Dodoma FM

Recent posts

17/02/2026, 15:27

Ving’awe waiomba serikali kutimiza ahadi ya kuwapatia maeneo

Kwa upande wake mtendaji  wa Kijiji hicho Bi. Rehema Kihimba amesema wameanza kupanda miti kwenye eneo hilo ili kuzuia mmomonyoko . Na Steven Noel. Wananchi wa kata ya Vig’hawe  mtaa wa majengo na hazina wameiomba serikali kutimiza ahadi ya kuwapatia…

16/02/2026, 16:31

Vijiji 80 vyapimwa kupunguza migogoro ya wakulima na wafugaji  

Moja ya chanzo kikubwa cha migogoro hiyo ni baadhi ya wafugaji kuhama mara kwa mara wakitafuta malisho. Na Kitana Hamis. Waziri wa kilimo Daniel Chongolo amesema bado kuna changamoto ya migogoro kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Handeni…

16/02/2026, 16:14

DMG yarejesha tabasamu kwa watoto yatima wa kituo cha Quadiria

Dodoma media group mwaka 2026 iliamua kurejesha tabasamu kwa watoto hao wa kituo cha Quadiria kwa kupeleka mahitaji mbalimbali huku wakifurahi na watoto hao pamoja na wadau kwa kupata chai ya pamoja. Na Mariam Kasawa. Dodoma media group kwa kushirikiana…

16/02/2026, 15:50

Kongamano la vijana lawanufaisha vijana Zuzu

Kupitia kongamano hilo, Kata ya Zuzu inatarajia kuona kizazi cha vijana chenye mwamko mpya wa uzalendo, uwajibikaji na uthubutu wa kutumia fursa zilizopo kujiletea maendeleo binafsi na ya taifa kwa ujumla. Na Anwary Shaban. Zaidi ya vijana 600 wa Kata…

13/02/2026, 17:23

Serikali kuja na mpango kabambe shoroba za kilimo, mifugo na uvuvi

kuongeza kipato cha wakulima, wafugaji na wavuvi, pamoja na kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi kwa kuzingatia mabadiliko ya tabianchi na kuyaunganisha maeneo yenye uzalishaji mkubwa. Na Mariam Kasawa. Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi iko tayari kushiriki kikamilifu…

13/02/2026, 16:52

Chiona waiomba serikali shule shikizi

Mwenyekiti amesema wanajipanga kuanzisha mpango wa kuchangia ujenzi wa shule shikizi itakayo saidia kupunguza umbali kwa vitongoji viwili. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kitongoji cha Mabwe Kijiji Cha Chiona Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kuanzisha kwa ujenzi wa shule shikizi ili…

13/02/2026, 16:29

Halmashauri ya Mpwapwa kukusanya bil 52.8 mwaka 2026/2027

Aidha Katika makusanyo ya mapato Kwa Robo ya pili Kwa mkoa wa Dodoma halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imekuwa ya mwisho  Katika ukusanyaji Kwa Katika wilaya nane za mkoa huo. Na Steven Noel. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imepanga kukusanya…

12/02/2026, 16:37

Viongozi wa umma watakiwa kuonesha maadili mema

Vile vile afisa huyo ametoa rai kwa wananchi kutosita kutoa maoni pamoja na taarifa pindi wanapoona kuna viongozi wanakiuka misingi ya maadili ya umma na hatua za kisheria kuchukuliwa dhidi ya kiongozi au viongozi hao. Na Jerome John.Viongozi wa umma…

12/02/2026, 14:37

Kutembeza mifugo nyakati za usiku ni kosa kisheria

Wananchi wa Wilaya ya Ihumwa wanasema mifugo inapo pelekwa machinjioni nyakati za usiku huchanganywa na mifugo iliyo ibiwa. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kata ya Ihumwa wamelalamika mifugo inayopitishwa nyakati za usiku kwenda machinjioni wakidai kuwa huchanganywa kati ya mifugo…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger