Dodoma FM

Recent posts

13 October 2021, 14:02

Hali mbaya ya hewa yachangia ongezeko la majanga ya asili

Na; Fred Cheti. Ikiwa leo ni siku ya kimataifa ya kuzuia majanga ya asili duniani ripoti kutoka umoja wa mataifa inataja kuwa hali mbaya ya hewa ni chanzo kinachosababisha ongezeko la majanga hayo ya asili katika karne hii ya 21.…

12 October 2021, 13:14

Elimu ya kujikinga na uviko 19 yawafikia wananchi wa vijijini Mkoani Dodoma

Na;Yussuph Hans. Jitihada za kufikisha Elimu ya kuchukuwa tahadhari na kujikinga dhidi ya Ugonjwa unaoenezwa na Virusi vya korona UVIKO-19, inaelezwa elimu hiyo imewafakiwa vyema hadi wakazi wa maeneo ya vijiji mbalimbali Mkoani Dodoma. Hayo yanajiri kufuatia Taswira ya Habari…

11 October 2021, 12:45

Wananchi washauriwa kuepuka matumizi ya pombe yaliyo pitiliza

Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kuacha kunywa pombe kupita kiasi ili kuepusha athari ambazo zinaweza kujitokeza ikiwemo matatizo ya akili. Hayo yameelezwa na Bi. Gladnes Munuo katibu mkuu kutoka taasisi ya TAANET ambayo inahusika na kupinga unywaji wa pombe kupita…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger