Dodoma FM

Recent posts

10 November 2025, 4:20 pm

Gunners na tumaini la kuibuka na alama tatu

Kocha mkuu wa timu hiyo ya Gunners Juma Ikaba anasema wana imani kubwa wataibuka na alama tatu katika mchezo unao fuata wa ligi hiyo dhidi ya mchezo wao na Geita gold.

10 November 2025, 4:00 pm

Ufahamu uhusiano kati ya afya ya kinywa na ubongo

Mtu mwenye magonjwa yasiyoambukiza anaweza pia kuathiriwa na magonjwa ya kuambukiza. Na Seleman Kodima.Mratibu wa Magonjwa Yasiyoambukiza mkoani Dodoma, Dkt. Missana Yango, amesema kuna uhusiano mkubwa kati ya afya ya kinywa na ubongo, akibainisha kuwa matatizo ya kinywa yanaweza kuathiri…

10 November 2025, 3:36 pm

Mmomonyoko wa maadili wapelekea vijana kutoaminika

Kwa mujibu wa tafiti zilizotajwa, mitandao ya kijamii inaonekana kuwa na athari kubwa zaidi kwa vijana walioko katika kipindi cha kubalehe, ikilinganishwa na muziki, filamu, au hata marafiki wa karibu. Na Farashuu Abdallah.Jamii imetakiwa kuwekeza kwa dhati katika malezi ya…

10 November 2025, 1:20 pm

Safari ya binti Fanikiwa kutoka katika matumizi ya Skanka

Awali, nilikutana na Fanikiwa na kukuandalia taarifa hii fupi, ikieleza jinsi mdogo wake alivyomsaidia kuachana na matumizi hayo na kuanza upya maisha yenye matumaini. Na Seleman Kodima.Fanikiwa Subukheri—sio Jina lake halisi —ni kijana mdogo aliyewahi kutumbukia katika matumizi ya dawa…

7 November 2025, 4:34 pm

Migogoro ya familia inavyoathiri malezi ya watoto

jamii imetakiwa kuacha migogoro  na kuzingatia maslahi ya watoto katika familia. Na Anwary Shaban. Imeelezwa kuwa migogoro na ugomvi kati ya baba na mama ndani ya familia ni miongoni mwa vichocheo vinavyochangia katika malezi mabaya ya watoto. Kauli hiyo imetolewa…

7 November 2025, 3:50 pm

Mnoko yaiomba serikali kuwasogezea huduma ya umeme

zaidi ya vitongoji 7 kati ya 10 katika Kijiji cha Mpwayungu vina uhitaji na nishati ya umeme Na Victor Chigwada. Wakazi wa kitongoji cha Mnoho Kijiji Cha Mpwayungu jijini Dodoma wameiomba serikali kuwapelekea huduma ya nishati ya umeme itakayosaidia katika…

7 November 2025, 2:41 pm

Wakandarasi watakiwa kuharakisha ujenzi soko la Majengo

Ukarabati wa soko hilo unatekelezwa kupitia mradi wa Tactics ambapo takribani wafanyabiashara 1,795 watanufaika na soko hili. Na Lilian Leopold. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wakandarasi wanaokarabati soko la Majengo jijini Dodoma kuhakikisha mradio huo unakamilika…

6 November 2025, 3:47 pm

Chanhumba yaomba huduma ya nishati safi

Serikali imedhamiria kubadili matumizi kutoka kwenye kuni, mkaa na nishati zisizosafi, kwenda kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia ambapo serikali imesema inategemea ifikapo mwaka 2034 angalau takriban 80% ya kaya za Tanzania zitakuwa zinatumia nishati safi ya kupikia. Na Victor…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger