Recent posts
18 August 2021, 13:46
Kukamilika kwa daraja la kiselu kutasaidi kukuza uchumi wa Sunya, Gairo na Kongw…
Na; Selemani Kodima. Kukamilika kwa ujenzi wa daraja la kiselu wilayani kiteto kunatajwa kusaidia kuchochea uchumi wa wakazi wa kata ya Sunya pamoja na wafanyabiashara wa maeneo ya Gairo na Kongwa. Akizungumza na Dodoma FM Diwani wa kata ya Sunya…
18 August 2021, 13:19
Tume ya haki za binadamu kushirikiana na LHCR
Na; Alfred Bulahya. Tume ya haki za Binadamu na Utawala Bora imesaini mkataba wa makubaliano mengine ya kushirikiana kufanya kazi na kituo Cha sheria na haki za Binadamu LHCR Kwa ajili ya kulinda, kutetea na kustawisha haki za makundi maalumu…
18 August 2021, 13:04
Wadau waomba waandishi wa habari kuongeza weledi katika masuala ya jinsia
Na; Mariam Matundu. Wadau wa masuala ya jinsia wameomba waandishi wa habari Nchini kuongeza weledi katika masuala ya jinsia ili kuondoa mitazamo hasi hasa kwa viongozi wanawake pale wanapofanya nao mahojiano . Wakizungumza na taswira ya habari wadau hao wamesema…
17 August 2021, 12:29
Immelezwa kuwa wanawake wengi nchini hawazingatii unyonyeshaji wa watoto ipasavy…
Na;Mindi Joseph . Imeelezwa kuwa ni asilimia 58% ya wamama nchini ndio wananyonyesha watoto wao kikamilifu huku Watoto wengi wakikosa maziwa ya mama ipasavyo. Akizungumza na Taswira ya habari Ruth Mkopi Afisa tafiti mwandamizi Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania…
17 August 2021, 12:11
Wakazi wa Mkoka waiomba serikali iwaboreshee upatikanaji wa huduma ya Afya
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Mkoka Wilaya ya Kongwa wameiomba Serikali kuwasaidia kukamilisha upatikanaji wa huduma za afya katika kituo cha afya ili kupunguza adha kwa wananchi Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa…
17 August 2021, 11:33
Jamii yaaswa kuacha tabia ya kujichukulia sheria mkononi
Na; Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa watoto wasiopungua 10 wameuawa kutokana na kupigwa na kuchomwa moto ndani ya jiji la Dodoma katika kipindi cha miaka mitano iliyopita kitendo ambacho kinatajwa kuwa ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Hayo yamebainishwa leo na…
17 August 2021, 11:19
Nchi za Afrika zimeshauriwa kuwa na umoja ili kuepuka machafuko
Na; Benard Filbert. Kufuatia machafuko makubwa katika nchi ya Afghanistan kati ya vikosi vya wanamgambo wa Taliban dhidi ya serikali, nchi za afrika zimeshauriwa kuwa na umoja ili kuepusha kujitokeza kwa hali kama hiyo. Hayo yameelezwa na mhadhiri na mchambuzi…
17 August 2021, 10:51
Uongozi wa Chamwino watarajia kufanya maboresho ya miundombinu ya maji kijijini…
Na; Selemani Kodima. Uongozi wa kata ya Msamalo wilayani Chamwino umesema unatambua uwepo wa changamoto ya maji katika kijiji cha Mgunga hivyo wanampango wa kufanya maboresho katika mtandao wa bomba za maji ili kufanikisha upatikanaji wa huduma hiyo Akizungumza na…
16 August 2021, 14:12
Serikali yazindua mfumo wa kielectroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli…
Na; Fred Cheti. Serikali kupitia Ofisi ya Waziri mkuu (Sera ,bunge,kazi,ajira,vijana na watu wenye ulemavu) leo Agosti 16 imezindua mfumo wa kielektroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli za serikali. Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika leo jijini Dodoma waziri mwenye…
16 August 2021, 13:44
Wakazi Mkoani Dodoma walalamikia kukosa taarifa juu ya mikopo ya asilimia kumi
Na;Yussuph Hans. Wakazi mkoani Dodoma wamelalamikia kukosa taarifa juu fursa ya mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na kila halmashauri nchini kwa vikundi vilivyosajiliwa vya vijana, wanawake na Watu wenye ulemavu. Wakizungumza na kitu hiki wakazi hao wamesema kuwa wanapata changamoto…