Dodoma FM
Dodoma FM
15 November 2024, 19:40
Na Noel Steven. Mtindo wa maisha umetajwa kuwa ni moja ya chanzo kwa magonjwa yasiyoamabukiza kwa jamii. Dkt John Simon mtaalamu wa magonjwa anaeleza jinsi mtindo wa maisha ulivyokuwa na athari za kiafya kwa jamii pamoja na Eliwasa Ndau Afisa…
15 November 2024, 19:40
Na. Anselima Komba. Wananchi Wilayani Bahi Wameiomba Serikali kutimiza ahadi ya kutatuliwa kwa kero ya maji chumvi kwa kuwaunganishai maji baridi kutoka katika kata ya Ibihwa. Baadhi ya wanachi wanasema Serikali kupitia wizara ya maji iliwaahidi kutatua adha ya maji…
15 November 2024, 19:40
Na Lilian Leopold Jamii inakabiliwa na tatizo la uelewa kufahamu vitendo vya ukatili ambavyo mtoto hapaswi kufanyiwa. Hidaya Kaonga, Wakili na Mratibu wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu Mkoani Dodoma amebainisha mambo ambavyo yananyima haki ya msingi kwa…
14 November 2024, 20:06
Na Anselima Komba Maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukiza yameanza rasmi Novemba 9/11/2024 na yatahitimishwa Novemba 16/11/2024 huku yakibeba kauli mbiu isemayo muda ni sasa zuia magonjwa yasiyoambukiza mahali pa kazi Dkt Rhoda Rameck ambaye pia ni Mratibu wa magonjwa…
14 November 2024, 20:06
Na Mariam Kasawa. Jamii ya kundi maalumu imetajwa kukabiliwa na changamoto ya uelewa jinsi ya kutumia mfumo wa Serikali wa NEST ili kupata taarifa za kiuchumi Bi .Felister Mdemu Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsi, Wanawake na…
14 November 2024, 20:06
Na Yussuph Hassan, Wakazi wa kijiji cha Paranga Wilayani Chemba Mkoani Dodoma wapo tayari kuchangia nguvu zao ili kufanikisha ujenzi wa zahanati ili kuondokana na changamoto ya wanawake kujifungulia njiani. Hatua hii inajiri baada ya kufikiwa na mradi wa ninawajibika…
14 November 2024, 20:05
Na Mariam Ma Mtindo wa maisha umetajwa kuchaingia kwa kuchangia uwezekano wa jamii kuathiriwa na magonjwa yasiyoambukiza. Gaudensia Kalalu ni mtaalamu wa saikolojia kutoka hospitali ya taifa afya akili mirembe anazungumzia zaidi aina ya magonjwa yasiyoambukiza pamoja na sababu zinazopellekea…
13 November 2024, 17:24
Na Lilian Leopold Wananchi wanaotumia usafiri wa umma wanakabiliwa na changamoto ambazo zimegeuka kuwa kero katika sekta ya usafirishaji. Wakazi wa jijini Dodoma wanabainisha changaomoto hizo katika usafiri wa umma ikiwa ni pamoja na muda mrefu wanatumia kukaa kwenye chombo…
13 November 2024, 17:24
Na Mariam Kasawa. Hivi karibuni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alizitaka taasisi zinazo pika chakukula kwa watu zaidi ya 100 kuacha matumizi ya kuni na mkaa na kuhamia kwenye nishati safi hadi hadi kufikia…
13 November 2024, 17:23
Na Noel Steven. Kuanza kwa ujenzi wa daraja katika bonde la Talili na Lita kutaondosha adha na changamoto inayowakabili wakazi wa maeneo hayo hasa nyakati za mvua. Kaimu Meneja wa TARURA Wilaya ya Mpwapwa Mwandisi Christopher Maligana amelezea gharana na…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-