Dodoma FM
Dodoma FM
21 November 2025, 1:38 pm
Daraja hilo limekuwa kero kwa wakazi hao na kuathiri shughuli zao za kila siku. Na Farashuu Abdallah.Wakazi wa mtaa wa Goima, wilaya ya Chemba mkoani Dodoma, wameiomba Serikali kukarabati daraja lililodhoofika na kuwa kero kubwa hususan msimu wa masika. Wakizungumza…
21 November 2025, 1:02 pm
Wiki ya Lishe inasisitiza kuwa jukumu la kuhakikisha watoto wanapata lishe bora ni la jamii nzima—kuanzia wazazi, walezi hadi taasisi za malezi ya watoto. Na Anwary Shaban.Wiki ya Lishe imeendelea kuadhimishwa nchini, huku wataalam wakisisitiza umuhimu wa lishe bora kwa…
20 November 2025, 4:13 pm
Msemaji wa Kikosi cha Dodoma jiji Fc Moses Mpunga ameeleza juu ya maandalizi hayo. Kuelekea mchezo wa ligi kuu Tanzania bara ambapo Dodoma jiji itacheza na Namungo Fc wameendelea kujinoa ili kufanya vizuri katika mchezo huo. Akiongea na Taswira ya…
20 November 2025, 3:46 pm
Wameiomba mamlaka husika kuwasaidia kujaza kifusi kinachoweza kustahimili msimu wa mvua . Na Victor Chigwada.Wakazi wa kijiji cha Mpwayungu, wilaya ya Chamwino wameeleza matesowanayo pitia kufuatia ubovu wa barabara hali inayo kwamisha shughuli zao. Wamesema kuwa ubovu huo wa miundombinu…
20 November 2025, 3:20 pm
Ikumbukwe kuwa kwa mujibu wa sheria ya PPRA, taasisi za serikali zinatakiwa kutenga asilimia 30 ya bajeti ya ununuzi wa umma kwa ajili ya makundi maalum ya wanawake, vijana, wazee na watu wenye ulemavu. Na Seleman Kodima.Mamlaka ya Udhibiti wa…
20 November 2025, 2:14 pm
Dkt. Fransis ameipongeza serikali kwa kuendelea kuboresha huduma za afya na kusisitiza umuhimu wa kila mwananchi kuwa na bima ya afya ili kurahisisha upatikanaji wa matibabu pindi wanapohitaji huduma. Na Anwary Shaban.Shirika la Afya Duniani (WHO) limethibitisha kuongezeka kwa magonjwa…
20 November 2025, 1:38 pm
Mwenyekiti amewataka wananchi, pindi linapotokea jambo, kukaa pamoja na kufanya maridhiano badala ya kuchukua uamuzi unaoweza kuleta athari kwa wananchi wengine. Na Farashuu Abdallah.Wananchi wa Mtaa wa Bwawani kata ya Mkonze jijini Dodoma wameiomba serikali iwasaidie kutatua mgogoro wa ardhi…
19 November 2025, 4:35 pm
Mashindano hayo yametamatika katika viwanja vya KDC Chang’ombe jijini Dodoma. Mashindano ya Draft na bao la kiswahihi yametamatika katika viwanja vya KDC Chang’ombe huku timu mbalimbali zikiibuka na ushindi. Akiongea na Taswira ya habari Anthony Kalago mratibu wa mashindano hayo…
19 November 2025, 4:16 pm
WHO inathibisha kupungua kwa kiwango kikubwa kwa magonjwa ya mlipuko. Na Anwary Shaban.Shirika la Afya Duniani – WHO – limethibitisha kupungua kwa kiwango kikubwa kwa magonjwa ya mlipuko duniani. Hatua hii inachukuliwa kuwa ushindi mkubwa katika mapambano dhidi ya maradhi…
19 November 2025, 3:50 pm
Hata hivyo, wapiga picha hao wameeleza kuwa wanakabiliwa na changamoto kadhaa, ikiwemo kutolewa maneno ya kashfa na baadhi ya wateja pindi wanapojaribu kuonesha ubunifu wao kwa lengo la kuwashawishi kupata huduma. Na Farashuu Abdallah.Katika jitihada za kupambana na changamoto ya…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-