Dodoma FM

Recent posts

10/02/2026, 17:05

ITU yaitaja Tanzania kuwa kinara usalama mtandaoni

Maadhimisho ya Siku ya Usalama Mtandaoni yanaendelea kutumika kama jukwaa muhimu la kuelimisha jamii juu ya matumizi salama ya teknolojia ya habari, huku Tanzania ikiendelea kuimarisha nafasi yake katika usimamizi wa usalama wa mtandao kikanda na kimataifa. Na Anwary Shaban.Tanzania…

10/02/2026, 16:28

Kamati ya siasa Chamwino yaridhishwa ujenzi wa mradi wa maji

Kukamilika kwa Mradi huo utaongeza upatikanaji wa Majisafi kutoka asilimia 91 ya sasa hadi asilimia 100 na utaenda kuhudumia wananchi zaidi ya 59,085 katika eneo la kihuduma la DUWASA katika Mji wa Chamwino, ambapo Kata 4 zenye jumla ya Vijiji…

10/02/2026, 12:14

Nyumba zilizopanda miti Iyumbu zakabidhiwa vyeti

Amewasisitiza wananchi kuzingatia sheria ya kuzuia mifugo kuzurura ovyo mitaani kwnai inachangia kwa kiasi kikubwa uharibifu wa mazingira. Na Mariam Kasawa.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amekabidhi vyeti kwa kaya zilizofanya vizuri kwenye zoezi la upandaji miti nyumba…

10/02/2026, 11:51

Wananchi Ihumwa wataka suluhisho wizi wa mifugo

Hayo yana jiri ikiwa ni siku chache tangu familia moja kuibiwa Ngombe wote walio kuwa zizini katika kitongoji Cha Ilolo kata ya Ihumwa. Na Victor Chigwada.Changamoto ya wizi wa mifugo imebua sauti za wakazi wa Mtaa wa Ihumwa na viunga…

10/02/2026, 10:57

Bwawani waiomba serikali kukarabati barabara za mitaa

Wananchi wa mtaa wa Bwawani wanaendelea kutoa wito kwa serikali za mitaa na mamlaka husika kuhakikisha miundombinu ya barabara inaboreshwa ili kuwawezesha kuendelea na shughuli zao kwa urahisi, hususan katika kipindi hiki cha mvua. Na Anwary Shaban.Wakazi wa mtaa wa…

10/02/2026, 10:37

Serikali yatoa mwelekeo wa kuongeza mbegu himilivu

Kwa Tanzania na nchi nyingine zinazokabiliwa na ukame, uwekezaji katika mbegu himilivu na kilimo kinachostahimili mabadiliko ya tabianchi si hiari tena—ni hitaji la dharura. Na Mariam Kasawa. Katika miaka ya karibuni, mabadiliko ya tabianchi yameendelea kuitikisa dunia, yakiacha athari kubwa…

06/02/2026, 12:48

Posta kutumia wataalam wa lugha za alama

Hatua ya Shirika la Posta Tanzania kuanza kutumia  wataalam wa lugha ya alama inatajwa kuwa mfano wa kuigwa kwa tasisi  zingine za umma katika kuhakikisha haki ya kupata huduma inazingatia kila mwananchi bila ubaguzi. Na Anwary Shaban. Shirika la Posta Tanzania…

06/02/2026, 11:54

Viti kutoka uwanja wa Benjamin Mkapa kufungwa Jamhuri Dodoma

Hayo yamebainishwa na Meneje wa uwanja huo Hussein Muhando wakati akizungumzia ujio wa viti hivyo. Na Hamis MakilaJumla ya viti 5,500 kutoka katika uwanja wa Benjamin Mkapa vinatarajiwa kufungwa katika uwanja wa Jamhuri Dodoma mwanzoni mwa mwezi wa March mwaka…

06/02/2026, 11:29

Ramadhan cup kufanyika Dodoma

Ada ya usajili katika mashindano hayo ikiwa ni shilingi 35,000/= ambapo mwisho wa usajili katika mashindano hayo ni tarehe 15. Na Hamis Makila.Jumla ya Timu 16 zinatarajiwa kushiriki Michuano ya Ramdhani Cup katika viwanja vya @theafricandreamsarena , michuano itakayo anza…

05/02/2026, 17:06

Watakiwa kuwafuata wenye ulemavu mikopo ya 10%

Kwagilwa ametoa kauli hiyo bungeni Jijini Dodoma, akijibu maswali ya wabunge kuhusu utoaji wa mikopo hiyo. Na Mariam Kasawa. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Reuben Kwagilwa, amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri na…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger