Dodoma FM

Recent posts

21/01/2026, 15:54

Kaimu Mkurugenzi Bodi ya Waandishi afanya ziara Dodoma

Na Mariam Kasawa. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari, Bw. Patric Kipangula, Januari 20, 2026, alifanya ziara ya kutembelea baadhi ya vituo vya redio na runinga jijini Dodoma. Lengo la ziara hiyo ni kukagua utekelezaji…

21/01/2026, 15:29

Ukame waathiri mifugo Kiteto, wafugaji waomba msaada

Hali hiyo imewalazimu wafugaji kuanza kutumia njia mbadala ili kunusuru mifugo yao, huku wakikabiliwa na changamoto ya ukosefu wa pumba na malisho. Na Kitana Hamis. Ukame unaoendelea wilayani Kiteto mkoani Manyara umeendelea kuwaathiri wafugaji, baada ya mifugo kukosa chakula na…

21/01/2026, 14:59

Wananchi Msanga walalamikia magari yanayobeba mchanga

Mwenyekiti huyo ameongeza kuwa  mbali na mwendo mkali, magari hayo pia yamekuwa chanzo cha vumbi ambalo huathiri biashara za wananchi . Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Msanga wilayani Chamwino mkoani Dodoma wamelalamikia magari yanayobeba mchanga kutembea kwa mwendo…

21/01/2026, 14:40

Vijana wahimizwa kujiunga na VETA na kuachana na mitazamo hasi

Picha ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA CPA Antony Kasore akiongea katika mkutano na waandishi wa habari. Picha na Dodoma FM. Mnamo mwaka 2016 takwimu za Umoja wa Mataifa zilionesha kuwa uchumi wa…

21/01/2026, 13:52

Njia za uandaaji shamba kuongeza uzalishaji

Aidha, utafiti huo unaeleza kuwa ingawa 41.3% ya kaya hutumia mbegu bora, 79.6% bado hutegemea mbegu za asili, hali inayochangia kiwango kidogo cha tija. Na Lilian Leopold. Wakulima jijini Dodoma wametakiwa kuzingatia njia sahihi za uandaaji wa shamba, ikiwemo kupima…

20/01/2026, 18:03

Wawekezaji  Nayu wasaidia kuboresha huduma za kijamii

kumekuwa na ushirikiano wa karibu baina ya wawekezaji na wananchi hivyo imekuwa rahisi  wananchi kunufaika na misaada kutoka Kwa wawekezaji hao. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Nayu Kata ya Dabalo Wilayani Chamwino wametoa pongezi Kwa wawekezaji wa migodi…

20/01/2026, 17:47

Mitazamo hasi kwa vijana kwenda veta ipuuzwe

Serikali na wadau wa elimu wanaendelea kutoa wito kwa wazazi na walezi kuwahamasisha vijana kujiunga na vyuo vya ufundi stadi, kama njia mbadala ya kukabiliana na tatizo la ajira nchini. Na Anwary Shaban.Jamii imetakiwa kuachana na mitazamo hasi kuhusu kuwapeleka…

20/01/2026, 15:47

Kanda namba tatu wafanya ziara ufuatiliaji wa miradi ya elimu

Ziara hiyo imewahusisha viongozi wa kanda namba 3 pamoja na viongozi mbalimbali za serikali kutoka kata ya Zuzu. Na Lilian Leopold. Viongozi wa kanda namba tatu wafanya ziara ya ufuatiliaji wa miradi  ya elimu inayotekelezwa katika shule ya sekondari Zuzu…

19/01/2026, 15:58

Wafanyabiashara Ving’awe waiomba serikali kuwaboreshea soko

Milioni 36 ya wafanyakazi Tanzania, milioni 25.95 sawa na 71.8% wanafanya kazi katika sekta isiyo rasmi. Na Steven Noel.Wafanyabiashara soko dogo la Vighawe, wilaya ya Mpwampwa jijini Dodoma wameiomba serikali kuwaboresha miundombinu ya soko na kuwawezesha upatikanaji wa mikopo nafuu…

19/01/2026, 15:33

Wagombea 67 wachukua fomu uongozi soko la Machinga

Uchaguzi wa viongozi katika soko hilo unatarajiwa kufanyika Januari 24, 2026. Na Lilian Leopold. Jumla ya wagombea 67 wamejitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika soko la wazi la Machinga  Complex jijini Dodoma. Nafasi zinazowaniwa ni pamoja…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger