Dodoma FM

Recent posts

21 November 2025, 1:02 pm

Wataalamu wasisitiza umuhimu wa lishe bora kwa watoto

Wiki ya Lishe inasisitiza kuwa jukumu la kuhakikisha watoto wanapata lishe bora ni la jamii nzima—kuanzia wazazi, walezi hadi taasisi za malezi ya watoto. Na Anwary Shaban.Wiki ya Lishe imeendelea kuadhimishwa nchini, huku wataalam wakisisitiza umuhimu wa lishe bora kwa…

20 November 2025, 4:13 pm

Dodoma jiji yaendelea kujinoa kuelekea ligi kuu Tanzania bara

Msemaji wa Kikosi cha Dodoma jiji Fc Moses Mpunga ameeleza juu ya maandalizi hayo. Kuelekea mchezo wa ligi kuu Tanzania bara ambapo Dodoma jiji itacheza na Namungo Fc wameendelea kujinoa ili kufanya vizuri katika mchezo huo. Akiongea na Taswira ya…

20 November 2025, 3:46 pm

Changamoto ya Barabara kilio kwa wakazi wa Mpwayungu

Wameiomba mamlaka husika kuwasaidia kujaza kifusi kinachoweza kustahimili msimu wa mvua . Na Victor Chigwada.Wakazi wa kijiji cha Mpwayungu, wilaya ya Chamwino wameeleza matesowanayo pitia kufuatia ubovu wa barabara hali inayo kwamisha shughuli zao. Wamesema kuwa ubovu huo wa miundombinu…

20 November 2025, 3:20 pm

PPRA yasaini makubaliano ya ushirika na VETA

Ikumbukwe kuwa kwa mujibu wa sheria ya PPRA, taasisi za serikali zinatakiwa kutenga asilimia 30 ya bajeti ya ununuzi wa umma kwa ajili ya makundi maalum ya wanawake, vijana, wazee na watu wenye ulemavu. Na Seleman Kodima.Mamlaka ya Udhibiti wa…

20 November 2025, 2:14 pm

Mtindo wa maisha chanzo cha magonjwa yanayo ambukiza na yasiyo ambukiza

Dkt. Fransis ameipongeza serikali kwa kuendelea kuboresha huduma za afya na kusisitiza umuhimu wa kila mwananchi kuwa na bima ya afya ili kurahisisha upatikanaji wa matibabu pindi wanapohitaji huduma. Na Anwary Shaban.Shirika la Afya Duniani (WHO) limethibitisha kuongezeka kwa magonjwa…

20 November 2025, 1:38 pm

Serikali yatakiwa kuingilia kati mgogoro wa Ardhi Bwawani

Mwenyekiti amewataka wananchi, pindi linapotokea jambo, kukaa pamoja na kufanya maridhiano badala ya kuchukua uamuzi unaoweza kuleta athari kwa wananchi wengine. Na Farashuu Abdallah.Wananchi wa Mtaa wa Bwawani kata ya Mkonze jijini Dodoma wameiomba serikali iwasaidie kutatua mgogoro wa ardhi…

19 November 2025, 4:35 pm

Mashindano ya bao la kiswahili na Draft yatamatika KDC Chang’ombe

Mashindano hayo yametamatika katika viwanja vya KDC Chang’ombe jijini Dodoma. Mashindano ya Draft na bao la kiswahihi yametamatika katika viwanja vya KDC Chang’ombe huku timu mbalimbali zikiibuka na ushindi. Akiongea na Taswira ya habari Anthony Kalago mratibu wa mashindano hayo…

19 November 2025, 4:16 pm

WHO yathibitisha kupungua kwa magonjwa ya mlipuko

WHO inathibisha kupungua kwa kiwango kikubwa kwa magonjwa ya mlipuko. Na Anwary Shaban.Shirika la Afya Duniani – WHO – limethibitisha kupungua kwa kiwango kikubwa kwa magonjwa ya mlipuko duniani. Hatua hii inachukuliwa kuwa ushindi mkubwa katika mapambano dhidi ya maradhi…

19 November 2025, 3:50 pm

Vijana watakiwa kujiajiri ili kujikwamua kimaisha

Hata hivyo, wapiga picha hao wameeleza kuwa wanakabiliwa na changamoto kadhaa, ikiwemo kutolewa maneno ya kashfa na baadhi ya wateja pindi wanapojaribu kuonesha ubunifu wao kwa lengo la kuwashawishi kupata huduma. Na Farashuu Abdallah.Katika jitihada za kupambana na changamoto ya…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger