Dodoma FM
Dodoma FM
23 October 2025, 5:07 pm
Sajenti Ester amesema kitendo cha madereva kukatisha ruti bila sababu za msingi ni ukiukwaji wa sheria za usafirishaji wa abiria. Imeelezwa kuwa kitendo cha baadhi ya madereva wa usafiri wa daladala Jijini Dodoma kukatisha safari zao kabla ya kufika mwisho…
23 October 2025, 4:06 pm
Changamoto hiyo imekuwa ikiathiri shughuli za wananchi hao kutokana na maji hayo kudumu kwa muda bila ya kupungua. Na Victor Chigwada. Kuelekea katika msimu wa masika, wananchi wa kijiji cha Majeleko Wilayani Chamwino mkoani Dodoma wameonyesha kuwa na hofu kutokana…
23 October 2025, 3:38 pm
Karibu katika igizo la sauti ya tiba uendelee kuburudika na kujifunza kupitia igizo linalo kujia kupitia Dodoma fm radio.
23 October 2025, 3:03 pm
katika utetezi wake Mtumiwa huyo anasema anasingiziwa na baba wa mtoto huyo kwa kuwa anaugomvi nae. Na Kitana Hamis.Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 20 alie fahamika kwa jina la Athuman Hatibu mkazi wa Laiseri Wilayani Kiteto amehukumiwa kifungo cha…
22 October 2025, 5:02 pm
Wanafuzi hao wamechukuliwa kwajili ya uchunguzi. Na Kitana Hamis.Mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema amekemea imani za kishirikina baadhi ya Wanafunzi wa kike kuanguka shuleni nakupoteza fahamu. Mkuu wa wilaya ya kiteto alilazimika kufika Shuleni hapo na kuthibitisha kutokea…
22 October 2025, 4:41 pm
Katika sehemu ya saba ya igizo la sauti ya tiba tunaona bwana cornelius akiwa ameanza ujenzi wa jengo jipya katika eneo analo ishi je jrngo hili ni la nini, twende ufuatane nasi katika igizo hili .
22 October 2025, 4:18 pm
Jamii inapaswa kuondoa unyanyapaa dhidi ya watu wanaopitia changamoto za afya ya akili na badala yake, kuwasaidia kwa upendo na msaada wa kitaalamu. Na Peter Nnunduma.Sababu za kisaikolojia kama vile msongo wa mawazo, kupoteza mtu wa karibu na ajali vimetajwa…
22 October 2025, 3:50 pm
Hadi sasa, mamlaka mbalimbali zimeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu usalama wa mitandaoni na matumizi sahihi ya teknolojia, huku ikiendelea kuhamasisha matumizi bora ya TEHAMA kwa maendeleo ya jamii. Na Anwary Shaban.Wananchi nchini wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa njia…
22 October 2025, 3:20 pm
Huduma hizo za kibingwa zinatarajiwa kusaidia kupunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali za rufaa, sambamba na kuinua kiwango cha utoaji wa huduma za afya katikajamii. Na Lilian Leopold.Wananchi Mtaa wa Ilazo na maeneo ya jirani Jijini Dodoma wametakiwa kutumia fursa…
22 October 2025, 11:59 am
Vijiji vilivyofikishiwa mawasiliano vimeanza kunufaika na huduma za kifedha, elimu, biashara mtandao na fursa nyingine za kidijitali zinazochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Na Mariam Matundu.Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) inatarajia kuanza utekelezaji wa awamu mpya ya…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-