Dodoma FM

Recent posts

25 November 2025, 3:22 pm

‘Waokota taka rejeshi wapewe heshima na jamii’

Ikumbukwe kwua Kazi ya ukusanyaji taka rejeshi imeelezwa kuwa ni sehemu muhimu ya uhifadhi wa mazingira na chanzo cha mapato kwa watu wengi, hivyo jamii inapaswa kuondoa dhana hasi na kutambua mchango wa wahusika wa kazi hiyo. Na ;Anwary Shaban.Jamii…

25 November 2025, 2:19 pm

Vijana watakiwa kushiriki mikutano ya mtaa

Ni wajibu wa vijana kuhudhuria mikutano ya mtaa ili kupata nafasi ya kushiriki kikamilifu katika shughuli za kimaendeleo. Na Lilian Leopold.Vijana wametakiwa kuongeza ushiriki wao katika mikutano ya mtaa ili kufahamu fursa zilizopo kwenye jamii na kupata nafasi ya kuwasilisha…

25 November 2025, 1:19 pm

Upi umuhimu wa chanjo za awali kwa mtoto?

Hata hivyo chanjo ni ngao ya kwanza ya afya ya mtoto na ni sehemu ya utekelezaji wa sera ya Serikali ya kulinda maisha ya wananchi wake. Na Mariam Kasawa.Imeelezwa kuwa mtoto anapozaliwa kinga yake ya mwili huwa ni ndogo sana,…

25 November 2025, 8:23 am

Umbali mrefu wa shule changamoto kwa wanafunzi mtaa wa Matias

Mwenyekiti wa mtaa huo Bi Dorini amewaomba wananchi kuendelea kuwa wavumilivu na kushirikiana na serikali za mitaa katika kufanikisha ujenzi wa shule hiyo. Na Anwary Shaban.Wananchi wa Mtaa wa Matiasi jijini Dodoma wameeleza kuendelea kutaabika kutokana na changamoto ya ukosefu…

24 November 2025, 3:37 pm

‘Wazazi, walezi wana jukumu kubwa malezi ya watoto’

Wazazi wasiozungumza na watoto wao au kuwanyima nafasi ya kueleza mawazo na hisia, huwafanya watoto kushindwa kueleza matatizo yao. Na Joseph Julius.Wazazi wanatajwa kuwa na jukumu kubwa katika malezi ya watoto, lakini tabia zisizo sahihi zinaweza kuathiri saikolojia ya mtoto…

24 November 2025, 3:17 pm

Makada 19 CCM wajitosa umeya, naibu Dodoma

Tangu kutangazwa kuwa jiji mwaka 2016, Dodoma imeongozwa na Mameya wawili, Jafari Mwanyemba na Profesa Davis Mwamfupe, ambaye pia amechukua fomu kuwania nafasi hiyo kwa mara nyingine. Na Mwandishi wetu.Jumla ya makada 19 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamechukua fomu…

24 November 2025, 2:57 pm

Serikali yatumia mkakati huu kuboresha huduma ya maji Dodoma

Wizara itatoa kipaumbele katika kuimarisha huduma kwa wateja ili kupunguza kero na malalamiko ya wananchi. Na Selemani KodimaSerikali kupitia Wizara ya Maji imeanza kutekeleza mkakati maalum wa kuboresha huduma ya maji katika Jiji la Dodoma kwa miradi ya muda mfupi…

24 November 2025, 2:16 pm

Wanawake wajawazito watakiwa kuzingatia makundi 6 ya vyakula

Pamoja na hayo maafisa lishe wamehimiza jamii, walimu na wazazi kushirikiana na vituo vya afya na shule katika kuunga mkono juhudi za elimu ya lishe, ili kuhakikisha watoto wanapata afya bora, akili timamu na mwili wenye nguvu tangu siku za…

21 November 2025, 3:18 pm

Zifahamu Fursa za Teknolojia zinazoweza kuwaingizia vijana kipato

Iwapo vijana watawezeshwa na kupata mafunzo ya teknolojia, zaidi ya asilimia 60 wanaweza kuingia rasmi kwenye ajira za kidijitali. Na Seleman Kodima.Imeelezwa kuwa zipo fursa nyingi zinazoweza kupatikana kupitia teknolojia na kusaidia vijana kujiingizia kipato. Katika mjadala uliofanywa na mwandishi…

21 November 2025, 2:03 pm

Ulega wakandarasi wazembe wawekwe ndani

Naye, Meneja wa TANROADS Dodoma, Mhandisi Zuhura Amani, amesema wataendelea kufuatilia na kuwasisitiza wakandarasi wote kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa mujibu wa mkataba. Na Seleman Kodima.Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza kukamatwa kwa wakandarasi wa kampuni ya China First Highway Engineering…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger