Dodoma FM

Recent posts

19 November 2025, 2:16 pm

Uchambuzi baraza jipya la mawaziri

Mwandishi wetu Selemani Kodima ametuandalia Uchambuzi mfupi Na Seleman Kodima.Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kuwaapisha mawaziri 27 na manaibu 29 wa baraza jipya la Mawaziri ,ipo mitazamo tofauti juu ya Baraza hilo.…

19 November 2025, 1:55 pm

Baba ruksa kumwona mtoto hata kama hatoi matunzo

Wakili Jacquiline amesisitiza endapo baba anakataa au anashindwa kutoa matunzo, mama anaweza kufika ofisi za Ustawi wa Jamii au kufungua kesi mahakamani, ambapo mahakama inaweza kuamuru baba kugharamia chakula, elimu, afya na makazi ya mtoto kulingana na kipato chake. Na…

17 November 2025, 4:07 pm

Watakiwa kutumia fursa za kiafya kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza

Wito huo umetolewa na Bi. Florian Kazi, mwakilishi wa shirika la External International kutoka China, linalojihusisha na utoaji tiba kwa magonjwa sugu bila upasuaji, katika semina fupi iliyofanyika kanisa la Mt. Joseph, Ihumwa jijini Dodoma. Na Victor Chigwada.Wananchi wametakiwa kutumia…

17 November 2025, 3:50 pm

Wanawake watakiwa kutokuwa na hofu katika fani ya udereva

Hata hivyo, madereva hao wamebainisha changamoto wanazokumbana nazo, ikiwemo kutoaminika na baadhi ya watu kutokana na jinsia yao, hali ambayo wamesema inapaswa kubadilika ili kutoa nafasi sawa kwa wote. Na Farashuu Abdallah.Wanawake nchini wametakiwa kuondoa hofu ya kujifunza fani ya…

17 November 2025, 3:36 pm

Umuhimu wa mama mjamzito kuandaa vifaa kabla ya kujifungua

Leo katika kipengele cha mama na mtoto tunaangazia umuhimu wa mama mjamzito kuandaa vifaa vya kujifungulia mapema. Na Anitha Mganga Midwife Anitha Mganga anaeleza pia anabainisha ni vifaa gani mama anavyopaswa kuandaa kabla ya kujifungua.

17 November 2025, 3:22 pm

Familia ya MC Pilipili yathibitisha mwili wake kukutwa na majeraha

Familia haikupata nafasi ya kuuona mwili mara moja baada ya taarifa za kifo kutokana na majukumu waliyokuwa nayo. Na Seleman Kodima.Familia ya marehemu mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias maarufu kama MC Pilipili, aliyefariki dunia Novemba 16, 2025 jijini…

14 November 2025, 4:50 pm

BMH kuanzisha kliniki ya kidonda kisukari

Wananchi wamehimizwa kula vyakula vya kulinda mwili na  kuachana na tabia bwete ya kukaa bila mazoezi. Na Mariam Kasawa.Hospitali ya Benjamin Mkapa inatarajia kuanzisha kliniki ya Kidonda kisukari ili kuwasaidia wagonjwa wa kisukari kupata huduma hiyo kwa ukaribu. Kila Novemba…

14 November 2025, 4:23 pm

Jamii yatakiwa kuwa karibu na watu wanaopitia changamoto

Wananchi hao wamesema ni muhimu watu kutoogopa kueleza changamoto wanazopitia ili kupata msaada mapema, badala ya kuamua kujifungia ndani na kuendelea kuteseka kimya kimya Na Farashuu Abdallah.Katika juhudi za kukabiliana na vifo vinavyotokana na changamoto za afya ya akili, jamii…

14 November 2025, 3:43 pm

Watoa huduma za afya wakumbushwa kuzingatia sheria, sera za serikali

Wiki ya Upimaji wa Magonjwa Yasiyoambukiza ilianza Novemba 12 na inahitimishwa leo Novemba 14 katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. Na Lilian Leopold.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaji Jabir Shekimweri, amesisitiza umuhimu wa watoa huduma za afya kufuata sheria…

14 November 2025, 3:14 pm

Ringo Iringo kuboresha miundombinu ya barabara Miyuji

Ameongeza kuwa ahadi alizotoa wakati wa kampeni zitakuwa kipaumbele chake, hususan katika kuboresha barabara za mitaa ambazo zimekuwa kero kwa muda mrefu. Na Seleman Kodima.Baada ya kupata ushindi wa nafasi ya Udiwani katika Kata ya Miyuji kwa kura zaidi ya…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger