Dodoma FM

Recent posts

2 January 2025, 17:39

Jamii yatakiwa kuwa na desturi ya kuwatembelea wagonjwa

Wadau mbalimbali wameombwa kufika katika hospitali mbalimbali ili kujua changamoto zinazowakabili wagonjwa. Na Seleman Kodima.Wito umetolewa kwa jamii kuwa na desturi ya kuwatembelea wagonjwa na kuthamini jumuiya zinazojitolea kuhudumia wagonjwa katika Hospitali mbalimbali hapa nchini. Kauli hiyo imetolewa na Mwakilishi…

30 December 2024, 14:11

Tanzania yaendelea kupiga hatua utekezaji mkakati wa Beijing

Na Mariam Matundu. Katika kuelekea miaka thelathini tangu mkutano wa Beijing kufanyika, waandishi wa habari wametakiwa kutumia kalamu zao kuonesha hatua zilizopigwa hapa nchini katika kutekeleza maazimio ya mkutano huo. Akizungumza katika warsha iliyowakutanisha wandishi wa habari kutoka maeneo mbalimbali…

23 December 2024, 17:36

Wananchi Nala, Chihoni wapatiwa elimu ya kupinga ukatili

Wazazi wanatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuwalea watoto wao kwa kutenga muda wa kuzungumza nao na kuwajengea uwezo wa kuzungumza kipindi wakipata matatizo. Na Annuary Shaban.Wakazi wa Mtaa wa Nala, Segu Juu, Segu Chini na Chihoni, wamewezeshwa elimu ya…

23 December 2024, 17:23

Mradi wa elimu jumuishi watekelezwa katika shule 11 Dodoma

Shule zilizoongezeka katika jiji la Dodoma ni shule ya msingi mlezi,shule ya msingi kisasa,shule ya msingi Chang’ombe na shule ya msingi Chinangali. Na Mariam Matundu.Mradi wa elimu jumuishi unaotekelezwa na kanisa la Free pentecostal church FPCT mkoani Dodoma umefanikiwa kuongeza…

18 December 2024, 15:15

NHIF yarejesha toto afya kadi

Mpango wa Toto Afya Kadi utasaidia familia za wananchi hasa zile zenye watoto wenye changamoto za kiafya. Na Mariam Matundu.Waziri wa Afya Mh. Jenista Mhagama amesema kurejeshwa kwa Toto Afya Kadi kutaleta matumaini mapya na uelekeo thabiti wa Bima ya…

12 December 2024, 17:32

Mwendelezo wa historia ya Kisima cha Nyoka

Hitimisho la historia ya Kisima cha Nyoka katika mtaa wa Mazengo. Na Yussuph Hassan.Mwanandishi wetu Yussuph Hassan bado yupo mtaa wa Mazengo kata ya Chang’ombe na leo anahitimisha historia ya kisima cha nyoka.

12 December 2024, 17:12

Wanaume watakiwa kufunguka wanapofanyiwa ukatili

Kila ifikapo tarehe 10 Desemba ni Siku ya Haki za Binadamu na pia ni kilele cha siku 16 za harakati za kupinga ukatili wa kijinsia . Na Annuary Shaban.Chama Cha Wanasheria Wanawake Tanzania na wadau wengine wamewasisitiza wanaume kujitokeza kutoa…

12 December 2024, 16:55

Kausha damu yatajwa kuumiza familia za wakopaji

Wakopaji wengi hawana elimu juu ya matumizi sahihi ya mikopo hiyo. Na mwandishi wetu.Baadhi ya wananchi Jijini Dodoma wamesema mikopo umiza maarufu kama kausha damu inalenga kusaidia mahitaji muhimu ingawa wakopaji wengi hawana elimu juu ya matumizi sahihi ya mikopo…

12 December 2024, 16:43

Unyanyapaa kikwazo cha watu kuweka wazi hali ya afya zao

Aidha ameongeza kuwa vifo vya Watoto vinavyotokana na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi mkoani Dodoma vimepungua. Hofu ya kuogopwa kutengwa katika jamii imeelezwa kuwa chanzo kikubwa kinachowafanya baadhi ya watu kushindwa kuwaweka wazi watu wao wa karibu pindi wanapokutwa na…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger