Dodoma FM
Dodoma FM
21/01/2026, 15:54
Na Mariam Kasawa. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari, Bw. Patric Kipangula, Januari 20, 2026, alifanya ziara ya kutembelea baadhi ya vituo vya redio na runinga jijini Dodoma. Lengo la ziara hiyo ni kukagua utekelezaji…
21/01/2026, 15:29
Hali hiyo imewalazimu wafugaji kuanza kutumia njia mbadala ili kunusuru mifugo yao, huku wakikabiliwa na changamoto ya ukosefu wa pumba na malisho. Na Kitana Hamis. Ukame unaoendelea wilayani Kiteto mkoani Manyara umeendelea kuwaathiri wafugaji, baada ya mifugo kukosa chakula na…
21/01/2026, 14:59
Mwenyekiti huyo ameongeza kuwa mbali na mwendo mkali, magari hayo pia yamekuwa chanzo cha vumbi ambalo huathiri biashara za wananchi . Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Msanga wilayani Chamwino mkoani Dodoma wamelalamikia magari yanayobeba mchanga kutembea kwa mwendo…
21/01/2026, 14:40
Picha ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA CPA Antony Kasore akiongea katika mkutano na waandishi wa habari. Picha na Dodoma FM. Mnamo mwaka 2016 takwimu za Umoja wa Mataifa zilionesha kuwa uchumi wa…
21/01/2026, 13:52
Aidha, utafiti huo unaeleza kuwa ingawa 41.3% ya kaya hutumia mbegu bora, 79.6% bado hutegemea mbegu za asili, hali inayochangia kiwango kidogo cha tija. Na Lilian Leopold. Wakulima jijini Dodoma wametakiwa kuzingatia njia sahihi za uandaaji wa shamba, ikiwemo kupima…
20/01/2026, 18:03
kumekuwa na ushirikiano wa karibu baina ya wawekezaji na wananchi hivyo imekuwa rahisi wananchi kunufaika na misaada kutoka Kwa wawekezaji hao. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Nayu Kata ya Dabalo Wilayani Chamwino wametoa pongezi Kwa wawekezaji wa migodi…
20/01/2026, 17:47
Serikali na wadau wa elimu wanaendelea kutoa wito kwa wazazi na walezi kuwahamasisha vijana kujiunga na vyuo vya ufundi stadi, kama njia mbadala ya kukabiliana na tatizo la ajira nchini. Na Anwary Shaban.Jamii imetakiwa kuachana na mitazamo hasi kuhusu kuwapeleka…
20/01/2026, 15:47
Ziara hiyo imewahusisha viongozi wa kanda namba 3 pamoja na viongozi mbalimbali za serikali kutoka kata ya Zuzu. Na Lilian Leopold. Viongozi wa kanda namba tatu wafanya ziara ya ufuatiliaji wa miradi ya elimu inayotekelezwa katika shule ya sekondari Zuzu…
19/01/2026, 15:58
Milioni 36 ya wafanyakazi Tanzania, milioni 25.95 sawa na 71.8% wanafanya kazi katika sekta isiyo rasmi. Na Steven Noel.Wafanyabiashara soko dogo la Vighawe, wilaya ya Mpwampwa jijini Dodoma wameiomba serikali kuwaboresha miundombinu ya soko na kuwawezesha upatikanaji wa mikopo nafuu…
19/01/2026, 15:33
Uchaguzi wa viongozi katika soko hilo unatarajiwa kufanyika Januari 24, 2026. Na Lilian Leopold. Jumla ya wagombea 67 wamejitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika soko la wazi la Machinga Complex jijini Dodoma. Nafasi zinazowaniwa ni pamoja…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-