
Michezo

30 May 2023, 10:10 am
Wakurugenzi watenge bajeti sekta ya michezo
MPANDA Katibu tawala wa mkoa wa Katavi Hassan Rugwa amewataka wakurugenzi wa halmashauri zote mkoani hapa kuhakikisha wanatenga bajeti ili kuwezesha sekta ya michezo. Akizungumza wakati wa kufungwa kwa mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa shule za msingi…

29 May 2023, 9:32 AM
Shirika la SDA lagawa vifaa vya michezo shule za msingi, sekondari Masasi
MASASI. Shirika lisilo la kiserikali linalojishughulisha na michezo Sports Development Aid SDA, limeunga mkono juhudu za serikali za kuhakikisha jamii inajengewa uwezo wa kuwa na afya njema kwa kugawa vifaa vya michezo kwa shule za msingi na sekondari za halmsahuri…

26 May 2023, 12:13 pm
Washiriki Great Ruaha Marathon wahakikishiwa usalama ndani ya hifadhi
Na Hafidh Ally Washiriki wanaotarajia kushiriki mbio za Great Ruaha Marathon 2023 ambazo zitafanyika katika hifadhi ya taifa ya Ruaha, wamehakikishiwa kuwepo kwa usalama wakati wote wa mashindano hayo. Akizungumza na Nuru FM mratibu wa shirika la Sustainable Youth Development…

24 May 2023, 2:08 pm
SYDP laanza kufanya usajili wa washiriki wa mbio za Great Ruaha Marathon 2023
Na Hafidh Ally Shirika la Sustainable Youth Development Partnership (SYDP) linaloratibu mbio zilizopewa jina la Great Ruaha Marathon 2023 zitakazofanyika katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha mkoani Iringa, tarehe 8 Julai mwaka huu limeanza kufanya zoezi la usajili wa washiriki. Mbio…

22 May 2023, 5:53 pm
Mtembezi Marathon kutangaza utalii wa ndani
Akizungumza baada ya kikao hicho mkuu wa wilaya ya Dodoma Mh Jabiri Shekimweri amefafanua malengo ya mbio hizo. Na Alfred Bulahya. Ofisi ya mkuu wa wilaya ya Dodoma, Mtembezi Adventures, Pamoja na Dodoma Media Group imeandaa mbio maalum (Mtembezi Marathoni)…

17 May 2023, 4:51 pm
TMO yawasilisha rasimu ya ujenzi wa kituo cha michezo Mbande
Kwa mujibu wa viongozi wa Taasisi hiyo ujenzi wa Kituo hicho utaleta tija kwa wananchi kwani utahusisha maeneo ya vitega uchumi mbalimbali yakiwemo maduka na huduma nyinginezo. Na Alfred Bulahya. Taasisi ya Tembea Kwa Matumaini Organization (TMO) imewasilisha rasimu ya…

11 May 2023, 10:50 am
Mashindano ya mbio za magari kufanyika msitu wa Sao Hill Iringa Mei 13
Na Fabiola Bosco Mashindano ya mbio za magari yanayofahamika kwa jina la CMC Automobile Sao Hill Forest Rally of Iringa yanatarajiwa kuanza tarehe 13 mwezi wa tano katika Misitu ya asili Sao Hill . Kwa mujibu wa mwandaaji mkuu wa…

4 May 2023, 1:03 pm
Mchezo wa kriketi kuongeza mahudhurio ya wanafunzi
Afisa michezo wilayani Kongwa amesema wanawajengea uwezo walimu waweze kuwasaidia watoto kumudu vitendo vya mchezo wa kriketi ili kupitia ubora wa timu za shule zao waweze kupata wachezaji wazuri wa kuunda timu za Wilaya na pia wapate fursa ya kuchaguliwa…

10 April 2023, 8:11 am
Mashindano ya Taifa ya mpira wa mikono yafanyika Bunda Mji
Kwa mara ya pili mfululizo mashindano ya mpira wa mikono (handball) Taifa yanafanyika katika ardhi ya Halmashauri ya Mji wa Bunda. Mashindano haya yalianza siku ya Jumatano tarehe 04.04.2023 na kuzinduliwa na mdau mkubwa wa michezo Ndg. Kambarage Wasira katika…

5 April 2023, 12:41 pm
Wazazi Wapeni nafasi watoto kushiriki michezo
Wazazi wametakiwa kutenga muda wa kushiriki katika michezo baada ya masomo na kuwanunulia vifaa vya michezo ili wawe na afya bora. Na Adelphina Kutika Wazazi na wazazi Manispaa ya Iringa wametakiwa kuwapa nafasi watoto kushiriki katika michezo ili kuibua vipaji…