

11 February 2025, 6:14 pm
Mafunzo ya waandishi wa habari katika radio za kijamii yamendaliwa na mtandao wa radio jamii,serikali ya mkoa wa kagera pamoja na wizara ya afya ambapo yanafanyika siku 3 kuanzia tarehe 10 ,12,2025 katika manispaa ya Bukoba. Na Benard Filbert.Waandishi wa…
11 February 2025, 5:41 pm
Mbali na vifo vya madereva hao, Sillo amesema kuwa wananchi wa kawaida 283 pia wamefariki dunia kutokana na ajali za bodaboda katika kipindi hicho. Na Lilian Leopord.Jumla ya madereva bodaboda 759 wamefariki dunia kutokana na ajali kati ya mwaka ya…
11 February 2025, 5:14 pm
Rasimu hii ya Bajeti imepitishwa kutumika Elfu Mbili na ishirini na Tano (2025) ishirini na Sita(2026). Na Kitana Hamis.Wananchi wilayani Kiteto wameishauri Bajeti ya zaidi ya shilingi billioni 38 iliyopitishwa na Baraza la madiwani itatue changamoto zinazo wakabili katika sekta…
10 February 2025, 6:12 pm
Jeshi polisi Mkoa wa Dodoma limetoa onyo kwa wote wanaojihusisha na uhalifu na kutoa wito kwa wananchi kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu ili hatua stahiki zichukuliwe dhidi yao. Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia kijana anaefahamika kama Omar Bakari…
10 February 2025, 5:49 pm
Idadi kubwa ya wakazi wa eneo hili ni wafugaji wanakaa maeneo ya pembezoni ambapo ni vigumu kupata taarifa. Na Kitana Hamis.Wananchi wilayani Kiteto Mkoani Manyara waiomba serikali kuwajengea nyumba salama waathiriwa wa vitendo vya ukatili. Wakizungumza na Dodoma Tv Wananchi…
7 February 2025, 5:17 pm
Wananchi wa Eneo hilo walipata wasaa wa Kuzungumza na Dodoma Tv Juu ya Tukio hilo. Na Kitana Hamis.Mwanamke Mmoja ambaye Hajafahamika jina lake anadaiwa kujinyonga hadi kufarikia dunia Wilayani Babati Mkoani Manyara. Nitukio la kutatanisha ambapo limetoke katika mtaa wa…
7 February 2025, 4:15 pm
Mradi huo unatarajia kunufaisha wakulima 27,600 nchi nzima, huku kila Halmashauri ikitarajiwa kupata visima kumi(10). Na Mariam Kasawa.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule amemtaka Mkandarasi wa kuchimba visima vya umwagiliaji katika Mkoa huu, kuhakikisha kuwa anakamilisha mradi huo…
7 February 2025, 3:58 pm
Ikumbukwe kuwa Shindano hili la Masuala ya Usalama Mtandaoni’ yaan CyberChampions 2025 linaratibiwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa lengo la kuibua, kuimarisha na kukuza uwezo kwa vijana kukabili vihatarishi vya usalama mtandaoni na kushiriki kikamilifu kwenye uchumi wa…
7 February 2025, 3:34 pm
Mfumo wa stakabadhi wa Ghala umeendelea kuimarika zaidi kwani Msimu wa 2024/25. Na Mariam Kasawa.Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Seleman Jafo ametanganza ukoma wa msimu wa manunuzi ya mfumo wa stakabadhi wa Ghala Msimu wa 2024/25 na kuanza kwa…
6 February 2025, 4:58 pm
“Wanaume wangeshirikishwa kikamilifu kupinga vitendo vya ukatili ikiwemo ukeketaji vigeisha.” Na Kitana Hamis.Wananchi wilayani Kiteto wameitaka serikali kuwashirikisha wanaume zaidi katika mapambano ya vitendo vya ukatili ili yaweze kupungua. Wakizungumza na Dodoma Tv baadhi ya wananchi wilayani Kiteto mkoani Manyara…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-