Dodoma FM

Recent posts

6 May 2025, 17:29

Umbali chanzo mimba wanafunzi Muungano, wakatiza masomo

Hata hivyo serikali ilishatangaza ujauzito isiwe sababu ya mwanafunzi kuacha masomo hivyo kuwaruhusu wanafunzi waliokatiza masomo yao kwa sababu hizo kurejea shuleni. Na Victor Chigwada. Imeelezwa umbali wa kilomita kumi kuifikia sekondari kwa wanafunzi wa kijiji cha Muungano imekuwa sababu…

5 May 2025, 18:32

Wananchi watakiwa kutoa taarifa za majanga ya moto haraka

Siku ya Zimamoto Duniani huadhimishwa kila May 4 ya kila mwaka. Na Kitana Hamis.Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mkoa wa Manyara Gilbert Mvungi,ametoa wito kwa wananchi kutoa taarifa mapema pindi ajali ya moto inapotokea kwakupiga namba ya…

5 May 2025, 18:23

Ujenzi wa bweni Chamwino waanzishwa kuwalinda wasichana na mimba

Hayo yamebainishwa katika kikao Cha kujadili Maendeleo ya Shule ya Sekondari Chinangali kilicho fanyika may 3. Na Annuary Shaban.Kata ya Chamwino-Halmashauri ya jiji la Dodoma, imeanza mchakato wa ujenzi wa bweni la wanafunzi wa kike kwa nguvu za wananchi na…

5 May 2025, 18:14

Mwanafunzi abakwa na kuuawa kisha kutupwa shambani

Wakazi wa kijiji hicho wameiomba serikali iwasaidie ujenzi wa bweni ili kuwanusuru watoto na vitendo hivyo vya ukatili. Na Kitana Hamis. Suzana Samweli Mwenye umri wa Miaka 13  Mwanafunzi wa Darasa la Sita   amefariki Dunia Baada ya  kubakwa  na Kuuwawa…

30 April 2025, 17:36

Amuua baba yake na kumkata sehemu za siri

Taswira ya habari imezungumza na mashuhuda pamoja na mwenyekiti wa kijiji hicho juu ya tukio hilo. Na Kitana Hamis. Kijana mmoja aliye Famika kwajina la Mohamed Khamisi mwenye umri wa Miaka 22  Mkazi wa  Ndirigishi Wilayani Kiteto Mkoani Manyara  amemuuwa…

29 April 2025, 18:15

Mlodaa waomba serikali kuingilia kati ongezeko bei za vyakula

licha ya kuwa bado tuko mwezi wa nne lakini tayari baadhi ya familia zimeanza kulala na njaa Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji Cha Mlodaa Kata ya Mlowa barabarani Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuingilia kati ili  kupunguza ongezeko la…

25 April 2025, 17:59

Serikali yawahakikishia wananchi BBT bado inafanya vizuri

Kwa upande wao washiriki wa mdahalo huo wameeleza matumaini yao katika kukuza uchumi kupitia kilimo Shindani. Na Alfred Bulahya.Serikali imewahakikishia watanzania kuwa mashamba ya vijana wa mradi wa jenga kesho iliyo bora BBT yanafanya vizuri na kwamba vijana 12 ndio…

25 April 2025, 17:36

Rais Samia kuzindua benki ya ushirika Dodoma

Hata hivyo ametoa wito Kwa wananchi wote wa Dodoma na maeneo jirani kujitokeza Kwa wingi na uzalendo kushiriki katika tukio hilo la kihistoria. Na Alfred Bulahya.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Benki ya…

24 April 2025, 17:56

Kibano watumishi wasiowajibika kazini

Watumishi watakaoshindwa kufikia kiwango hicho hawatapandishwa vyeo wala kuongezewa mishahara. Na Mariam Kasawa Serikali imetangaza mkakati wa kuwachukulia hatua kali watumishi wa umma wanaoshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo, ikiwemo kutowapandisha madaraja wala kuongeza mishahara yao. Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi,…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger