Dodoma FM

Recent posts

11/02/2026, 15:50

Mfumo wa kilimo bando kurahisisha huduma kwa wakulima

Kupitia mfumo huo wa kidijitali, wafanyabiashara na wakulima wataweza kutunza kumbukumbu zao za biashara kwa urahisi, kupanua wigo wa masoko, na kuongeza ajira kwa vijana na wanawake kupitia mnyororo mzima wa thamani wa kilimo. Na Anwary Shaban Takribani asilimia 65…

11/02/2026, 12:40

Wakazi Chiona waiomba serikali kuwajengea zahanati

Chilewa ameongeza kuwa hata hivyo upo mpango wa ujenzi wa zahanati mpya ambayo ilianzishwa na wananchi hivyo wanasubiri ujenzi ambao utaondoa kilio Cha wananchi hao. Na Mariam Kasawa. Wananchi wa kijiji cha Chiona Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kutatua kero…

11/02/2026, 12:13

COP 30: Kilimo funika, tumaini jipya kwa wakulima wa maeneo kame

‎‎Kadri dunia inavyoelekea COP 30, simulizi za wakulima wa Kongwa na kijiji cha Chololo zinaendelea kuonyesha kuwa suluhisho la mabadiliko ya tabianchi lipo mashambani. Kinachohitajika sasa ni uwekezaji katika teknolojia rafiki kwa wakulima, ili mbinu hizi endelevu ziweze kutumika kwa…

10/02/2026, 17:05

ITU yaitaja Tanzania kuwa kinara usalama mtandaoni

Maadhimisho ya Siku ya Usalama Mtandaoni yanaendelea kutumika kama jukwaa muhimu la kuelimisha jamii juu ya matumizi salama ya teknolojia ya habari, huku Tanzania ikiendelea kuimarisha nafasi yake katika usimamizi wa usalama wa mtandao kikanda na kimataifa. Na Anwary Shaban.Tanzania…

10/02/2026, 16:28

Kamati ya siasa Chamwino yaridhishwa ujenzi wa mradi wa maji

Kukamilika kwa Mradi huo utaongeza upatikanaji wa Majisafi kutoka asilimia 91 ya sasa hadi asilimia 100 na utaenda kuhudumia wananchi zaidi ya 59,085 katika eneo la kihuduma la DUWASA katika Mji wa Chamwino, ambapo Kata 4 zenye jumla ya Vijiji…

10/02/2026, 12:14

Nyumba zilizopanda miti Iyumbu zakabidhiwa vyeti

Amewasisitiza wananchi kuzingatia sheria ya kuzuia mifugo kuzurura ovyo mitaani kwnai inachangia kwa kiasi kikubwa uharibifu wa mazingira. Na Mariam Kasawa.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amekabidhi vyeti kwa kaya zilizofanya vizuri kwenye zoezi la upandaji miti nyumba…

10/02/2026, 11:51

Wananchi Ihumwa wataka suluhisho wizi wa mifugo

Hayo yana jiri ikiwa ni siku chache tangu familia moja kuibiwa Ngombe wote walio kuwa zizini katika kitongoji Cha Ilolo kata ya Ihumwa. Na Victor Chigwada.Changamoto ya wizi wa mifugo imebua sauti za wakazi wa Mtaa wa Ihumwa na viunga…

10/02/2026, 10:57

Bwawani waiomba serikali kukarabati barabara za mitaa

Wananchi wa mtaa wa Bwawani wanaendelea kutoa wito kwa serikali za mitaa na mamlaka husika kuhakikisha miundombinu ya barabara inaboreshwa ili kuwawezesha kuendelea na shughuli zao kwa urahisi, hususan katika kipindi hiki cha mvua. Na Anwary Shaban.Wakazi wa mtaa wa…

10/02/2026, 10:37

Serikali yatoa mwelekeo wa kuongeza mbegu himilivu

Kwa Tanzania na nchi nyingine zinazokabiliwa na ukame, uwekezaji katika mbegu himilivu na kilimo kinachostahimili mabadiliko ya tabianchi si hiari tena—ni hitaji la dharura. Na Mariam Kasawa. Katika miaka ya karibuni, mabadiliko ya tabianchi yameendelea kuitikisa dunia, yakiacha athari kubwa…

06/02/2026, 12:48

Posta kutumia wataalam wa lugha za alama

Hatua ya Shirika la Posta Tanzania kuanza kutumia  wataalam wa lugha ya alama inatajwa kuwa mfano wa kuigwa kwa tasisi  zingine za umma katika kuhakikisha haki ya kupata huduma inazingatia kila mwananchi bila ubaguzi. Na Anwary Shaban. Shirika la Posta Tanzania…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger