Dodoma FM

Recent posts

9 March 2026, 20:56

Wanawake watakiwa kutomuacha nyuma mtoto wa kiume kimalezi

Kila mwaka mwezi Machi huadhimishwa kama mwezi wa wanawake, ambapo wanawake hupata nafasi ya kutafakari mafanikio yao pamoja na changamoto wanazokutana nazo katika nyanja za kiimani, kiuchumi na kisiasa. Na Steven Noel.Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa mkoani Dodoma, Nathan Malima,…

9 March 2026, 20:17

Jamii yaaswa kuachana na matumizi ya dawa za kulevya

Na Jerome John. Jamii mkoani Dodoma imeshauriwa kutojiusisha na utumiaji wa dawa za kulevya au uuzaji kutokana na madhara makubwa yanayoweza kujitokeza endapo ukibainika. Akizungumza na Taswira ya habari Afisa elimu kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za…

6 March 2026, 16:25

Kata zatakiwa kutenga bajeti kwaajili ya kujenga masoko

Kliniki hiyo ya kutatua kero kwa wananchi itachukua takribani siku tatu na  Moja ya dhamira kuu ya serikali nikuhakikisha  mwananchi hatembei umbali mrefu kwenda kupata huduma badala yake wamezisogeza taasis zote za kiserikali katika eneo moja ili kutatua kero kwa…

6 March 2026, 12:26

Wanawake MPUWSA watoa msaada kwa watoto wenye mahitaji maalum

Ni lazima wanawake kujikita katika malezi ya watoto  bila kujali changamoto zao . Na Steven Noel. Kuelekea Siku  ya kilele cha wanawake Duniani  wanawake wa mamlaka ya maji Katika Mji wa Mpwapwa  Watoa msaada  wa vifaa vya  shule Katika  kituo…

4 March 2026, 17:42

Uhaba wa nguzo chanzo Mapinduzi A kukosa umeme

Wamejitahidi kufuatilia mamlaka husika lakini utekelezaji ndio umekosekana na kupelekea nishati ya umeme kuendelea kuwa ni miongoni mwa changamoto kubwa Kwa wakazi wa Mapinduzi A. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Mtaa wa Mapinduzi A wamepaza sauti juu ya uhaba wa…

4 March 2026, 16:48

HakiElimu na wanafunzi wa mazingira magumu Mpwapwa

Msaada huo umetolewa kama chachu ya wanafunzi wenye mazingira magumu kutimiza ndoto zao za kimasomo. Na Steven Noel. Shirika la HakiElimu  limetoa  msaada wa sare za shule na vifaa  vingine vya kujifunzia kwa  wanafunzi  waishio katika mazingira magumu  wilayani Mpwapwa.…

4 March 2026, 16:30

BASATA yawataka wasanii nchini kujirasimisha

Semina hiyo imelenga kuwajengea uwezo viongozi wa makundi katika maeneo ya uongozi itifaki,elimu ya fedha ,urasimishaji pamoja na matumizi sahihi ya fursa mbalimbali kuelekea Tamasha la 17 la muziki wa kitamaduni wa asili ya chigogo. Na Anwary Shaban. Baraza la…

3 March 2026, 16:38

Elimu ya itifaki yasisitizwa Dodoma

“Dhamira yetu ni kujenga utamaduni wa kuzingatia itifaki katika sekta zote na kuhakikisha huduma hii inawafikia watumishi wengi zaidi,” amesema Sijabeja. Na Mariam Kasawa.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, amezitaka taasisi za Serikali na Binafsi kuwapeleka Maafisa Habari…

3 March 2026, 16:23

Wanawake jitokezeni kupata hati miliki ardhi

Serikali ya awamu ya sita imetoa kipaumbele kwa wanawake kuanzia umri wa miaka 18 na kuendelea kupata hati za umiliki wa ardhi. Na Yusuph Hassan.Wanawake Mkoani Dodoma wanaomiliki ardhi wametakiwa kujitokeza katika zoezi la kuchukua hati za umiliki kupitia kliniki…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger