Dodoma FM

Recent posts

11 April 2022, 14:44

Wajawazito watakiwa kuzingatia lishe

Lishe Hafifu kwa Mama wajawazito imetajwa kuchangia kwa kiasi kikubwa Watoto kuzaliwa wakiwa na upofu wengine uoni Hafifu. Taswira ya habari imezungumza na Daktari wa macho Wilaya Bahi Dk Fortunatus Nkane ambaye pia ni Mratibu wa huduma za Macho Wilayani…

6 April 2022, 15:39

Shule shikizi kilio cha wananchi wengi vijijini

Na; Victor Chigwada. Changamoto ya usajili wa shule shikizi imekuwa kilio Cha maeneo mengi nchini licha ya kuwa shule hizo zimekuwa zikijengwa kwa lengo la kupunguza umbali kwa wanafunzi au kupunguza idadi ya wanafunzi kwa shule mama. Kijiji cha Mima…

6 April 2022, 15:22

Wazazi watakiwa kuwapeleka watoto katika vituo vya Afya

Na;Yussuph Hassan. Wazazi na walezi Mkoani Dodoma wameshauriwa kuhakikisha wanawapeleka Watoto wao katika vituo vya afya kufanya uchunguzi wa Magonjwa mbalimbali ambayo mara nyingi huwa kama yamesahauliwa katika jamii. Akizungumza na kituo hiki Dkt Matthew Gaudance kutoka kituo cha Afya…

6 April 2022, 15:12

Rais Samia Azindua mfumo wa M-mama

Na; Mariam Kasawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh samia Suluhu Hassani amezindua mpando wa M-mama utao wezesha usafirishaji wa dharura kwa wajawazito na watoto wachanga. Uzinduzi huo umefanyika leo katika viwanja vya Chinangali Park vilivyopo jiji Dodoma…

5 April 2022, 13:37

Uvutaji wa sigara hadharani upigwe marufuku

Na;Yussuph Hassan. Wananchi Jijini Dodoma wameiomba Serikali kutilia mkazo suala la baadhi ya watu kuvuta sigara hadharani kwani suala hilo limekuwa na madhara makubwa kiafya. Wakizungumza na kituo hiki baadhi ya wakazi hao wamesema kuwa kutokana na baadhi ya watumiaji…

5 April 2022, 13:27

Watu wenye ulemavu watakiwa kujishughulisha na shughuli mbalimbali

Na; Shani Nicolous.                                      Watu wenye ulemavu wametakiwa kuacha kukaa na kuomba misaada badala yake watafute shughuli za kufanya ili wawezeshwe kufanikisha shughuli zao. Wito huo umetolewa na Bw. Stephano Nyange Bobo mkazi wa Nzuguni ambaye ni mlemavu wa viungo…

1 April 2022, 14:31

Wakazi wa mtaa wa Itega walalamikia kuzagaa kwa takataka

Na; Neema Shirima. Wananchi wa mtaa wa Itega kata ya Nkuhungu jijini Dodoma wamelalamikia suala la kuzagaa kwa takataka katika maeneo hayo kutokana na kutokuwepo gari ya kuzoa takataka hizo. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema magari yanayojishughulisha…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger