
Michezo

19 March 2025, 4:00 pm
Miaka minne ya Rais Samia yaacha neema Geita
Leo Marchi 19, 2025 imetimia miaka minne ya uongozi wa Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo katika kipindi hicho miradi mbalimbali ya kimkakati imeanzishwa wilayani Geita. Na: Ester Mabula – Geita Wananchi wilayani na mkoani Geita…

15 March 2025, 18:18
Mke wa marehemu mchungaji Kalengo afariki dunia, kanisa la Moravian laomboleza
Kifo kifo hakichagui mtu, safari hiyo kila mtu ni lazima aipitie kwa wakati wake na kwa njia yake. Na Hobokela Lwinga, Mbeya Aliyekuwa mke wa mchungaji marehemu Kalengo Salome Magwaza amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Kanda…

13 March 2025, 22:21
Viongozi kanisa la Moravian KMT-JKM watembelea taasisi za kanisa hilo
Viongozi wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi wametembelea taasisi za kanisa zinazomilikiwa na jimbo kwa lengo la kushauriana namna bora ya kuimarisha utendaji kazi. Na Hobokela Lwinga Watumishi wanaofanya kazi katika taasisi mbalimbali za kanisa la Moravian…

7 March 2025, 09:55
Moravian yatembelewa na wageni kutoka Ujerumani, waahidi ushirikiano
Wahenga wanasema nyumba bila wageni hiyo sio nyumba,ishara ya kutembelewa na wageni ni kuonyesha upendo wa namna unavyoishi na watu. Na Hobokela Lwinga, Mbeya Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi limewapokea na kuwaaga wageni kutoka nchini Ujerumani waliofika…

3 March 2025, 12:13
Dkt. Mpango mgeni rasmi kongamano la wanawake Kigoma
Siku ya wanawake duniani ilianza kutokana na jitihada za wanawake 15,000 mwaka 1908 walioandamana mjini New York Marekani wakidai kupunguziwa muda wa kufanya kazi, ujira wa kuridhisha na haki ya kupiga kura. Na Lucas Hoha Makamu wa Rais wa Tanzania…

February 26, 2025, 5:31 pm
Serikali ya Mtaa yaifukuza SAMBA MICROFINANCE kwa kuwaumiza wananchi
“Hawa akina mama walikopa mwezi Januari tarehe 30, 2025 walitakiwa kufanya marejesho ya mkopo mwezi March 01, 2025 lakini kabla hata muda wa kurudisha haujafika wamepeleka hela wanakataliwa wanapigwa penati ya mara mbili ya fedha ambayo walitakiwa kurejesha hii sio…

25 February 2025, 3:06 pm
Kata 8 za Geita na Chato zaneemeka na mradi wa maji
Hatimaye wananchi wa kata 8 za wilaya ya Geita na Chato wamepata neema ya kuondokana na changamoto ya muda mrefu ya ukosefu wa maji safi na salama. Na: Edga Rwenduru – Geita Wakazi zaidi ya laki mbili kutoka kata 8…

18 February 2025, 8:06 pm
Vibanda 10 vya wafanyabiashara vyateketea kwa moto Bunazi Missenyi
Wafanyabiashara na wajasiriamali nchini wameendelea kukumbwa na hasara za mara kwa mara kutokana na moto unaoripuka katika maeneo yao ya kazi kutokana na uhaba wa miundombinu rafiki ya uzimaji moto pindi unapotokea Na Respicius John Wafanyabiashara katika mji mdogo wa…

17 February 2025, 13:45
TRA Kigoma yajipanga kuzuia uingizwaji bidhaa za magendo
Serikali kupitia Mamlaka ya Mapatao Tanzania TRA imesema itaendelea kushirikiana na wanfanyabiashara kukabiliana na wanaoingiza bidhaa kwa njia za magendo Na Timotheo Leonard Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye, amekemea…

4 February 2025, 17:37
Mch. Batare Kasongwa afariki dunia, Moravian yamlilia
Duniani hatuna mji udumuo mataraijio yetu ni kuurithi ufalme wa milele wa Mungu ndio maana Mungu anatoa na kutwaa. Na Mwandishi WetuHalmashauri Kuu ya Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini, kwa masikitiko makubwa inatangaza kifo cha Mchungaji Batare Kasongwa.…