Dodoma FM
Dodoma FM
5 March 2025, 12:13
Wakazi wa maeneo hayo wamesema wamekuwa wakilalamika tangu mwaka 2019. Na Anwary Shaban.Wanachi Dodoma walia uwepo wa SGR unavyoharibu makazi yao. Wananchi wa kitongoji cha Msangalale kata ya Makulu jijini Dodoma wamelalamikia uharibifu wanaoupata kutokana na mafuriko ya maji yanayotoka…
5 March 2025, 11:38
Kaulimbiu katika Mkutano huo wa Baraza la wafanyakazi wa TRA ni “Baraza la Wafanyakazi ni chachu ya utendaji kazi wenye tija, maadili na utumishi endelevu”. Na Alfred Bulahya.Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amewataka…
4 March 2025, 12:15
Licha ya Dodoma kufahamika kuwa na hali ya nusu jangwa lakini yapo mazao ambayo hulimwa wakati wa masika. Na Yussuph Hassani.Mwana fahari leo Yussu[h anasimuliza asili ya mazingira ya mkoa huu wa Dodoma katika mfululizo wa makala hii ya fahari…
4 March 2025, 12:00
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ni Wakala wa Serikali iliyoanzishwa kwa Sheria ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi. Na Alfred Bulahya.Serikali kupitia mamlaka ya elimu na mafunzo ya ufundi stadi VETA imewawezesha wafungwa wapatao 214…
27 February 2025, 17:36
Mwenyekiti wa mtaa huo Asiya Shabani nae akaeleza namna kuhusu Tukio hili lilivyo tokea . Na Kitana Hamis.Mwanafunzi wa Darasa la Pili aliye julikana kwa Jina la Musa Juma mwenye Umri wa miaka Kumi (10) Mkazi wa Bwawani Wilayani Kiteto…
27 February 2025, 13:54
Kijiji hiki cha ujamaa kilitengwa tangu mwaka 1972. Na Yussuph Hassan. Leo mwana fahari Yussuph Hassani anazungumza na diwani wa kata ya Chali ambae anaelezea kuhusu wenyeji wa kijiji hicho na shughuli zinazo fanyika kijijini hapo,
27 February 2025, 13:41
Wakazi wa kijiji hiki wengi wanajihusisha na kilimo . Na Yussuph Hassan. Karibu kwenye mfululizo wa makala hii ya Fahari ya Dodoma kuufahamu uzuri wa mkoa wa Dodoma ambapo leo tunakitazama kijiji cha Chikopelo kinachopatikana katika kata ya Chali wilayani…
27 February 2025, 13:26
Amesema katika wagonjwa hao watu wazima walikuwa 1,880 na watoto 904. Na Alfred Bulahya. Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete JKCI imefanikiwa kufanya upasuaji mkubwa wa moyo kwa wagonjwa 2,784 wakifanyiwa upasuaji wa mishipa ya damu na mapafu. Hayo yameelezwa…
27 February 2025, 13:07
Shule 20 zitanufaika na mpango huo zikiwemo shule za Sekondari zinazotoa mafunzo ya ubunifu na ufundi stadi. Na Alfred Bulahya.Mamlaka ya Elimu Tanzania(TEA) imetenga fedha kiasi cha bilioni 3.0 kwajili ya kuimarisha miundombinu ya utoaji wa mafunzo ya amali ili…
26 February 2025, 17:30
Kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi imepelekea wanafunzi kukaa Kwa kubanana kwani baadhi Yao wanalazimika kukaa zaidi ya wanafunzi sabini katika chumba kimoja. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa Pomoja na kufanikiwa kuandikisha watoto wengi wa darasa la kwanza lakini mafanikio hayo…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-