Dodoma FM
Dodoma FM
14 October 2021, 12:10
NA; Shani Nicolous. Wananchi wa kijiji cha Mbabala kata ya Mbabala Wilaya ya Dodoma mjini wameiomba serikali kupitia wizara ya afya kuongeza Elimu vijijini juu ya chanjo ya Uviko 19. Wakizungumza na Taswira ya habari wananchi hao wamesema kuwa uhaba…
13 October 2021, 14:02
Na; Fred Cheti. Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kuzuia majanga ya asili duniani ripoti kutoka umoja wa mataifa inataja kuwa hali mbaya ya hewa ni chanzo kinachosababisha ongezeko la majanga hayo ya asili katika karne hii ya 21.…
13 October 2021, 13:50
Na;Mindi Joseph . Wakulima Jijini Dodoma wameahidi kutekeleza ulipaji ada ya asilimia tano 5% ya wastani wa mavuno kwa msimu wa mwaka kwa hekari katika kuendelea kukuza kilimo cha umwagiliaji Nchini. Taswira ya habari imezungumza na wakulima Wilayani bahi ambapo…
12 October 2021, 13:14
Na;Yussuph Hans. Jitihada za kufikisha Elimu ya kuchukuwa tahadhari na kujikinga dhidi ya Ugonjwa unaoenezwa na Virusi vya korona UVIKO-19, inaelezwa elimu hiyo imewafakiwa vyema hadi wakazi wa maeneo ya vijiji mbalimbali Mkoani Dodoma. Hayo yanajiri kufuatia Taswira ya Habari…
12 October 2021, 12:57
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa serikali kuongeza nguvu ya kuwekeza katika magonjwa ya afya ya akili . Wito huo umetolewa na Rais na muasisi kutoka shirika la afya ya akili ya Jamii Tanzania (CMHI-Tanzania) Dr. Joshua John na kusema…
11 October 2021, 12:45
Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kuacha kunywa pombe kupita kiasi ili kuepusha athari ambazo zinaweza kujitokeza ikiwemo matatizo ya akili. Hayo yameelezwa na Bi. Gladnes Munuo katibu mkuu kutoka taasisi ya TAANET ambayo inahusika na kupinga unywaji wa pombe kupita…
11 October 2021, 12:30
Na; Yussuph Hans. Wakati Dunia ikiadhimisha Siku ya Afya ya Akili hapo jana, imeelezwa kuwa Tanzania inakadiriwa kuwa na watu milioni saba wenye matatizo yanayohusiana na afya ya akili. Hata hivyo, sababu mbalimbali zimetajwa kusababisha matatizo ya afya ya akili…
11 October 2021, 12:11
Na; Pius Jayunga. Wanawake jamii ya Kijaruo katika Kijiji cha Chambogo Wilaya ya Rorya Mkoani Mara wanakabiliwa na changamoto ya mfumo dume ambao unawaathiri kimaendeleo kwa kunyimwa haki ya umiliki wa ardhi. Dodoma FM imezungumza na mmoja wa wanawake katika…
11 October 2021, 11:59
Na; Mindi Joseph. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Selemani Jafo amesema athari za mabadiliko ya tabia Nchi zimechangia kuongezeka kwa kina cha maji ya bahari na kusababisha kisiwa cha maziwe Wilayani pangani na kisiwa cha…
7 October 2021, 12:31
Na ;Benard Filbert. Licha ya uwepo wa Vijiji vitano katika Kata ya Mtanana Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma imeelezwa bado kijiji kimoja kinakabiliwa na ukosefu wa mradi wa maji kwa wakazi wa eneo hilo. Hayo yameelezwa na diwani wa Kata…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-