Dodoma FM

Recent posts

12 December 2024, 16:55

Kausha damu yatajwa kuumiza familia za wakopaji

Wakopaji wengi hawana elimu juu ya matumizi sahihi ya mikopo hiyo. Na mwandishi wetu.Baadhi ya wananchi Jijini Dodoma wamesema mikopo umiza maarufu kama kausha damu inalenga kusaidia mahitaji muhimu ingawa wakopaji wengi hawana elimu juu ya matumizi sahihi ya mikopo…

12 December 2024, 16:43

Unyanyapaa kikwazo cha watu kuweka wazi hali ya afya zao

Aidha ameongeza kuwa vifo vya Watoto vinavyotokana na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi mkoani Dodoma vimepungua. Hofu ya kuogopwa kutengwa katika jamii imeelezwa kuwa chanzo kikubwa kinachowafanya baadhi ya watu kushindwa kuwaweka wazi watu wao wa karibu pindi wanapokutwa na…

11 December 2024, 16:57

Ubovu wa barabara za mtaa wakwamisha shughuli za maendeleo Msangalalee

Mtaa wa Msangalalee wenye wakazi wapatao 20,378, kwa sasa hauna mawasiliano ya baadhi ya barabara kutokana na mvua kuharibu madaraja manne, hali inayosababisha changamoto kubwa kwa wananchi wa eneo hilo. Wananchi wa Mtaa Msangalalee kata ya Dodoma Makulu, Jijini Dodoma…

10 December 2024, 17:19

Ifahamu historia ya ‘Kisima cha Nyoka’

Je kwanini kisima hiki kiliita jina hilo hapa wazee wa eneo hilo wanaeleza. Leo Yussuph Hassan yupo kata ya Chang’ombe mtaa wa Mazengo akiangazia historia ya Kisima cha Nyoka kinachopatika katika eneo hili.

10 December 2024, 17:08

Wenye ulemavu watakiwa kutambua afya ya akili

Miongoni mwa msaada uliotolewa na taasisi ya Tfed ni pamoja na majiko ya gesi, fimbo nyeupe, cherehani, kiti mwendo na mafuta kwa watu wenye ualbino. Na Yussuph Hassan.Imeelezwa kuwa kuna umuhimu mkubwa kwa kundi la watu wenye ulemavu kutambua afya…

10 December 2024, 16:29

Mvua yakwamisha baadhi ya shughuli Majeleko

Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Majeleko wakizungumza na Taswira ya Habari wameelezea hali ilivyo kwa sasa. Na Victor Chigwada.Wakazi wa kijiji cha Majeleko wilayani Chamwino wameshindwa kufanya baadhi ya shughuli kutokana na Mvua zinazo endelea kunyesha na kuharibu miundombinu…

10 December 2024, 16:04

Wananchi watakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya mvua

Hii inajiri baada ya mfululizo wa vipindi vya mvua kunyesha bila kumpuzika hususani katika kipindi hiki cha msimu wa mvua. Na Nazael Mkude.Wito umetolewa wakazi wa mtaa wa bwawani kata ya ipagala mkoani Dodoma kuhakikisha kuwa wanachukua tahadhari kwa kipindi…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger