Dodoma FM
Dodoma FM
3 March 2026, 15:31
Huduma zingine ni za tiba ya maumivu, huduma ya upasuaji rekebishi wa viungo vilivyopooza, huduma ya upasuaji wa uvimbe na ubongo kwa kutumia teknolojia ya fluorescein na kuanza kwa wodi mpya za kisasa za ‘premier’ kwa ajili ya wagonjwa maalum…
3 March 2026, 12:50
Amesema kauli mbiu ya “Keroyako, wajibuwangu” imeboreshwa na sasa KAULI MBIU NI KERO YAKO,WAJIBU WANGU,TABASAMU NA DKT SAMIA ili kuendana na dhamira ya Serikali ya kuona Watanzania wanapata furaha na huduma bora. Na Ibrahim Jamal. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,…
2 March 2026, 18:09
Kwa ujumla, kikao hicho kimeweka msisitizo katika usimamizi madhubuti wa fedha za umma, kukamilisha miradi ya maendeleo na kuimarisha miundombinu ya jiji, hatua inayotarajiwa kuongeza ufanisi wa huduma na kuchochea maendeleo ya wananchi wa Dodoma. Na Anwary Shaban. Baraza la…
2 March 2026, 17:45
Wananchi wote walio vamia na kujikatia vipande katika eneo hilo kabla ya kusubiri kutolewa na mamlaka wametakiwa kuondoka mara moja. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa hapo awali ili kulinda mazingira ya eneo la kimila Kwa wakazi wa Mapinduzi A waliunda…
2 March 2026, 16:52
Mafunzo hayo yanatarajiwa kuwajengea wanafunzi maarifa, ujuzi na mitazamo chanya itakayowawezesha kujitambua, kujiamini na kufanya maamuzi sahihi. Na Mariam Kasawa. Wawezeshaji wa Stadi za Maisha katika Shule za Sekondari watakiwa kuwa na nidhamu ya hali ya juu katika taaluma yao…
27 February 2026, 17:03
Aidha amewahimiza wakazi wa Chinyika wajitokeze kwa wingi katika mkutano utakaofanyika kesho Na Farashuu Abdallah. Wakazi wa mtaa wa Chinyika kata ya Mkonze jijini Dodoma wameiomba serikali kutatua changamoto ya maji ambayo imekuwa ni kero ya muda mrefu. Wakizungumza na…
26 February 2026, 17:46
Serikali inataka kukuza ustawi wa jamii, malezi bora ya watoto na afya ya akili, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wananchi wanapata elimu na huduma zinazowawezesha kuishi maisha yenye ustawi na tija. Na Mwandishi wetu.Serikali imesema itaendelea kuimarisha malezi ya watoto…
26 February 2026, 12:50
Ameongeza kuwa jumla ya rufaa 26 zimewasilishwa na kushughulikiwa na mamlalaka ya rufani ya zabuni za Umma. Na Bennard Komba. Imeelezwa kuwa kutungwa upya kwa sheria ya manunuzi serikalini 2024/2025 imesaidia kuboresha manunuzi Pamoja na sekta ya ugavi Pamoja na…
26 February 2026, 12:10
Mkutano huo umeelezwa kuwa sehemu ya juhudi za pamoja za serikali na wadau kuhakikisha watoto wote wanapata fursa ya elimu bora ya awali na kuandaliwa kuwa wananchi wenye tija kwa maendeleo ya Taifa. Na Farashuu Abdallah. Katika juhudi za uboreshaji…
26 February 2026, 11:57
Wananchi wa eneo hilo wameishukuru serikali kwa kutoa fedha kwaajili ya ujenzi wa sekondari hiyo. Na Victor Chigwada. Ujenzi wa shule ya sekondari Mapinduzi A umekuwa mkombozi Kwa wanafunzi wa mtaa huo ambao hapo awali walilazimika kutembea umbali mrefu hadi…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-