Dodoma FM

Recent posts

18 August 2025, 15:09

Wagombea waendelea kujitokeza kuchukua fomu

Ikumbukwe kuwa Zoezi la utoaji wa fomu za uteuzi wa kugombea nafasi za Ubunge na Udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 limeanza rasmi tarehe 14 Agosti 2025 na linatarajiwa kumalizika tarehe 27 Agosti 2025, kwa mujibu wa ratiba ya…

18 August 2025, 12:48

Wananchi Malechela waiomba serikali kuwakumbuka nishati safi

Fursa ya matumizi ya nishati safi ya kupikia itawapunguzia wanawake kutumia muda mrefu wa kutafuta kuni kwaajili ya kupikia. Na Victor Chigwada.Wananchi wa vitongoji vya Sokoine na Malechela wameiomba Serikali kuwakumbuka katika miradi ya uhamasishaji wa matumizi ya Nishati mbadala…

14 August 2025, 18:18

DUWASA yakamilisha zoezi la ulipaji fidia

Baadhi ya maeneo hayo ni pamoja na Nzuguni, Zuzu Nala, Nala Chihoni na Kibaigwa. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Maji, imekamilisha zoezi la ulipaji wa fidia yenye jumla ya Shilingi Milioni 999 kwa wananchi 103…

14 August 2025, 17:40

Yafahamu maua kwa ishara ya usafi na uwiano wa asili

Ethaning Flowers wanaamini kuwa utunzaji wa mazingira na maua ni mambo yanayoshirikiana kwa karibu. Na Lilian Leopold. Katika ulimwengu wa leo unaokabiliwa na changamoto za mabadiliko ya tabianchi na uchafuzi wa mazingira, Ethaning Flowers wamejipambanua kama taasisi inayothamini uzuri na…

14 August 2025, 17:01

NGOs zatakiwa kutekeleza majukumu kwa kuzingatia uwazi

Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na mashirika haya ili kuimarisha ubora wa huduma, kuendeleza mshikamano wa kijamii, na kuchochea maendeleo endelevu kwa manufaa ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Na Mariam Matundu.Serikali ina jukumu la kuhakikisha kuwa Mashirika Yasiyo Ya…

12 August 2025, 13:30

Uchukuaji wa fomu wabeba taswira ya democrasia

Picha ni Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Mhe. Mwajuma Noty Mirambo wakati akichukua fomu hapo jana Hafla hiyo imefanyika kwenye ofisi za Tume zilizopo Njedengwa Jijini Dodoma.Picha na Tume ya uchaguzi. Wachambuzi wa masuala ya kisiasa na kijamii…

12 August 2025, 11:27

NGO’s zatakiwa kuwajibika katika kuwahudumia wananchi

Naibu Waziri Mwanaidi ameeleza kwamba uwazi na uwajibikaji wa Mashirika hayo ndiyo msingi wa kutambuliwa kwa mchango wao katika maendelo ya Taifa. Na Mariam Matundu.Mashirika yasiyo ya Kiserikali yametakiwa kuwa wazi na kuwajabika katika utekelezaji wa majukumu yao hasa kuwahudumia…

11 August 2025, 13:58

Ubovu wa barabara wakwamisha biashara Kiteto

Ubovu wa barabara umekuwa chanzo cha magari ya eneo hilo hasa mabasi ya abiria kuharibika mara kwa mara. Na Kitana Hmais.Inaelezwa kuwa Kutokutekelezwa kwa ahadi ya Barabara ya lami kiteto kumefanya Wananchi kutotimiza malengo yao. Hali hii imepelekea wafanyabiasha wa…

8 August 2025, 16:08

Unyonyeshaji wafikia asilimia 66 nchini

Wiki ya unyonyeshaji inakwenda  na kaulimbiu isemayo  thamini unyonyeshaji weka mazingira wezeshi kwa mama na watoto kupitia ligi ya mpira. Na Anwary Shaban. Takwimu za miaka 30 iliyopita zinaonesha unyonyeshaji wa mama kwa mtoto zilikuwa chini ukilinganisha na kwa mwaka…

8 August 2025, 15:42

Wadau sekta ya kilimo watakiwa kutimiza wajibu wao kwa weledi

Maadhimisho ya wakulima ya Nanenane mwaka huu yanafanyika kitaifa mkoani Dodoma, yakilenga kuhamasisha uzalishaji na matumizi ya teknolojia katika sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi. Na Seleman Kodima.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger