Dodoma FM
Dodoma FM
21 June 2021, 10:06 am
Na; Benard Filbert. Viongozi katika nchi za Afrika wameaswa kuiga msimamo wa aliyekuwa rais wa kwanza wa Zambia Keneth Kaunda ili waweze kukuza uchumi katika mataifa yao. Hayo yameelezwa na mhadhiri mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka chuo kikuu cha…
21 June 2021, 9:50 am
Na; Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Bubutole wilayani Chemba wamelalamika kukosa baadhi ya huduma za kijamii kutokana na utanuzi wa bwawa unao endelea kijijini hapo. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema tangu kutangazwa kwa utanuzi wa bwawa…
19 June 2021, 1:19 pm
Na;Mindi Joseph. Shirika la Hifadhi ya Taifa TANAPA limejipanga kuongeza idadi ya watalii wa ndani na nje ya nchi Katika miaka mitano ijayo kupitia Vyombo vya Habari kuhamasisha wananchi kufanya utalii wa ndani. Tanzania ni nchi ambayo imejaliwa kuwa na…
8 June 2021, 10:35 am
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa malalamiko mengi yanayotolewa na wananchi kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uchaguzi wa tahasusi kwa wanafunzi wa kidato cha tano mwaka huu ni ya upotoshaji . Hayo yameelezwa hii leo na waratibu wasaidizi wa zoezi la…
7 June 2021, 2:20 pm
Na; Yussuph Hans. Serikali imesema inatoa Elimu bila Ada sio Elimu bure hivyo Wazazi washiriki kutoa michango kwa ajili ya maendeleo ya Shule. Hayo yamebainishwa hii leo Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za…
7 June 2021, 1:02 pm
Na; Shani Nicolous. Waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Dkt.Faustine Ndugulile amewataka watoa huduma za mawasilian nchini kuboresha huduma zao na kudhibiti laini zote zilizosajiliwa kimakosa. Amesema hayo wakati akizungumza na watoa huduma za mawasilino nchini katika kikao kilichofanyika…
7 June 2021, 12:37 pm
Na; Mariam Matundu. WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii,jinsia Wazee na watoto Dkt.Dorothy Gwajima ametoa siku 30 kwa kamati ya mpito kufanikisha uchaguzi mkuu wa baraza la taifa la mashirika yasiyo ya kiserikali kwa kuzingatia hadidu rejea zitakazotolewa kwa kazi…
4 June 2021, 2:52 pm
Matukio katika picha. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimkaribisha Balozi wa China aliyemaliza muda wake hapa nchini Wang Ke mara baada ya kuwasili Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma leo tarehe 4 Juni, 2021. Rais…
4 June 2021, 2:06 pm
Leo Juni 4, 2021 aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kujibu tuhuma zinazowakabili. Hayo yanajiri ikiwa ni siku chache zimepita baada ya Rais wa Jamhuri…
4 June 2021, 1:53 pm
Na, Victor Chigwada. Wananchi wanaotumia kituo kikuu cha mabasi Dodoma pamoja na Soko kuu la Job Ndugai wameiomba Serikali kuwawekea kivuko cha juu pamoja na alama za barabarani kwenye eneo hilo ili kuepusha ajali. Wakizungumza na Dododma Fm baadhi ya…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-