Dodoma FM

Changamoto jamhuri zakatisha mchezo kati ya Dodoma jiji na

28 October 2025, 3:56 pm

Picha ni uwanja wa jamhuri Jijini Dodoma.Picha na Dodoma fm.

Changamoto hizo zinatajwa kupelekea mchezo huo kuto kukamilika.

Hamis makila amezungumza na meneja uwanja wa Jamhuri Bw. Hussein Mhando ambapo ameeleza changamoto zilizo tokea hadi kupelekea taa kusumbua uwanjani hapo na kupelekea mchezo huo kukatishwa.

Sauti ya Hamis Makila