Radio Tadio

Michezo

30 May 2023, 10:10 am

Wakurugenzi watenge bajeti sekta ya michezo

MPANDA Katibu tawala wa mkoa wa Katavi Hassan Rugwa amewataka wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani hapa kuhakikisha wanatenga bajeti ili kuwezesha sekta ya michezo. Akizungumza wakati wa kufungwa kwa mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa shule za msingi…

29 May 2023, 9:32 AM

Shirika la SDA lagawa vifaa vya michezo shule za msingi, sekondari Masasi

MASASI. Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na michezo Sports  Development Aid SDA, limeunga mkono  juhudu za serikali za kuhakikisha jamii inajengewa uwezo wa kuwa na afya njema   kwa kugawa vifaa vya michezo kwa shule za msingi na sekondari za halmsahuri…

26 May 2023, 12:13 pm

Washiriki Great Ruaha Marathon wahakikishiwa usalama ndani ya hifadhi

Na Hafidh Ally Washiriki wanaotarajia kushiriki mbio za Great Ruaha Marathon 2023 ambazo zitafanyika katika hifadhi ya taifa ya Ruaha, wamehakikishiwa kuwepo kwa usalama wakati wote wa mashindano hayo. Akizungumza na Nuru FM mratibu wa shirika la Sustainable Youth Development…

22 May 2023, 5:53 pm

Mtembezi Marathon kutangaza utalii wa ndani

Akizungumza baada ya kikao hicho mkuu wa wilaya ya Dodoma Mh Jabiri Shekimweri amefafanua malengo ya mbio hizo. Na Alfred Bulahya. Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Dodoma, Mtembezi Adventures, Pamoja na Dodoma Media Group imeandaa mbio maalum (Mtembezi Marathoni)…

4 May 2023, 1:03 pm

Mchezo wa kriketi kuongeza mahudhurio ya wanafunzi

Afisa michezo wilayani Kongwa  amesema wanawajengea uwezo walimu waweze kuwasaidia watoto kumudu vitendo vya mchezo wa kriketi ili kupitia ubora wa timu za shule zao waweze kupata wachezaji wazuri wa kuunda timu za Wilaya  na pia wapate fursa ya kuchaguliwa…

10 April 2023, 8:11 am

Mashindano ya Taifa ya mpira wa mikono yafanyika Bunda Mji

Kwa mara ya pili mfululizo mashindano ya mpira wa mikono (handball) Taifa yanafanyika katika ardhi ya Halmashauri ya Mji wa Bunda. Mashindano haya yalianza siku ya Jumatano tarehe 04.04.2023 na kuzinduliwa na mdau mkubwa wa michezo Ndg. Kambarage Wasira katika…

5 April 2023, 12:41 pm

Wazazi Wapeni nafasi watoto kushiriki michezo

Wazazi wametakiwa kutenga muda wa kushiriki katika michezo baada ya masomo na kuwanunulia vifaa vya michezo ili wawe na afya bora. Na Adelphina Kutika Wazazi na  wazazi Manispaa ya Iringa wametakiwa  kuwapa nafasi watoto kushiriki katika michezo ili kuibua vipaji…