msimu wa kiangazi inakuwa mara dufu. Baadhi ya wananchi wakizungumza na Taswira…
9 August 2021, 13:46
Maji yapelekea baadhi ya wakazi wa kata ya Nkuhungu kuyakimbia makazi yao
Na; Fedrick Lukasho. Wananchi wa kata ya Nkuhungu katika mitaa ya Mnyakongo ,Bochela, Mtube na Salama Jijini Dodoma wameiomba Serikali kutatua changamoto ya maji kutuama kwa muda mrefu katika makazi yao. Wakizungumza na Dodoma FM Radio kwa nyakati tofauti baadhi…
9 August 2021, 13:31
Kata ya Hogoro , wilayani Kongwa yakabiliwa na uhaba wa wodi za wazazi na upung…
Na ;Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya hogoro wanakabiliwa na changamoto ya uhaba wa wodi za wazazi pamoja na wahudumu afya na kuomba wadau kwa kushirikiana na serikali kuwaasaiidia kutatua adha hiyo. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya…
9 August 2021, 13:08
Serikali yaanza ukarabati wa miundombinu ya barabara katika kata ya Mtanana
Na; Benard Filbert. Diwani wa kata ya Mtanana wilaya ya Kongwa Bwana Joel Musa ameishukuru serikali kuridhia kukarabati miundombinu ya barabara hali itakayochagiza maendeleo katika kata hiyo. Amesema hayo wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu kuanza kutekelezwa kwa ukarabati…
9 August 2021, 12:44
KILIMO HIMILIVU NGUZO YA UZALISHAJI KWA WAKULIMA
Na,Mhindi Joseph Dodoma Tanzania Tanzania ni Miongoni mwa nchi inayokabiliwa na mabadiliko ya tabianchi kwani Asilimia 1 ya pato la Taifa inatajwa kupotea kila mwaka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi huku ikikadiriwa kuwa watu milioni 1.6 wanaoishi ukanda wa…
6 August 2021, 12:11
Jamii yatakiwa kutumia teknolojia za kisasa katika mapishi nyumbani ili kuepusha…
Na; Benard Filbert. Jamii inashauriwa kutumia teknolojia za kisasa katika matumizi ya kupika nyumbani na kuepuka kuharibu mazingira kitu ambacho ni hatari katika mabadiliko ya tabia ya Nchi. Hayo yameelezwa na Marry Stanley kutokea taasisi ya Tanzania Traditional Energy Development…
6 August 2021, 11:50
Madiwani wa Dodoma mjini watakiwa kuyaenzi mafanikio waliyo yakuta
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa madiwani wa kata zote za Wilaya ya Dodoma mjini kuyaenzi mafanikio waliyoyakuta katika jiji na namna yakuendeleza uchumi hasa katika zao la zabibu. Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma…
6 August 2021, 09:59
Kwa mujibu wa tafiti zilizo fanywa 2018 asilimia 31.8 ya watoto Nchini wakabiliw…
Na;Mindi Joseph . Ikiwa ni Maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji Maziwa ya mama Duniani asilimia 31.8 ya watoto nchini wametajwa kuwa na udumavu kwa mujibu wa utafiti wa hali ya lishe mwaka 2018. Hayo yamebainishwa leo na Mratibu wa Lishe…