Dodoma FM

Recent posts

2 December 2025, 12:48 pm

Wasichana waongoza maambukizi ya VVU

Picha ni ‎Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) William Lukuvi, katika Madhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani. Picha na Jambo Tv. Hapo jana Desemba 1,2025 katika maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, Serikali imesema…

1 December 2025, 5:20 pm

Wakulima wahimizwa kulima mazao yanayostahimili upungufu wa mvua

Maeneo mengi katika Mkoa wa Dodoma na wilaya zake ikiwemo Dodoma, Mpwapwa, Kongwa, Bahi, Chamwino, Chemba na Kondoa yanatarajiwa kupata mvua chache hadi za wastani katika kipindi chote cha msimu. Na Mwandishi wetu.Wananchi wameendelea kupata elimu kuhusu uchaguzi sahihi wa…

1 December 2025, 4:54 pm

Wananchi Ihumwa waipongeza NIDA kwa kusogeza huduma karibu

Kupitia taarifa ya 2024, NIDA imejisajili na kutambua jumla ya watu miloni 24.5 tangu kuanzishwa kwa zoezi (2012). Kutoka idadi hiyo, NIDA imetoa Namba za Utambulisho (NIN) kwa watu milioni 20.8 Na Victor Chigwada.Wananchi wa mitaa ya Ihumwa,Chilwana na Chang’ombe…

1 December 2025, 4:27 pm

Serikali kuwashirikisha vijana katika mipango ya maendeleo

Sheria ya Ununuzi wa Umma imeelekeza taasisi zote za umma kutenga asilimia 30 ya manunuzi yote kwa ajili ya makundi maalumu wakiwemo vijana ili kuongeza ushiriki wao katika uchumi wa Taifa, Na Anwary Shaban.Serikali imesisitiza kuwa itaendelea kuwaamini vijana na…

1 December 2025, 1:01 pm

Vijana waimarisha usalama mtaani kupitia mikutano ya mitaa

Picha ni ofisi ya Taasisi ya Maendeleo ya Vijana Mkoa wa Dodoma inayopatikana kata ya Miyuji mtaa wa Mailimbili. Picha na Lilian Leopold. Takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 zinaonyesha Tanzania ina zaidi ya vijana milioni…

1 December 2025, 12:37 pm

Wataalam wapendekeza karanga kwa afya ya moyo, ubongo

Tafiti za lishe zinaonyesha kuwa ulaji wa karanga unaweza kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo kwa asilimia 15, na pia kuchangia katika kuimarisha kinga ya mwili. Picha na Mtandao. Mbali na kuwa kitafunwa cha kawaida, karanga huchangia kuongeza kinga ya…

28 November 2025, 3:31 pm

Wananchi Pandambili walalamikia kukosa huduma ya umeme

Ukosefu wa umeme katika kijiji hicho umekuwa ukiathiri shughuli zao, kwani hulazimika kwenda kijiji cha jirani kupata huduma mbalimbali ikiwemo huduma ya mashine kwa ajili ya kusaga unga. Na Farashuu Abdallah.Wananchi wa kijiji cha Pandambili A wilayani Kongwa mkoani Dodoma…

28 November 2025, 2:18 pm

Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa za serikali

Ni vyema wananchi wakachangamkia fursa zinazotolewa na Serikali ikiwemo fursa ya mikopo kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Na Mariam Matundu.Wananchi wametakiwa kuchangamkia fursa zinazotolewa na Serikali kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Wito huo umetolewa tarehe 27 Novemba na Naibu waziri…

27 November 2025, 3:53 pm

Chamwino yazindua kampeni kuelekea siku 16 za kupinga ukatili

Itakumbukwa kuwa Maadhimisho haya hufanyika kila mwaka kuanzia Novemba 25 hadi Desemba 10 kote duniani. Na Seleman Kodima.Halmashauri ya Chamwino imezindua kampeni na kutoa elimu kuelekea maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia duniani, katika Kijiji cha Mjelo,…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger