Dodoma FM
Dodoma FM
12 August 2021, 11:27
Na; Benard Filbert. Kufuatia Kukamilika kwa ukarabati wa barabara za ndani ya kata ya Dabalo wilayani Chamwino itasaidia kukua kwa maendeleo ya wakazi wa kata hiyo. Hayo yameelezwa na Diwani wa kata hiyo bwana Isihaka Rajabu wakati akizungumza na taswira…
12 August 2021, 11:15
Na;Mindi Joseph . Zaidi ya Asasi 1000 zinatarajia kushiriki katika wiki ya azaki mwaka 2021 Jijini Dodoma ili kuleta uelewa wa mchango wa asasi za kiraia Nchini. Akizungumza mapema leo na waandishi wa habari Jijini Dodoma kwa niaba ya kamati…
11 August 2021, 12:48
Na;Yussuph Hans. Wakazi mkoani hapa wameomba kuboreshewa huduma zinazopatikana kupitia mfuko wa afya wa jamii (CHF) hususani maeneo ya vijijini ikiwemo vipimo pamoja na upatikanaji wa dawa katika vituo vya afya. Wakizungumza na kituo hiki baadhi ya wakazi hao wamesema…
11 August 2021, 12:35
Na; Selemani Kodima. Imeelezwa kuwa Ongezeko la watu na mahitaji ya maji katika kata ya Sunya wilayani kiteto imesababisha kuongezeka kwa changamoto ya maji katika baadhi Vijiji hususani Kijiji cha Sunya. Hayo yameelezwa na Baadhi ya Wanakijiji wa kijiji cha…
11 August 2021, 12:13
Na; Shani Nicolous. Wananchi wa kijiji cha Kawawa kata ya msanga Wilaya ya Chamwino wamelalamikia kutokupewa maeneo mbadala ya kuishi baada ya kupimwa maeneo yao na kufanywa hifadhi ya wanyama. Wakizungumza na Dodoma fm wananchi hao wamesema kuwa nikipindi kirefu…
11 August 2021, 11:21
Na; Mariam Matundu. Wazazi na walezi wametakiwa kuwa na mazoea ya kuzungumza na watoto wao kuhusu masuala ya afya ya uzazi ili kuwaepusha na magonjwa ya ngono pamoja na mimba za utotoni. Hayo yamezungumzwa na mratibu wa afya ya uzazi…
10 August 2021, 12:37
Na; Shani Nicolaus . Imeelezwa kuwa kutokuzingatia upandaji wa mbegu bora za mtama kwa baadhi ya wakulima katika wilaya ya Kongwa inachangia uzalishaji duni wa zao hilo hivyo kurudisha nyuma maendeleo ya wakulima. Hayo yamesemwa na afisa kilimo pamoja na…
10 August 2021, 12:15
Na;Mindi Joseph . Wananchi wa vijiji vinavyozunguka mnada wa Hombolo mkoani Dodoma wameomba uongozi ngazi ya kata kuwasogezea huduma ya vyoo pamoja na kuweka usimamizi madhubuti wa utunzaji wa Mazingira mnadani hapo . Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya…
10 August 2021, 11:56
Na; Selemani Kodima. Licha ya uwepo wa chemchem za maji katika kijiji cha Mkanana bado Changamoto ya Maji imeendelea kuwa kilio kwa wakazi wa eneo hilo hali ambayo msimu wa kiangazi inakuwa mara dufu. Baadhi ya wananchi wakizungumza na Taswira…
9 August 2021, 13:46
Na; Fedrick Lukasho. Wananchi wa kata ya Nkuhungu katika mitaa ya Mnyakongo ,Bochela, Mtube na Salama Jijini Dodoma wameiomba Serikali kutatua changamoto ya maji kutuama kwa muda mrefu katika makazi yao. Wakizungumza na Dodoma FM Radio kwa nyakati tofauti baadhi…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-