Dodoma FM

Recent posts

26/01/2026, 17:11

Serikali wilayani Mpwapwa yaingilia kati sakata la mtoto kupotea

Pamoja serikali kujitahidi kutoa Elimu kupitia vyombo mbalimbali lakin Bado wilaya ya Mpwapwa inakabiliwa na changamoto za wazazi au walezi kuwatoa watoto wao Kwenda mikoa ya mbali Kwa kazi za ndani  au kuchunga mifugo. Na Steven Noel. Hatimae serikali  wilaya…

26/01/2026, 16:52

Bil 10.5 kunufaisha wafanyabiashara ndogondogo zaidi ya 100,000

Vilevile, Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake unaendelea kutoa mikopo kwa riba nafuu ya asilimia 4. Kupitia TAMISEMI, vikundi zaidi ya 6,000 vimenufaika na mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya Halmashauri yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 33. Na…

26/01/2026, 15:23

Mikakati yabainishwa kuhakikisha wanafunzi wanahitimu masomo

Wazazi wameshauriwa kushirikiana walimu shuleni kufuatilia maendeleo ya watoto na kuanzisha kampeni za uhamasishaji kuhusu athari za kuolewa mapema kwa wasichana. Na Anwary Shabani. Imeelezwa kuwa baadhi ya wanafunzi wamekuwa wakishindwa kumaliza masomo yao kutokana na changamoto mbalimbali ikiwemo umaskini,…

23/01/2026, 15:56

Wahamiaji wasiofuata sheria kuchukuliwa hatua

Sheria hiyo inakataza mtu yeyote kuingia au kukaa nchini bila kibali, kuingia kwa njia zisizo rasmi au kuendelea kukaa baada ya muda wa kibali kuisha, hali inayomfanya atambulike kama mhamiaji haramu na kuchukuliwa hatua za kisheria ikiwemo faini, kifungo au…

23/01/2026, 14:26

Zaidi ya watoto 22 wenye mahitaji maalum wabainishwa Kizota

Hatua hiyo inajiri ikiwa ni siku ya pili tangu Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuzindua rasmi zoezi la ubainishaji wa watoto wenye mahitaji maalum, zoezi inalotekelezwa ikiwa ni sehemu ya sera ya serikali kuhakikisha watoto wote wanajumuishwa katika mfumo wa…

23/01/2026, 11:04

Chamwino wapongeza ujenzi wa jengo la mama na mtoto

Picha ni wadau wa afya katika utekelezaji wa mradi wa ukarabati wa vituo vya afya katika mikoa ya kanda ya kati. Picha na Wizara ya Afya. Serikali imeendelea kuwekeza katika ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya afya, kuongeza upatikanaji wa…

23/01/2026, 09:55

Askofu Kingamkono awahimiza waumini kutenda mema

Miongoni mwa waliotoa salamu za rambirambi ni pamoja na Ezekia Chibulenje, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Chilonwa, pamoja na George Malima Lubeleje, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa, ambao kwa pamoja wamesema marehemu alijipambanua kwa maadili mema, uwajibikaji na uongozi…

22/01/2026, 17:44

DMG yaandaa kampeni ya Onesha Upendo

Umekuwa muendelezo wa kampeni ya Onesha Upendo inayoratibiwa na kituo cha Dodoma Media Group katika kugusa makundi mbalimbali katika jamii ambapo kwa mwaka huu wakitarajiwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali katika kituo hicho. Na Anwary Shabani. Kupitia kampeni ya Onesha…

22/01/2026, 17:25

Dodoma yabainisha watoto wenye mahitaji maalum

Ubainishaji wa mapema utasaidia serikali na wadau kupanga mikakati madhubuti ya utoaji wa huduma kwa watoto wenye mahitaji maalum. Na Lilian Leopold. Wazazi na walimu wametakiwa kushirikiana katika kuwaibua watoto wenye mahitaji maalum, kwa lengo la kuwatambua watoto hao wenye…

22/01/2026, 17:14

TYSPU yaboresha uzalishaji wa alizeti Dodoma

Mradi huo unawezeshwa na Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo. Na Lilian Leopold. Kupitia mradi wa Tanzania Youth and Smallholder Productivity Upgrade (TYSPU), jumla ya mashamba darasa nane ya zao la alizeti yanayosimamiwa na Halmashauri ya Jiji…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger