Dodoma FM

Recent posts

29 January 2025, 13:38

RC Kagera azindua mafunzo kwa wanahabari juu ya ugonjwa wa marburg

Upo umhimu mkubwa kwa redio jamii kushikiri kuhamasisha jamii juu ya namna na kukabiliana na ugonjwa. Na Mwandishi wetu.Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Hajjat Fatma Abubakari Mwassa, amezindua rasmi semina ya mafunzo ya siku nne kwa waandishi wa habari…

28 January 2025, 18:31

Ukosefu wa taarifa na unyanyapaa vyatajwa makabiliano afya ya akili

Lengo ni kuhakikisha Mapato yatakayopatikana yanachangia upatikanaji wa huduma hiyo. Na Seleman Kodima.Ukosefu wa taarifa sahihi ,unyanyapaa zimetajwa kuwa sababu zinazopeleka jamii kutojitokeza kushiriki afua za kukabiliana na magonywa ya changamoto za afya ya akili. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa…

27 January 2025, 18:23

TRA kuwapunguzia kodi manusura janga la moto

TRA), mkoa wa Dodoma imesema itatumia sheria zilizopo kuwapatia unafuu wa kikodi wafanyabiashara walioathirika. Na Seleman Kodima.Ikiwa siku chache zimepita tangu takribani maduka 14 yaliyopo mtaa wa Kipande katikati ya jiji la Dodoma kuteketea kwa moto, Mamlaka ya Mapato Tanzania…

27 January 2025, 16:00

Ukarabati wa barabara warahisisha mawasiliano Majeleko

Utekelezaji miradi ya kilomita ishirini na tano kwa kiwango cha changarawe imesaidia kuunganisha Vijiji hivyo. Na Victor Chigwada.Ukarabati wa miundombinu ya barabara kutoka wilunze mpaka manzilanzi na Majeleko umesaidia kuleta unafuu wa mawasiliano katika vijiji vya kata ya Majeleko. Hayo…

27 January 2025, 15:45

Wajawazito Muungano wachangia chumba kimoja na wagonjwa wa kawaida

Jengo la mama na mtoto mpaka sasa limefikia hatua ya renta ambapo kwa sasa ujenzi umesimama kutokana na kuishiwa fedha za kuendeleza. Na Seleman Kodima.Uchache wa majengo katika zahanati ya Muungano umesababisha akina mama wajawazito kutumia chumba kimoja kujifungulia. Wakizungumza…

24 January 2025, 13:55

Jeshi la Polisi Manyara lakamata pikipiki 80 zinazovunja sheria

Makosa hayo nikutokuwa nakofia ngumu pamoja na Makosa Mengine. Na Kitana Hamis.Akizungumza kuhusu Operesheni hiyo Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara Ahmed Makarani amesisitiza kuwa Jeshi hilo litawachukulia hatua kali za Kisheria Madereva watakaokiuka Sheria za Usalama Barabarani…

24 January 2025, 13:34

Serikali yaombwa kukamilisha ujenzi wa mitaro Mpwapwa

Wamesema pindi mvua zinaponyesha Maji yanaingia kwenye Nyumba zao hali inayo hatarisha usalama wa wananchi. Na Steven Noel.Wananchi wa mtaa wa hazina kata ya Vig’hawe wilaya ya Mpwapwa wameiomba serikali imalizie ujenzi wa mitaro ya maji kwenye barabara inayojengwa toka…

24 January 2025, 12:30

Wanafunzi 119 Mkoka wakabiliwa na upungufu wa viti mwendo

Dkt. Omary Nkullo ameahidi kuzichukua changamoto zote na kuzifanyia kazi ikiwemo kuona namna ya kuwaajiri walimu wanaojitolea kuwafundisha wanafunzi wenye ulemavu katika kituo hicho. Na Mariam Kasawa.Wanafunzi 119 wenye mahitaji maalum waliopo katika kituo kilichopo Shule ya Msingi Mkoka wilayani…

23 January 2025, 18:17

Mjumbe wa serikali ya mtaa aanguka ghafla na kufariki dunia

Majirani wameeleza Juu ya Tukio hilo lilivyo Tokea. Na Kitana Hamis.Mjumbe wa Serikali ya Mtaa afariki dunia Kwa Kuanguka Ghafla huku Wananchi wengi wakibaki na Maswali Juu ya ya kifo chake. Tukio Hilo limetokea Mtaa wa Majego Kata ya Mtumba…

23 January 2025, 18:06

Vitongoji vitatu jijini Dodoma vyaililia serikali changamoto ya maji

Wakieleza namna ambavyo kukosekana kwa maji safi na salama kunawaathiri wananchi hao, wameiomba serikali kutatua adha hiyo. Na Victor Chigwada.Wananchi wa vitongoji vya Chidobwe, Kaunda na Liwangama Kolimba wameiomba serikali kushughulikia changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger