Dodoma FM
Dodoma FM
23 October 2024, 00:54
Na Mariam Matundu. Jamii imetakiwa kuwamini watu wenye ulemavu wanaojitokeza kugombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa ili kuchochea maendeleo. Daudi Mlewa ambaye ni mtu mwenye ulemavu ni mwenyekiti anayemaliza muda wake wa oungozi katika mtaa wa Karume anatueleza uthubutu…
21 October 2024, 19:35
Na Steven Noel. Jamii inanaweza kuepuka magonjwa yasiyo ya kuambukiza kwa kujiwekea urtaratibu wa ratiba ya mazoezi mara kwa mara. Wakizungumza kutoka katika kiwanja cha mazoezi Chazungwa wilayani Mpwapwa , wanakikundi wa Mazai Jorging Club na Mpwapwa Jorging wanaelelzea umuhimu…
21 October 2024, 19:35
Na Mariam Kasawa Mpango wa serikali wa miaka mitano 2020-2025 kusomesha wataalam bingwa na wabobezi 300 kila mwaka, umepunguza kwa 70% rufaa za matibabu nje ya nchi. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma Waziri wa Afya Mh. Jenista Mhagama…
21 October 2024, 19:35
Na Mariam Kasawa. Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amezindua magari mapya 25 yalilyotolewa na serikali kama vitendea kazi ili kutimiza lengo la makusanyo ya mapato na udhibiti wa utoroshaji wa madini. Akizungumza kwenye uzinduzi huo, octoba 21 Mhe. Mavunde…
21 October 2024, 19:34
Na Anwary Shabani. Uthubutu na hofu vimetajwa kuwa kikwazo kwa vijana kuwania nafasi za uongozi kuanzia ngazi za serikali za mtaa. Jofrey Regnand Mtasiwa kutoka katika tasisi ya Kijana Foundation jijini Dodoma amebainisha kuwepo kwa hofu na kutokuthubutu miongoni…
18 October 2024, 20:05
Na Yussuph Hassan. Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii ESRF kwa kushirikiana na taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu NIMR zimefanya utafiti wa kutathmini mikakati ya kuongeza upataji chanjo ya Uviko-19 nchini. Akizungumza jijini Dodoma katika kongamano la…
18 October 2024, 20:05
Na Noel Steven. Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa Mhe. George Nathan Malima amewataka wananchi wa jimbo hilo kujitokeza siku ya kupiga kura Nobemba 27. Mhe. George Nathan Malima Ameyasema hayo wakati alipomaliza zoezi la kujiandikisha katika kituo cha Chamnye…
18 October 2024, 20:04
Na Mariam Matundu. Vitongoji mia moja na hamsini katika mkoa wa Dodoma vinatarajia kufikishiwa umeme wa REA kupitia mpango wa vijiji kumi na tano kila jimbo. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ameyasema hayo Oct. 18, 2024 wakati wa…
18 October 2024, 20:04
Na Nazael Mkude. Wachungaji na waamini wa kanisa la PCMA Mkoani Dodoma wamepokea kwa masikitiko kifo cha Askofu Mkuu Dr. Mondea Kabeho Katibu Mkuu wa Kanisa la hilo Patrick Kajila anaelezea jinsi msiba huo ulivyotokea wakati wa ibada ya kuwafariji…
17 October 2024, 20:01
Na Nazael Mkude. Wakazi wa Mtaa wa Mathias Kata ya Miyuji Mkoani Dodoma wamepatwa na taharuki baada ya tukio la mtu mmoja kujingonga katika mtaa huo . Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Balaozi Shina Namba 5 wa Mtaa wa Mathias…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-