Radio Tadio

Michezo

26 July 2024, 4:12 pm

Maji safi na Salama

Picha kwa msaada wa mtandao Na Waandishi wetu Simanjiro ni moja ya wilaya zinazokumbwa na changamoto kubwa ya ukame, ambayo imeathiri sana upatikanaji wa maji safi kwa wakazi wake. Ukame huu umesababisha vyanzo vingi vya maji kukauka, na hivyo kuathiri…

24 July 2024, 2:37 pm

Mbinu bora za uhifadhi mazao ya chakula

Picha kwa msaada wa mtandao Na Evanda Barnaba Uhifadhi wa mazao ya chakula ni suala muhimu sana, hasa kwa wakulima na jamii zetu kwa ujumla. Mazao mengi yanaharibika baada ya mavuno kutokana na uhifadhi duni, jambo ambalo linaweza kusababisha upungufu…

23 July 2024, 12:39 pm

Mbinu bora za uhifadhi wa mazao ya chakula

Picha kwa masaada wa mtandaoni Na Mwaandishi wetu Evanda Barnaba Jamii na wakulima hawana uelewa wa namna bora ya kuhifadhi mazao ya chakula mwandishi wetu Evanda Barnaba Amemtembelea bwana Maulidi Hashimu kutoka kijiji cha loksale kuzungumza naye mchakato mzima kuanzia…

23 July 2024, 7:33 am

GEUWASA, RUWASA zapewa maelekezo juu ya miradi ya maji

Wizara ya maji nchini imedhamiria kukamilisha miradi yote ya maji ambayo imeanzishwa ili wananchi wote wapate huduma ya maji safi na salama. Na: Kale Chongela -Geita Naibu waziri wa maji mhandisi Kundo Mathew ameutaka uongozi wa GEUWASA NA RUWASA kufanya…

19 July 2024, 11:36

NGO’s zilivyoinua uchumi Kasulu

Serikali imesema uwepo wa Mashirika yasiyo ya kiserikali ndani ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma imekuwa na mchango mkubwa katika kuchochea suala la maendeleo. Hayo yameelezwa na Bi. Theresia Mtewele katibu tawala wa wilaya ya Kasulu wakati akizungumza na wawakilishi…

18 July 2024, 11:39

Barabara zawa kero kwa wananchi Mkigo

Wananchi wa vijiji vya kata ya MKigo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma, wameiomba serikali kutatua changamoto zinazowakabili, ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya barabara zilizoharibika kutokana na mvua nyingi zilizonyesha msimu wa mwaka 2023-2024, huduma za umeme wa REA…

18 July 2024, 08:38

Watumishi watakiwa kubuni vyanzo vya mapato kigoma

Serikali mkoani kigoma imewataka watumishi kusimamia ukusanyaji wa mapato ili ksaidia kupata mapato yatayosaidia katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Tryphone Odace – Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji,…