Radio Tadio

Michezo

19 March 2025, 4:00 pm

Miaka minne ya Rais Samia yaacha neema Geita

Leo Marchi 19, 2025 imetimia miaka minne ya uongozi wa Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo katika kipindi hicho miradi mbalimbali ya kimkakati imeanzishwa wilayani Geita. Na: Ester Mabula – Geita Wananchi wilayani na mkoani Geita…

3 March 2025, 12:13

Dkt. Mpango mgeni rasmi kongamano la wanawake Kigoma

Siku ya wanawake duniani ilianza kutokana na jitihada za wanawake 15,000 mwaka 1908 walioandamana mjini New York Marekani wakidai kupunguziwa muda wa kufanya kazi, ujira wa kuridhisha na haki ya kupiga kura. Na Lucas Hoha Makamu wa Rais wa Tanzania…

17 February 2025, 13:45

TRA Kigoma yajipanga kuzuia uingizwaji bidhaa za magendo

Serikali kupitia Mamlaka ya Mapatao Tanzania TRA imesema itaendelea kushirikiana na wanfanyabiashara kukabiliana na wanaoingiza bidhaa kwa njia za magendo Na Timotheo Leonard Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye, amekemea…

4 February 2025, 17:37

Mch. Batare Kasongwa afariki dunia, Moravian yamlilia

Duniani hatuna mji udumuo mataraijio yetu ni kuurithi ufalme wa milele wa Mungu ndio maana Mungu anatoa na kutwaa. Na Mwandishi WetuHalmashauri Kuu ya Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini, kwa masikitiko makubwa inatangaza kifo cha Mchungaji Batare Kasongwa.…