Dodoma FM

Recent posts

6 February 2025, 3:10 pm

Wananchi wasifia huduma za afya BMH

Prof. Abel Makubi amesema wanatamani sasa hospitali ya Benjamin Mkapa iwe hospitali ya taifa. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kuendelea kujitokeza na kupata huduma ya matibabu katika hospitali ya Benjamini Mkapa ambayo ni hospitali ya kibingwa . Hayo yamesemwa na Spika…

5 February 2025, 12:57 pm

Wananchi wilayani Kiteto waeleza changamoto zao kilele wiki ya sheria

Mashauri yanayokwenda kwa viongozi na yanashidwa kushughulikiwa mwisho siku yanakaa mda mrefu . Na Kitana Hamis.Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Kiteto Boniface Lemwita ambaye pia alikuwa Mgeni rasim katika kilele cha Mazimisho ya Sheria wilayani Kiteto anasema Miongoni mwa…

5 February 2025, 12:24 pm

Bodi ya wakurugenzi UCSAF yasisitizwa kukamilisha ujenzi wa minara 758

Waziri Slaa ameitaka bodi kuzingatia miongozo, taratibu na sheria za uendeshaji wa shughuli za Bodi, ili kuhakikisha utekelezaji wa majukumu yao unakuwa wa ufanisi na wenye tija. Na Mariam Matundu.Waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Mhe Jerry Sillaa ameitaka…

5 February 2025, 11:52 am

Serikali kufanya sensa ya uzalishaji viwandani

Amesema lengo la sensa hiyo ni kupata taarifa za kina za kitakwimu zitakazo iwezesha serikali na wadau kufanya maamuzi yenye ushahidi wa kitakwimu katika kuhuisha na kuboresha sera, mipango na program za maendeleo ya sekta ya viwanda na uchumi wa…

3 February 2025, 11:57 am

RC Manyara acharuka wilayani Kiteto matumizi ya mirungi, bangi

walifanikiwa kuwakamata wahalifu huku wakiwa na ushahidi lakini walikumbana na vitisho dhidi ya oparesheni hiyo. Na Kitana Hamis.Vita thidi ya Dawa za Kulevya Mirungi na Bangi hapa Wilayani Kiteto Mkoani Manyara inatajwa kuwa na Changamoto Kubwa na inaelezwa kuwa kila…

31 January 2025, 6:07 pm

Vijana wenye umri mdogo wajikita kwenye mkumbo wa ulevi Dodoma

Dodoma FM imezungumza na baadhi ya vijana wanaotuhumiwa kutumia pombe hizo nao wanasema. Na Kitana Hamis.Tegemeo Kubwa la Taifa nipamoja na Nguvu Kazi ya Vijana ili kuhakikisha Taifa linazindi kwenda mbeli. Mtaa wa Msejerere kata ya Mtumba Jijini Dodoma nitofauti…

29 January 2025, 2:45 pm

Wakazi wa Nzelenze waililia Serikali matumizi ya maji yasiyo salama

Changamoto hiyo inawaathiri baadhi ya wananchi wa vitongoji hivyo hali inayopelekea hitaji la maji kuwa kubwa zaidi . Na Victor Chigwada.Wananchi wa kitongoji cha Nzelenze Kata ya Itiso Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuongeza visima vya maji safi na salama…

29 January 2025, 1:38 pm

RC Kagera azindua mafunzo kwa wanahabari juu ya ugonjwa wa marburg

Upo umhimu mkubwa kwa redio jamii kushikiri kuhamasisha jamii juu ya namna na kukabiliana na ugonjwa. Na Mwandishi wetu.Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Hajjat Fatma Abubakari Mwassa, amezindua rasmi semina ya mafunzo ya siku nne kwa waandishi wa habari…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger