

12 January 2021, 12:46 pm
Na,Alfred Bulahya, Dodoma. Wananchi wa Vijijini vya Mahama na Nzali katika Kata ya Chilonwa Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma, wametakiwa kuacha kutumia barabara inayopita katika mto Nyasungwi unaounganisha Vijiji hivyo ili kuepusha hatari ya kusombwa na maji yaliyojaa kutokana na mvua…
12 January 2021, 9:39 am
Dodoma. Jezi za timu ya Dodoma Jiji Fc tayari zimewasili jijini Dodoma.Kwa mujibu wa katibu Mkuu wa Klabu hiyo Fortunatus John ‘Foty” jezi hizo zilichelewa kuwasili nchini kutokana janga la Covid-19 lililotokea nchini China ambapo ndipo zilipokuwa zikitengenezwa. “Tumeleta mzigo…
12 January 2021, 8:16 am
Dodoma Timu ya Baobab Queens ya Dodoma imeibuka na ushindi wa bao 6-1 dhidi ya TSC Queens ya Mwanza katika mechi ya ligi kuu soka ya Wanawake iliyopigwa katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Ikiwa na kikosi cha wachezaji…
12 January 2021, 7:48 am
Dodoma. Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Geoffrey Mwambe amewataka watumishi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Wakala wa Vipimo (WMA) kufanya kazi kwa uadilifu na kuwafikiria wafanya biashara wakati wakitoa huduma ili kuendelea kutengeneza taswira nzuri ya bidhaa za…
11 January 2021, 2:02 pm
Na,Benard Filbert Dodoma. Ubovu wa miundombinu ya barabara katika Kata ya Mazae Wilayani Mpwapwa imetajwa kuwa kero hali ambayo inasababisha kushindwa kufanyika kwa shughuli za kimaendeleo.Mmoja wa mkazi wa mtaa wa mazae akizungumza na taswira ya habari amesema hivi sasa…
11 January 2021, 12:45 pm
Na,Shani, Dodoma Imeelezwa kuwa kupanda kwa bei ya mafuta ya kula hususan ya alizeti kumechangiwa na mvua kubwa iliyonyesha msimu uliopita.Hayo yameelezwa na wafanyabasara katika soko la Majengo jijini Dodoma wakati wakizungumza na Dodoma Fm ambapo wamesema alizeti imeadimika kutokana…
5 January 2021, 3:21 pm
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wakazi wa kijiji cha Mahama Kata ya Chilonwa Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kufanya ukarabati wa daraja lililopo kati ya kijiji cha mahama na Nzali ili kuondoa adha ya usafiri wanayokutana nayo kipindi cha mvua za masika.Wakizungumza na…
22 December 2020, 12:41 pm
Na,Timotheo Chiume, Dodoma. Upatikanaji mdogo wa mbegu za maboga jijini Dodoma umezifanya kutotumiwa kwa wingi na watu wanaozihitaji kwa ajili ya chakula na lishe.Pamoja na changamoto hiyo uhitaji na watumiaji wanaongezeka kila siku kutokana na kutambua faida zitokanazo na mbegu…
22 December 2020, 12:23 pm
Na,Thadey Tesha, Dodoma Baadhi ya wafanyabiashara wa kuku katika soko la Changombe jijini hapa wameiomba Serikali kuwatengenezea mazingira rafiki ya kuuzia bidhaa zao kutokana na eneo lililopo kutotosheleza mahitaji. Wakizungumza na Taswira ya habari wafanyabiashara hao wamesema kwa sasa mazingira…
21 December 2020, 2:47 pm
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji wa Mzakwe wenye thamani zaidi ya milioni 200 unaotarajiwa kuzalisha maji lita laki nne kwa saa katika kuendelea kupunguza adha ya maji kwa Mkoa wa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-