Dodoma FM
Dodoma FM
10 November 2025, 4:20 pm
Kocha mkuu wa timu hiyo ya Gunners Juma Ikaba anasema wana imani kubwa wataibuka na alama tatu katika mchezo unao fuata wa ligi hiyo dhidi ya mchezo wao na Geita gold.
10 November 2025, 4:00 pm
Mtu mwenye magonjwa yasiyoambukiza anaweza pia kuathiriwa na magonjwa ya kuambukiza. Na Seleman Kodima.Mratibu wa Magonjwa Yasiyoambukiza mkoani Dodoma, Dkt. Missana Yango, amesema kuna uhusiano mkubwa kati ya afya ya kinywa na ubongo, akibainisha kuwa matatizo ya kinywa yanaweza kuathiri…
10 November 2025, 3:36 pm
Kwa mujibu wa tafiti zilizotajwa, mitandao ya kijamii inaonekana kuwa na athari kubwa zaidi kwa vijana walioko katika kipindi cha kubalehe, ikilinganishwa na muziki, filamu, au hata marafiki wa karibu. Na Farashuu Abdallah.Jamii imetakiwa kuwekeza kwa dhati katika malezi ya…
10 November 2025, 1:20 pm
Awali, nilikutana na Fanikiwa na kukuandalia taarifa hii fupi, ikieleza jinsi mdogo wake alivyomsaidia kuachana na matumizi hayo na kuanza upya maisha yenye matumaini. Na Seleman Kodima.Fanikiwa Subukheri—sio Jina lake halisi —ni kijana mdogo aliyewahi kutumbukia katika matumizi ya dawa…
10 November 2025, 12:46 pm
Kupitia shughuli ya ukusanyaji wa plastiki, kazi hii imekuwa chanzo cha ajira na kipato cha familia. Na Lilian Leopold.Kile ambacho wengi hukiona kama taka, kwa wengine ni njia ya kujipatia ridhiki, jijini Dodoma shughuli ya ukusanyaji wa plastiki imekuwa mkombozi…
7 November 2025, 5:00 pm
Hamis Makila amezungumza na kocha mkuu wa kikosi hicho Given ambapo ameelezea maandalizi ya kikosi hicho.
7 November 2025, 4:34 pm
jamii imetakiwa kuacha migogoro na kuzingatia maslahi ya watoto katika familia. Na Anwary Shaban. Imeelezwa kuwa migogoro na ugomvi kati ya baba na mama ndani ya familia ni miongoni mwa vichocheo vinavyochangia katika malezi mabaya ya watoto. Kauli hiyo imetolewa…
7 November 2025, 3:50 pm
zaidi ya vitongoji 7 kati ya 10 katika Kijiji cha Mpwayungu vina uhitaji na nishati ya umeme Na Victor Chigwada. Wakazi wa kitongoji cha Mnoho Kijiji Cha Mpwayungu jijini Dodoma wameiomba serikali kuwapelekea huduma ya nishati ya umeme itakayosaidia katika…
7 November 2025, 2:41 pm
Ukarabati wa soko hilo unatekelezwa kupitia mradi wa Tactics ambapo takribani wafanyabiashara 1,795 watanufaika na soko hili. Na Lilian Leopold. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wakandarasi wanaokarabati soko la Majengo jijini Dodoma kuhakikisha mradio huo unakamilika…
6 November 2025, 3:47 pm
Serikali imedhamiria kubadili matumizi kutoka kwenye kuni, mkaa na nishati zisizosafi, kwenda kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia ambapo serikali imesema inategemea ifikapo mwaka 2034 angalau takriban 80% ya kaya za Tanzania zitakuwa zinatumia nishati safi ya kupikia. Na Victor…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-