Dodoma FM

Recent posts

16 January 2026, 2:23 pm

Serikali kuendelea kuboresha maslahi ya watumishi wa TRA

Mkutano huo uliwakutanisha wadau mbalimbali kwa lengo la kuimarisha sekta ya ukusanyaji mapato nchini. Na Mariam Kasawa. Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mcha Musa Mcha, amesisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya uongozi wa mamlaka hiyo na…

16 January 2026, 12:50 pm

Wananchi Mbori walilia chumba cha kuhifadhia maiti

Nae Maria Manyelezi amesema pamoja na ukosefu wa chumba cha kuhifadhia maiti, pia kijiji hicho kinakabiliwa na changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama na hivyo kumpelekea kijiji hicho kukmbwa na mlipuko wa magonjwa ya mara kwa mara. Na…

16 January 2026, 12:05 pm

Kampeni ya kukijanisha Dodoma yawafikia wananchi Nala

Zoezi hilo ni sehemu ya kampeni kubwa ya serikali ya kuikijanisha Dodoma kwa kupanda miti. Na Lilian Leopold. Katika jitihada za kuufanya mkoa wa Dodoma kuwa wa kijani na kustawisha mazingira, zoezi la ugawaji wa miche ya matunda na kivuli…

15 January 2026, 3:13 pm

Wanaume wajitokeze kuwapeleka wake zao kliniki

Hii ni kutokana na ushiriki wa wanaume kuwa hafifu katika masuala ya afya ya uzazi, hali inayosababisha wanawake wengi kuhudhuria kliniki peke yao bila msaada wa wenza wao, jambo linalopunguza uelewa wa pamoja kuhusu hatua muhimu za ujauzito, kujifungua na…

15 January 2026, 2:20 pm

Wananchi waipongeza serikali ujio wa mradi wa maji Msanga

Wananchi hao wamefurahishwa na ujio wa mradi huo, huku wakiongeza kuwa mradi huo utawapunguzia umbali ambao walikuwa wakitembea kutafutamaji safi na salama. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Msanga Wilayani Chamwino wameipongeza Serikali Kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa…

15 January 2026, 12:35 pm

Maagizo ya Mchengerwa kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya

Amewataka viongozi katika sekta ya afya kuwa na uwezo wa kutatua changamoto za huduma bila kusubiri michakato mirefu. Na Mariam Kasawa Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, amemwagiza Katibu Mkuu wa Wizara yake, Dkt. Seif Shekalaghe, kufanya mapitio ya miongozo ya…

15 January 2026, 11:27 am

Gunners yaachana na Juma Ikaba

Ikaba ndiye kocha alianza kukinoa kikosi cha guuners kwanzia ligi ya mkoa kisha daraja la pili na kwa sasa alikuwa akikiongoza kikosi hichi katika ligi daraja la kwanza. Na Hamis Makila.Kikosi cha guuners kimefikia makubaliano ya pande zote mbili ya…

15 January 2026, 11:02 am

Muda wa uandikishaji uchaguzi Machinga waongezwa

Picha ni Meneja wa soko la wazi la Machinga Complex, CPA Johnstone Kahungu akizungumza na waandishi wa habari katika soko hilo. Picha na Lilian Leopold. Zoezi la uchaguzi wa viongozi wa soko la wazi la Machinga Complex linatarajia kufanyika Januari…

14 January 2026, 5:52 pm

Tanzania, Korea kuimarisha huduma ya majitaka

Mazungumzo hayo yanaonesha dhamira ya Serikali ya Tanzania ya kuendelea kushirikiana na wadau wa kimataifa katika kufanikisha vipaumbele vya maendeleo ya taifa na kuhakikisha upatikanaji endelevu wa maji kwa ajili ya ustawi wa jamii na uchumi wa nchi. Na Mwandishi…

14 January 2026, 5:39 pm

TAREWU kuwakutanisha washirika ukusanyaji mapato Dodoma

TAREWU imesisitiza kuwa mkutano huo ni sehemu ya mkakati wa chama katika kuimarisha mshikamano, elimu kwa jamii na mchango wa wafanyakazi wa ukusanyaji mapato katika maendeleo ya nchi. Na Anwary Shaban. Chama cha Wafanyakazi wa Kukusanya Mapato Tanzania (TAREWU) kimetoa…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger