Dodoma FM
Dodoma FM
18 March 2026, 17:19
Mwenyekiti wa vitongoji hivyo Bw Amosi Lusiji amekiri zoezi la usambazaji miundombinu ya maji umekamilika Kwa asilimia kubwa katika vitongoji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa vitongoji vya Arusha, Ilolo na kawawa Kijiji Cha Chanh’umba Wilayani Chamwino wameomba kufanyiwa ukarabati wa…
17 March 2026, 18:20
Wananchi wa kijiji cha Muungano wilayani Chamiwno wanasema Ndg.Baraka Baradiga wa GG Mining Company ambaye ndiyo mmiliki wa kampuni ya kusaga kokoto katika mgodi huo emeshindwa kutekelezaji ahadi zake. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji Cha Muungano Wilaya ya Chamwino…
17 March 2026, 17:58
Kutokana na kukua kwa teknolojia nchini serikali imekuwa ikishauri vijana kuhakikisha wanatumia nafasi hiyo kujikwamua kiuchumi ikiwemo kujitangaza pamoja na kutengeneza maudhui yanayo endana na mila na tamaduni za kitanzania. Na Mwanahamis Badi. Ukuaji wa teknolojia umetajwa kutengeneza fursa mpya…
17 March 2026, 17:22
Kuharibika kwa miundombinu ya Barabara katika kipindi hiki cha masika ni suala ambalo limekuwa likiripotiwa katika maeneo mbalimbali nchini ambapo serikali inaendelea na juhudi za kuboresha miundombinu ili kukabiliana na hali hiyo. Na Amina Juma. Ubovu wa miundombinu ya Barabara…
17 March 2026, 16:39
Kituo cha huduma kwa mteja kinatarajiwa kutatua changamoto za kisheria kwa wananchi kote nchini, huku kikiwapa fursa ya kuwasilisha malalamiko na kupata msaada wa haraka kupitia namba za simu za bure 026 216 0360 au 0800 004 004. Na Bennard…
16 March 2026, 18:11
Amesema taarifa hiyo tayari imeandaliwa na itawasilishwa katika ofisi za ngazi ya wilaya kwa hatua zaidi. Na Stephen Noel, Mpwapwa Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini zimeendelea kusababisha madhara kwa wananchi, ikiwemo kusombwa kwa mashamba ya wakulima katika Kitongoji…
16 March 2026, 17:58
Barabara hiyo ambayo inaunganisha Mkoa wa tanga na Manyara inaendelea kufanyiwa ukarabati. Na Kitana Hamis. MVUA kubwa zinazoendelea kunyesha Wilayani Kiteto, Mkoani Manyara zimesababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara ya na kupelekea adha kubwa kwa watumiaji wa barabara hiyo. Wakiongea…
16 March 2026, 17:47
VIJIJI vitakavyo nufaika na mpango huo ni Kijiji cha Mzase,Godegode,Mgoma Kisisi na Kitati.vijiji vingine Lukole, Kingiti na Kidenge . Na Steven Noel.Jumla ya vijiji nane vya halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma vinatarajia kunufaika mpango wa matumizi bora…
16 March 2026, 17:19
Wananchi wameiomba serikali kuharakisha kuchukua hatua za kudumu ili kuhakikisha usalama wa watoto na wakazi wa Kaloleni. Na Kitana Hamis.Wananchi wa Kata ya Kaloleni wilayani Kiteto mkoani Manyara wamelalamikia uwepo wa korongo kubwa linalokatiza eneo lao, wakisema linahatarisha usalama wa…
16 March 2026, 13:43
Meneja wa Kitengo cha Majitaka na Usafi wa Mazingira DUWASA, Mhandisi Ores John, amesema kuwa mamlaka hiyo inashirikiana na wataalamu kutoka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuhakikisha matengenezo yanafanyika haraka. Na Anwary Shaban Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-