Dodoma FM

Recent posts

15 January 2025, 16:14

Wananchi Muungano walalamika kufanyishwa usafi katika zahanati

Licha ya ukubwa wa kijiji cha Muungano lakini zahanati hiyo ina watumishi wawili ingawa kwasasa imebaki na mtumishi mmoja kutokana na mtumishi mwingine kuwa likizo. Na Victor Chigwada .Wananchi kijiji cha Muungano wamelalamikia kufanyishwa usafi katika zahanati inayopatikana kijijini hapo…

14 January 2025, 12:40

Gari la wagonjwa kuondoa kero ya usafiri wa dharula Chifutuka

Awali Wananchi wa Kijiji cha Chifutuka walilazimika kukodi magari binafsi na kusafiri umbali wa zaidi ya kilomita 90 hadi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ujio wa gari hilo umekuwa ahueni ya kupata tiba katika vituo na hospital za…

14 January 2025, 11:47

Vijana 420 kushiriki mrapi wa BBT awamu ya pili

Hata hivyo amesema maandalizi kwa ajili ya kiwapokea vijana hao yamekamilika ambapo alisema katika shamba hilo kila kitu ambacho kinahitajika kwa ajili ya kilimo kipo kwa ajili ya kuanza uzalishaji. Na Selemani Kodima.Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeanza kuwapokea vijana…

13 January 2025, 16:39

Wananchi Ihumwa wapewa tahadhari mlipuko wa kipindupindu

Picha ni vimelea vya Kipindipindu .Picha na Google. Hayo yameelezwa na Katibu Kata wa Chama Cha Mapinduzi CCM Ndg.Lazaro Chiswagala alipo kuwa akiongea na waumini wa kanisa la MT.Joseph Ihumwa Na Victor Chigwada .Wananchi wa mtaa wa Ihumwa A wapewa…

13 January 2025, 16:12

Wananchi Dosidosi waharibu miundombinu ya maji

Wananchi hao wameiomba serikali kufuatilia mabomba yaliyo katwa ili kutatua kero ya maji kijijini hapo. Na Kitana Hamis.Baadhi ya wakazi wa Kijiji cha Dosidosi Wilayani Kiteto Mkoani Manyara Wamedaiwa Kuhujumu Miradi ya Maji wazaidi ya sh: milioni Mianne (400) kwa…

8 January 2025, 15:34

Wazazi watakiwa kuwaandaa wanafunzi kurudi shule

Shule za msingi na sekondari zinatarajiwa kufunguliwa Januari 13 mwaka huu, ambapo Watoto wenye umri wa kuanza shule wanatakiwa kuandikishwa. Na Lilian Leopold .Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuhakikisha wafanya maandalizi ya kutosha kwa wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na shule…

8 January 2025, 14:44

Wanaume jamii ya Masai watuhumiwa kuuza nyanda za malisho

Maeneo ya malisho yanayodaiwa kuuzwa niyale yaliyo Tengwa kwa shughuli za Ufungaji. Na Kitana Hamis.Wanaume jamii ya Kifungaji masai Kiteto Watuhumiwa Kuuza Nyanda za MlishoWakizungumza kwa hisia kali Baadhi ya Wanawake wa Jamii ya Kifungaji Masai wanasema Migogoro mingi ya…

8 January 2025, 14:09

Wanawake Olboloti walia na janga la ubakaji

Wanaohisiwa kufanya vitendo hivyo baadhi yao saba wamekamatwa na mmoja kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali. Na Kitana Hamis.Wananchi wa kijiji cha Olboloti wilayani Chemba mkoani Dodoma wakiongea kwa jazba huku huzuni iliyojaa maumivu kueleza changamoto zinazowakabili hapo kijijini,…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger