Recent posts
6 April 2021, 13:54
Serikali yajipanga kutatua changamoto inayo vikabili vituo vya Afya mwaka wa fe…
Na Suleiman Kodima Naibu waziri ofisi ya Rais Tamisemi Dkt Festo Dugange amesema Serikali inatambua uhitaji wa wahudumu wa afya , Vifaa tiba na Gari la kubebea wagonjwa katika Hospitali ya Uhuru hivyo wanategemea suala hilo Kuwa sehemu ya Utekelezaji…
6 April 2021, 12:52
Wananchi waaswa kuto tumia shughuli za kibinadamu kuharibu barabara.
Na; Mariam Matundu. Barabara ya Makanda Kintinku iliyokuwa imepoteza mawasiliano tangu mwezi decemba mwaka jana imeanza kufanyiwa ukarabati ambapo hatua mbalimbali za awali zinaendelea. Akizungumza na tawsira ya habari manager wa Tarura wilaya ya Manyoni bw. Yose Mushi amesema zoezi…
6 April 2021, 12:36
Wakazi wa Matumbulu wapata neema ya umeme
Na; Benald Flbert Baada ya hivi karibuni Dodoma fm kuripoti taarifa kuhusu ukosefu wa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo ya Kata ya Matumburu, shirika la umeme TANESCOMkoa wa Dodoma limeanza kusambaza nguzo kwa ajili ya kuwaunganishia huduma hiyo.…
6 April 2021, 09:40
Rais Samia ataka wananchi wasizuiwe kueleza kero zao.
Na; Mariam Kasawa. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema viongozi wa kitaifa wakikutana na mabango katika ziara zao, atawaondoa kazini mkurugenzi wa halmashauri na wakuu wa wilaya husika. Rais Samia ameyasema hayo leo Jumanne Aprili 6, 2021 Ikulu jijini…
6 April 2021, 07:01
Rais Samia ateua, atengua Mkurugenzi ndani ya saa 12
Na; Mariam Kasawa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo ya petroli Tanzania (TPDC), Thobias Richard ikiwa ni chini ya masaa 24 tangu kuteuliwa kwake. Rais Samia alimteua…
2 April 2021, 12:46
Wafanyabiashara wahimizwa kulipa kodi bila shurti
Na; Shani Nicolous Wito umetolewa kwa wafanyabiashara nchini kulipa kodi bila kushurutishwa ili kukuza uchumi wa nchi. Ushauri huo umetolewa ikiwa ni siku moja baada ya agizo alilotoa rais Mh.Samia Suluhu Hassan juu ya kutumiwa kwa njia sahihi za sahihi…
2 April 2021, 11:31
Jeshi la Polisi laendelea kuimarisha ulinzi ndani ya Jiji la Dodoma
Na; Mindi Joseph. Jeshi la polisi Mkoani Dodoma limejipanga kuhakikisha linaimarisha ulinzi katika maeneo yote ya nyumba za ibaada ikiwa ni pamoja na kudhibiti uhalifu katika sikuku ya Pasaka. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dodoma Kamanda wa Jeshi…
2 April 2021, 10:38
Waziri Dkt. Gwajima amshukuru Rais Samia kuimulika sekta ya maendeleo ya jamii
Na; Mariam Matundu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza nguvu katika Wizara hiyo kwa kuzingatia umuhimu wa Sekta ya…
2 April 2021, 09:46
Watanzania wahimizwa kutumia lugha ya kiswahili
Na; Yussuph Hans. Imeelezwa kuwa kiswahili ni moja ya lugha iliyo enea katika Mataifa ya Afrika kutokana na jitihada mbalimbali zilizo fanyika katika kukuza lugha hiyo. Hayo yamesema na Kaimu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili Tanzania BAKITA Bi. Consolata Mushi…
2 April 2021, 08:55
Mila na desturi kiini cha ukatili kwa jamii.
Na; Alfred Bulahya. Wajumbe wa kamati za ulinzi wa mwanamke na mtoto (MTAKUWA) waliopo wilayani Chamwino Jijini Dodoma, wametakiwa kuhakikisha wanafanya kazi kwa bidii kwa kuibua vitendo vya ukatili na kupeleka kesi hizo kwenye mamalaka husika ili ziweze kupatiwa ufumbuzi…