Dodoma FM
Dodoma FM
5 June 2025, 15:36
Takribani wananchi 5,000 wa vijiji vitano katika kata hiyo wanatarajia kunufaika na mradi huo wa maji. Na Kitana Hamis.Takribani wananchi 5,000 kutoka vijiji vitano vya Kata ya Gendabi, Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, wanatarajiwa kunufaika na mradi wamaji unaotekelezwa kwa…
4 June 2025, 17:34
Ikumbukwe kuwa katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan mikopo ya halmashauri ya asilimia 10 imeendelea kuwa mkombozi kwa wananchi. Na Lilian Leopold. Wananchi wa kata ya Kizota halmashauri ya Jiji la Dodoma wameeleza…
3 June 2025, 14:46
Kilele cha wiki ya Mazingira Duniani hufanyika Juni 05 kila mwaka ambapo mwaka huu kaulimbiu ya siku ya mazingira ni mazingira yetu na Tanzania ijayo tuwajibike sasa dhibiti matumizi ya plastiki. Na Mariam Kasawa. Wakazi wa jiji la Dodoma wamehimizwa…
3 June 2025, 14:20
Wakazi hao wamesema zamani miundombinu ya barabara, huduma za muhimu za kijamii ikiwemo kituo cha afya, maji safi na salama, umeme ilikuwa changamoto. Na Husna Abdallah. Wakazi wa mtaa wa chinyika kata ya mkonze jijini dodoma wametoa pongezi zao kwa…
3 June 2025, 13:48
Umeme unapokatika shuleni hapo wanakosa maji lakini kupatikana kwa genereta hilo watakuwa wanapata huduma ya maji kwa muda wote. Waziri wa Madini na Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Antony Mavunde amekabidhi genereta la kisasa kwa wanafunzi wa shule ya…
27 May 2025, 16:14
Je vijana wanazungumziaje elimu ya mikopo ambayo imekuwa ikitolewa je inawanufaisha kwa kiasi gani. Na Seleman Kodima.Awali nimefanikiwa kufika hadi chuo cha kilimo,mifugo na maendeleo ya jamii TRACDI Nzuguni na kuzungumza na wadau mbalimbali kuhusu Je Elimu ya Mikopo inamsaidiaje…
26 May 2025, 13:01
RC Queen amesisitiza kuwa malipo hayo ni haki yamsingi kwa watumishi hao na ni muhimu kwao kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi. Na Kitana Hamis. Wauguzi mkoani Manyara wameiomba Serikali kuwalipa stahiki zao kwa wakati ili waweze kujikimu kimaisha ili…
21 May 2025, 16:31
Wakazi wa kijiji hicho wameiomba serikali kutafuta njia mbadala ili wafugaji hao wapate sehemu za malisho. Na Kitana Hamis.Zaidi ya Ekari 20 za shamba lenye mazao ya mahindi na alizeti za kulima Twalib Shaban zimefyekwa na wafugaji wa jamii ya…
20 May 2025, 15:53
Wananchi wanadai kuwa changamoto hii imeshindwa kupatiwa ufumbuzi. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji vya malechela ,Lusinde na sokoine Kijiji Cha Mnase wameendelea kulia na changamoto ya kukosekana kivuko baina ya wananchi na reli ya mwendokasi(SGR) Wakieleza namna changamoto hiyo…
20 May 2025, 15:38
Rushwa katika siasa ni moja ya vikwazo vikubwa vinavyowakwamisha wanawake kuwania nafasi za uongozi. Karibu katika makala ya Amua, makala ambayo inakujia kupitia Dodoma FM, na wiki hii tunajadili kwa pamoja kuhusu Rushwa katika uchaguzi inavyokwamisha wanawake kuwania nafasi za…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-