Recent posts
4 August 2021, 12:10
Wazee Nchini washauriwa kutumia fursa ya chanjo ili kuimarisha kinga dhidi ya mi…
Na; Mariam Matundu. Wazee nchini wameshauriwa kutumia fursa ya chanjo dhidi ya ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Korona UVIKO 19 ili kuimarisha kinga ya miili yao kipindi hiki ambacho Serikali imewapa kipaumbele. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya…
4 August 2021, 10:46
Jamii imetakiwa kufichua mimba za utotoni ili kumkomboa mtoto wa kike
Na;Benard Filbert. Jamii imeombwa kutokufumbia macho na badala yake kufichua vitendo vya mimba za utotoni ili kuepusha kumkosesha haki za msingi mtoto wa kike. Wito huo umetolewa na afisa maendeleo kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wa Dodoma Bi Onalatha…
4 August 2021, 10:14
Wakazi wa Dodoma watakiwa kupuuza taarifa za upotoshaji kuhusu chanjo ya uviko 1…
Na;Yussuph Hans. Wakazi Mkoani Dodoma wametakiwa kuhakikisha watumia vyema fursa ya kupata chanjo ya Uviko-19 na kupuuzia taarifa za upotoshaji kutoka katika mitandao ya kijamii na za mtaani. Wito huo umetolewa mapema leo na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh…
4 August 2021, 09:51
Shule ya msingi sokoni wilayani Bahi yakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo
Na; Mariam Matundu. Kukosekana kwa vyoo bora na rafiki kwa Wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya msingi Sokoni wilayani Bahi umesababisha wanafunzi kushindwa kujisitiri pale wanapohitaji kutumia vyoo hivyo. Wanafunzi hao Wamesema wamekuwa wakipata magonjwa ya kichocho hasa kwa wanafunzi…
3 August 2021, 13:55
Wakulima wa korosho Masinyeti walalamikia upuliziaji dawa kuwa hafifu
Na; Selemani Kodima. Licha ya Serikali ya wilaya ya Kongwa kutoa kipaumbele katika kilimo cha korosho lakini inaelezwa kuwa upuliziaji wa dawa ni changamoto kwa baadhi ya wakulima katika kijiji cha Masinyeti hali inayosababisha mikorosho mingi kuduma. Akizungumza na Taswira…
3 August 2021, 13:37
Wabunge watakiwa kusimamia pesa za ujenzi wa barabara kuleta maendeleo kwa wanan…
Na;Mindi Joseph . Mjumbe wa Halmashauri kuu Taifa CCM na Mbunge wa jimbo la Mvumi mkoani Dodoma Mhe Livingstone Lusinde amewaomba wabunge kusimamia fedha walizopewa za kujenga barabara katika majimbo yao kwa lengo la kuwaletea wananchi maendeleo. Akizungumza na waandishi…
2 August 2021, 13:46
Sheria ya ndoa jinsi inavyo leta mkanganyiko kwa jamii
Na; Benard Filbert. Serikali imeombwa kuangalia upya sheria ya ndoa ya mwaka 2002 ambayo inamruhusu mtoto wa kike kuoelewa chini ya miaka 18 kwani imekuwa ikileta mkanganyiko katika jamii huku baadhi yao wakilazimika kukatisha masomo yao. Hayo yameelezw na Emmanuel…
2 August 2021, 13:34
Wanaume na wavulana wahitaji elimu zaidi ili kutoa taarifa ya vitendo vya ukatil…
Na;Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa bado kuna ukimya unaoendelezwa na baadhi ya Wanaume na Wavulana wanaofanyiwa vitendo vya ukatili wa katika jamii hali ambayo inawasababishia madhara makubwa mbeleni. Wakizungumza na taswira ya habari wakazi jijini Dodoma wamesema kuwa ili kupiga hatua…
2 August 2021, 13:12
Wachambuzi wa sera watarajia kukutana na wadau wa kilimo
Na; Mariam Matundu. Kikundi cha wachambuzi wa sera na Wadau wa kilimo wanatarajia kukutana katika kongamano la saba la mwaka kujadili masuala mbalimbali yenye lengo la kuongeza tija katika sekta hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari mwenyekiti wa kikundi cha…
2 August 2021, 12:37
Jumla ya wakulima 4,099 wanufaika na mradi wa kilimo himilivu cha zao la mtama.
Na;Mindi Joseph. Jumla ya wakulima 4,099 kati yao asilimia 51 wanawake na 49 wanaume wamenufainka na Mradi wa kilimo himilivu cha zao la Mtama kutoka shirika la Farm Africa wilayani Kongwa Mkoani Dodoma mradi unaotekelezwa nchini Tanzania. Katika wilaya ya…