Dodoma FM
Dodoma FM
19 November 2025, 2:16 pm
Mwandishi wetu Selemani Kodima ametuandalia Uchambuzi mfupi Na Seleman Kodima.Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kuwaapisha mawaziri 27 na manaibu 29 wa baraza jipya la Mawaziri ,ipo mitazamo tofauti juu ya Baraza hilo.…
19 November 2025, 1:55 pm
Wakili Jacquiline amesisitiza endapo baba anakataa au anashindwa kutoa matunzo, mama anaweza kufika ofisi za Ustawi wa Jamii au kufungua kesi mahakamani, ambapo mahakama inaweza kuamuru baba kugharamia chakula, elimu, afya na makazi ya mtoto kulingana na kipato chake. Na…
17 November 2025, 4:07 pm
Wito huo umetolewa na Bi. Florian Kazi, mwakilishi wa shirika la External International kutoka China, linalojihusisha na utoaji tiba kwa magonjwa sugu bila upasuaji, katika semina fupi iliyofanyika kanisa la Mt. Joseph, Ihumwa jijini Dodoma. Na Victor Chigwada.Wananchi wametakiwa kutumia…
17 November 2025, 3:50 pm
Hata hivyo, madereva hao wamebainisha changamoto wanazokumbana nazo, ikiwemo kutoaminika na baadhi ya watu kutokana na jinsia yao, hali ambayo wamesema inapaswa kubadilika ili kutoa nafasi sawa kwa wote. Na Farashuu Abdallah.Wanawake nchini wametakiwa kuondoa hofu ya kujifunza fani ya…
17 November 2025, 3:36 pm
Leo katika kipengele cha mama na mtoto tunaangazia umuhimu wa mama mjamzito kuandaa vifaa vya kujifungulia mapema. Na Anitha Mganga Midwife Anitha Mganga anaeleza pia anabainisha ni vifaa gani mama anavyopaswa kuandaa kabla ya kujifungua.
17 November 2025, 3:22 pm
Familia haikupata nafasi ya kuuona mwili mara moja baada ya taarifa za kifo kutokana na majukumu waliyokuwa nayo. Na Seleman Kodima.Familia ya marehemu mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias maarufu kama MC Pilipili, aliyefariki dunia Novemba 16, 2025 jijini…
14 November 2025, 4:50 pm
Wananchi wamehimizwa kula vyakula vya kulinda mwili na kuachana na tabia bwete ya kukaa bila mazoezi. Na Mariam Kasawa.Hospitali ya Benjamin Mkapa inatarajia kuanzisha kliniki ya Kidonda kisukari ili kuwasaidia wagonjwa wa kisukari kupata huduma hiyo kwa ukaribu. Kila Novemba…
14 November 2025, 4:23 pm
Wananchi hao wamesema ni muhimu watu kutoogopa kueleza changamoto wanazopitia ili kupata msaada mapema, badala ya kuamua kujifungia ndani na kuendelea kuteseka kimya kimya Na Farashuu Abdallah.Katika juhudi za kukabiliana na vifo vinavyotokana na changamoto za afya ya akili, jamii…
14 November 2025, 3:43 pm
Wiki ya Upimaji wa Magonjwa Yasiyoambukiza ilianza Novemba 12 na inahitimishwa leo Novemba 14 katika Viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma. Na Lilian Leopold.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Alhaji Jabir Shekimweri, amesisitiza umuhimu wa watoa huduma za afya kufuata sheria…
14 November 2025, 3:14 pm
Ameongeza kuwa ahadi alizotoa wakati wa kampeni zitakuwa kipaumbele chake, hususan katika kuboresha barabara za mitaa ambazo zimekuwa kero kwa muda mrefu. Na Seleman Kodima.Baada ya kupata ushindi wa nafasi ya Udiwani katika Kata ya Miyuji kwa kura zaidi ya…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-