

6 February 2025, 3:10 pm
Prof. Abel Makubi amesema wanatamani sasa hospitali ya Benjamin Mkapa iwe hospitali ya taifa. Na Mariam Kasawa.Wananchi wametakiwa kuendelea kujitokeza na kupata huduma ya matibabu katika hospitali ya Benjamini Mkapa ambayo ni hospitali ya kibingwa . Hayo yamesemwa na Spika…
5 February 2025, 12:57 pm
Mashauri yanayokwenda kwa viongozi na yanashidwa kushughulikiwa mwisho siku yanakaa mda mrefu . Na Kitana Hamis.Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Kiteto Boniface Lemwita ambaye pia alikuwa Mgeni rasim katika kilele cha Mazimisho ya Sheria wilayani Kiteto anasema Miongoni mwa…
5 February 2025, 12:24 pm
Waziri Slaa ameitaka bodi kuzingatia miongozo, taratibu na sheria za uendeshaji wa shughuli za Bodi, ili kuhakikisha utekelezaji wa majukumu yao unakuwa wa ufanisi na wenye tija. Na Mariam Matundu.Waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Mhe Jerry Sillaa ameitaka…
5 February 2025, 11:52 am
Amesema lengo la sensa hiyo ni kupata taarifa za kina za kitakwimu zitakazo iwezesha serikali na wadau kufanya maamuzi yenye ushahidi wa kitakwimu katika kuhuisha na kuboresha sera, mipango na program za maendeleo ya sekta ya viwanda na uchumi wa…
3 February 2025, 12:58 pm
Kukithiri kwa Vitendo hivi kumeibua ofisi ya Mashitaka nchini Dpp kuazisha Ofisi ndogo Kiteto. Na Kitana Hamis.Suala la ukatili wa kijinsia limeshika kasi katika wilaya ya Kiteto ambapo kwa mujibu wa wenyeji wa wilaya hii wanalalamika kuwa vitendo vya ukatili…
3 February 2025, 11:57 am
walifanikiwa kuwakamata wahalifu huku wakiwa na ushahidi lakini walikumbana na vitisho dhidi ya oparesheni hiyo. Na Kitana Hamis.Vita thidi ya Dawa za Kulevya Mirungi na Bangi hapa Wilayani Kiteto Mkoani Manyara inatajwa kuwa na Changamoto Kubwa na inaelezwa kuwa kila…
31 January 2025, 6:07 pm
Dodoma FM imezungumza na baadhi ya vijana wanaotuhumiwa kutumia pombe hizo nao wanasema. Na Kitana Hamis.Tegemeo Kubwa la Taifa nipamoja na Nguvu Kazi ya Vijana ili kuhakikisha Taifa linazindi kwenda mbeli. Mtaa wa Msejerere kata ya Mtumba Jijini Dodoma nitofauti…
29 January 2025, 4:01 pm
Na Seleman Kodima.Elimu ni msingi muhimu kwa maendeleo ya jamii na uchumi wa nchi yoyote. Hata hivyo, takwimu za Ofisi ya Rais Tamisemi zinaonyesha kwamba mwaka 2022, wanafunzi wa kike 66,466 wa sekondari na 81,239 wa shule za msingi waliacha…
29 January 2025, 2:45 pm
Changamoto hiyo inawaathiri baadhi ya wananchi wa vitongoji hivyo hali inayopelekea hitaji la maji kuwa kubwa zaidi . Na Victor Chigwada.Wananchi wa kitongoji cha Nzelenze Kata ya Itiso Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuongeza visima vya maji safi na salama…
29 January 2025, 1:38 pm
Upo umhimu mkubwa kwa redio jamii kushikiri kuhamasisha jamii juu ya namna na kukabiliana na ugonjwa. Na Mwandishi wetu.Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Hajjat Fatma Abubakari Mwassa, amezindua rasmi semina ya mafunzo ya siku nne kwa waandishi wa habari…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-