Dodoma FM
Dodoma FM
6 November 2025, 2:59 pm
Wazazi na walezi wanapaswa kutambua kuwa elimu ni muhimu kwa mtoto, kwani itamsaidia katika kuwa na uwezo wa kujitambua na kupamabana na changamoto za maisha hivyo ni jukumu la mzazi kuhakikisha mtoto anapata haki yake ya elimu. Na Farashuu Abdallah.…
6 November 2025, 1:44 pm
Baadhi ya abiria kuwa hukumbana na kero ya kuombwa wasaidie kubeba watoto pindi wanapo kuwa safarini kutokana na mzazi kukata siti moja huku watoto alio nao wakikosa mahali pa kukaa. Na Anwary shaban.Abiria wanao tumia huduma ya usafiri wa mabasi…
6 November 2025, 9:44 am
Na Hamisi Makila Ligi ya mpira wa kikapu inatarajiwa kufanyika kuanzia Novemba 26 hadi Decemba 6 2025 mkoani Dodoma ikihusisha timu 16 za wanaume na timu 12 za wanawake. Mchambuzi wa Mpira wa Kikapu Bon Charles amezitaka timu hizo kujiandaa…
5 November 2025, 4:35 pm
Johari ameapishwa baada ya kuteuliwa na Rais Samia Novemba 3, 2025, saa chache baada ya Samia kuapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Na Yussuph HassanRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemwapisha Hamza Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Johari ameapishwa…
5 November 2025, 4:17 pm
Aidha Mtahu ameshauri vijana kujituma katika umri wao kwani wakati huo hukutana na watu wengi ambao wangeweza kuwasaidia kutokana na nguvu kazi waliyo kuwanayo. Na Farashuu Abdalah. Vijana wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kuepuka athari zinazoweza kujitokeza hapo baadae…
5 November 2025, 3:37 pm
Wazazi wana jukumu la kuwapeleka watoto wao kuhudhuria madarasa ya dini ili kujenga jamii yenye hofu ya Mungu. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa maadili ya kidini kwa watoto na vijana kunaweza kuhatarisha usalama wa jamii na hata Taifa…
4 November 2025, 3:53 pm
Afisa habari wa kikosi cha Singida black stars Hussen Masanza ameelezea maandalizi ya kikosi hicho baada ya kupangwa kundi c katika hatua ya makundi kwenye shirikisho la mpira barani Afika.
4 November 2025, 3:00 pm
Hali imeendelea kuimarika katika jiji la Dodoma na wananchi wameendelea na shughuli zao kama kawaida huku huduma za usafiri zikirejea , maduka yaliyo kuwa yamefungwa yakifunguliwa. Na Mariam Kasawa.Baada ya serikali hapo jana kuruhusu shughuli za kijamii katika maeneo mbalimbali…
28 October 2025, 3:56 pm
Changamoto hizo zinatajwa kupelekea mchezo huo kuto kukamilika. Hamis makila amezungumza na meneja uwanja wa Jamhuri Bw. Hussein Mhando ambapo ameeleza changamoto zilizo tokea hadi kupelekea taa kusumbua uwanjani hapo na kupelekea mchezo huo kukatishwa.
28 October 2025, 3:44 pm
Na Waandishi wetu.Kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika siku ya kesho, ambayo ni 29 Oktoba, waandishi wa habari wamefanya mahojiano na wasimamizi wa uchaguzi mkoa wa Dodoma ili kufahamu maandalizi yapoje mpaka mpaka sasa. Tunaungana na Selemani Kodima ambaye amezungumza na Msimamizi…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-