Dodoma FM
Dodoma FM
12 January 2026, 2:14 pm
Mafanikio haya ni mwendelezo wa safari ya Tanzania ya kupanda ngazi katika ukomavu wa TEHAMA serikalini, na kuendelea kujijengea taswira chanya kimataifa na kikanda. Na Mwandshi wetu. Tanzania imeendelea kung’ara kimataifa baada ya Benki ya Dunia (World Bank – WB)…
12 January 2026, 1:50 pm
Sanjari na hayo, Rashidi Rafael amewahimiza wananchi kuwa waaminifu, wazalendo na wawazi katika kutoa taarifa kwa vyombo husika, akisisitiza kuwa taarifa hizo zitashughulikiwa kwa mujibu wa sheria ili kulinda usalama wa jamii na taifa kwa ujumla. Na Anwary Shabani. Jeshi…
12 January 2026, 1:26 pm
Kauli hiyo inatokana na Waraka wa Elimu Na. 05 wa mwaka 2025 na Waraka wa Elimu Na. 06 wa mwaka 2025, ambapo Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeeleza rasmi ratiba ya muhula wa masomo kwa shule za awali, msingi…
9 January 2026, 4:48 pm
Aidha mwanasheria huyo ameeleza kuwa endapo mzazi atashindwa kufanya hivyo atachukuliwa hatua stahiki na atatakiwa kueleza sababu ni zipi zilizopelekea kushindwa kwake kutimiza wajibu wake. Na Mwandishi wetu. Wazazi na walezi nchini wametakiwa kuhakikisha wanawaandikisha watoto shule katika kuanza muhula…
9 January 2026, 4:24 pm
Wachimbaji hao wamesema endapo watapatiwa huduma ya umeme katika machimbo hayo itasaidia kukuza uwekezaji na kurahisisha uchimbaji. Na Victor Chigwada. Wananchi wanaojishughulisha na uchimbaji wa madini aina ya dhahabu katika migodi ya Manyemba na Nayu Kata ya Dabalo Wilaya ya…
9 January 2026, 4:10 pm
Kwa sasa shule hiyo imezidiwa na wingi wa wanafunzi hali inayopelekea darasa moja kukaliwa na wanafunzi hadi 100. Na Victor Chigwada. Mrundikano wa wanafunzi katika shule ya msingi Dabalo, wilaya ya Chamwino jijini Dodoma umepelekea wanafunzi kushindwa kuwaelewa walimu wanapokuwa…
9 January 2026, 3:52 pm
Kikao hicho kimelenga kutoa elimu ya awali na kujenga uelewa kwa viongozi kuhusu mpango huo muhimu kwa ustawi wa wananchi. Na Kitana Hamis. Wilaya ya Kiteto imeonyesha utayari mkubwa katika utekelezaji wa Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote baada…
9 January 2026, 3:31 pm
Ameeleza kuwa baadhi ya wakulima wamekuwa wakipata hasara kutokana na makosa ya kulima bila kutifua ardhi, kutotumia mbegu bora na kupanda bila kufuata kanuni za kitaalamu. Na Anwary Shabani. Wakulima wametakiwa kutambua ukanda wa kilimo wanaoishi ili kufanya maandalizi sahihi…
9 January 2026, 2:41 pm
Picha ni baadhi ya wananchi waliojitokeza halmashauri ya jiji la Dodoma kuchukua namba kwa ajili ya malipo ya viwanja. Picha na Lilian Leopold. Hatua hiyo inatekelezwa kufuatia notisi ya siku 21 iliyotolewa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuanzia tarehe…
8 January 2026, 4:46 pm
Wameeleza kuwa uwazi wa mapato na matumizi yatokanayo na shughuli za uchimbaji wa madini katika mgodi wa Nholi ni jambo la msingi katika kuimarisha uwajibikaji na ushiriki wa wananchi katika masuala ya maendeleo ya kijiji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-