Dodoma FM
Dodoma FM
31 July 2025, 12:25
Tukio hili limeibua maswali na mijadala mikali miongoni mwa wakazi wa mtaa huo, wakilalamikia ukosefu wa udhibiti wa vyombo vya usafiri katika maeneo ya makazi na hasa wakati wa shughuli za kijamii au sherehe. Na Joseph Gontako Katika tukio la…
30 July 2025, 13:53
Aina ya malezi wanayopitia baadhi ya wanaume wakati wa utoto wao yanaweza kuwa sababu ya changamoto ya afya ya akili. Na Seleman Kodima.Imeelezwa kuwa aina ya malezi wanayopitia baadhi ya wanaume wakati wa utoto wao yanaweza kuwa sababu ya changamoto…
30 July 2025, 13:20
UCSAF imeweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha wananchi waishio vijijini wanapata huduma bora za mawasiliano. Na Victor Chigwada.Ikiwa Sera ya Mawasiliano inabainisha kuwa wananchi wote wanapata huduma bora, salama, na nafuu za mawasiliano bila ubaguz,Hali ni tofauti kwa Wakazi wa vijiji…
30 July 2025, 12:57
Ikumbukwe kuwa Ripoti za uwajibikaji zinazotolewa na taasisi ya Wajibu huangazia hoja kuu zilizobainishwa na CAG, kama matumizi mabaya ya fedha, miradi iliyotelekezwa, au taasisi zilizopata hati mbaya3.Hii husaidia wananchi kuelewa maeneo yenye changamoto na kuhoji uwajibikaji wa viongozi wa…
30 July 2025, 11:18
Mradi huu wa Boresha Maisha yaVijana tayari umefika katika mikoa Takribani mine na tayari umegusa maisha ya vijana 40, 000 hapa nchini. Na Mriam Kasawa. Uongezaji wa thamani katika mazao ni moja ya njia zinazo tajwa kuwanufaisha vijana jijini Dodoma…
24 July 2025, 17:08
wagombea hao wametakiwa kufuata kanuni Sheria na taratibu za uchaguzi. Na Steven Noel. Wanachama 46 wa umoja wawanawake ccm Tanzania UWT. Wilaya ya Mpwapwa wapitisha majina tisa ya waliowania udiwani viti maluum Katika mchakato uliofanyika Katika viwanja vya ofisi za…
24 July 2025, 16:18
kufuatia ithibati hiyo watatoa Huduma bora Kwa wakazi wa mpwapwa na viunga vyake. Na Steven Noel. Uongozi wa hospitali ya wilaya ya Mpwapwa imeboresha Huduma za kimaabara kufuatia kupatia kupatiwa ithibati na wizara ya Afya na kuanza kutoa Huduma ambazo…
22 July 2025, 15:55
Afisa Afya Shadrack Geofrey ametoa wito kwa viongozi wa mitaa Dodoma kuwa na utaratibu wa kutembelea maeneo ya biashara ya chakula ili kujiridhisha juu ya mwenendo wa biashara hiyo kuwa ni safi na salama. Na Farashuu Abdallah. Wafanyabiashara wa Chakula…
22 July 2025, 14:23
Ikumbukwe kuwa mradi wa ukarabati wa jengo la zahanati ya Ihumwa ulianza tarehe 10 /08/2023, ukigharimu kiasi cha shilingi milioni 235.9 fedha kutoka Shirika la Wahisani ABBOT. Na Lilian Leopord. Uboreshwaji wa miundimbinu uliofanyika katika zahanati ya Ihumwa iliyopo jijini …
22 July 2025, 13:08
Kutokana na hali hiyo, mapema Seleman Kodima alifanya mahojiano na Apolioni Boniphace kutoka Taasisi ya Whole Health Junction na hapa anaeleza zaidi. Na Seleman Kodima.Kwa mujibu wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-