Dodoma FM
Dodoma FM
7 January 2025, 17:16
Kama Halmashauri zitatambua aina na kiasi cha taka kinachozalishwa katika eneo lake ni rahisi kutenganisha taka hizo kwa kuyapa rangi tofauti tofauti mapipa au vizimba vinavyokusanya aina tofauti ya taka hizo. Na Mariam Kasawa.Vikundi vya ukusanyaji taka katika maeneo mbalimbali…
7 January 2025, 16:48
Na Victor Chigwada.Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma Kamishina msaidizi mwandamizi George Katabazi ametoa wito kwa wananchi wa Kata ya Ihumwa kuonyesha ushrikiano kwa jeshi la polisi kwa kutoa taarifa za wahalifuWito huo ameutoa wakati akizungumza na wananchi wa Kata…
7 January 2025, 16:15
Elimu ya mara kwa mara kwa wananchi wa Kiteto ili kuitunza miundombinu hiyo ambayo Serikali imetoa fedha nyingi kuijenga ili iweze kudumu kwa manufaa yao. Na Selelman Kodima.Wananchi Wilayani Kiteto mkoani Manyara wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa ujenzi wa…
6 January 2025, 13:30
Ajali za barabarani kuanzia Januari hadi Desemba mwaka 2024 zilikuwa 1,735, huku ajali 1,198 zilisababisha vifo vya watu 1,715. Na Lilian Leopord.Kuzingatia alama za Barababani na uendeshaji salama ni miongoni mwa tahadhari zinazochukuliwa na baadhi ya madereva wa vyombo vya…
3 January 2025, 15:48
Miti ina faida nyingi katika mazingira na maisha ya binadamu. Na Yussuph Hassan.Mwandishi wetu Yussuph Hassan anatufahamisha kuhusu bustani inayosimamiwa na halmashauri ya jiji la Dodoma inayopatikana eneo la Wajenzi jijini Hapa.
3 January 2025, 15:24
Kijiji cha Chikopelo ni miongoni mwa kijiji kinachopatikana katika Kata ya Chali, ambapo ni miongoni mwa vijiji vilivyotengwa mwaka 1972 kuwa miongoni mwa Kijiji cha Ujamaa. Asili ya wananchi wa Kijiji hicho ni Wagogo. Na Lilian Leopord.Wananchi wa Kijiji cha…
3 January 2025, 14:33
Moja ya mafanikio ni ujenzi wa shule nane za sekondari mpya na kuweka miundombinu mipya katika sekondari zote za zamani. Na Seleman Kodima.Mbunge wa Kisarawe ambaye ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo ameelezea mafanikio mbalimbali yaliyopatikana…
3 January 2025, 14:13
Na Seleman Kodima.Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF ofisi ya Dodoma umesema kipengele kipya cha toto afya kadi kitalenga hata mtoto asiyesoma shule hali itakayomwezesha kusajiliwa katika mfumo. Hayo yamesemwa na Meneja wa NHIF Dodoma Fidelis Shauritanga wakati…
2 January 2025, 18:11
Hili linajiri baada ya hivi karibuni wakala wa usambazaji maji vijijini RUWASA kuiondoa kamata ya maji kijijini hapo. Na Victor Chigwada.Kuharibika kwa miundombinu ya maji katika kijiji cha muungano wilayani Chamwino umesababisha wananchi kijiji hicho kuomba kwa mamlaka ya maji…
2 January 2025, 17:56
Wakazi wa kijiji hicho wameendelea kuiomba serikali kuingilia kati suala hilo la ujenzi wa sekondari kijijini hapo kwani ni la muda mrefu. Na Mariam Kasawa.Wakazi wa Kijiji cha Pangalua kata ya Kidoka wilayani Chemba walalamikia ucheleweshaji wa ujenzi wa Sekondari…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-