Dodoma FM
Dodoma FM
12 January 2021, 7:48 am
Dodoma. Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Geoffrey Mwambe amewataka watumishi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Wakala wa Vipimo (WMA) kufanya kazi kwa uadilifu na kuwafikiria wafanya biashara wakati wakitoa huduma ili kuendelea kutengeneza taswira nzuri ya bidhaa za…
11 January 2021, 2:02 pm
Na,Benard Filbert Dodoma. Ubovu wa miundombinu ya barabara katika Kata ya Mazae Wilayani Mpwapwa imetajwa kuwa kero hali ambayo inasababisha kushindwa kufanyika kwa shughuli za kimaendeleo.Mmoja wa mkazi wa mtaa wa mazae akizungumza na taswira ya habari amesema hivi sasa…
11 January 2021, 12:45 pm
Na,Shani, Dodoma Imeelezwa kuwa kupanda kwa bei ya mafuta ya kula hususan ya alizeti kumechangiwa na mvua kubwa iliyonyesha msimu uliopita.Hayo yameelezwa na wafanyabasara katika soko la Majengo jijini Dodoma wakati wakizungumza na Dodoma Fm ambapo wamesema alizeti imeadimika kutokana…
5 January 2021, 3:21 pm
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wakazi wa kijiji cha Mahama Kata ya Chilonwa Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kufanya ukarabati wa daraja lililopo kati ya kijiji cha mahama na Nzali ili kuondoa adha ya usafiri wanayokutana nayo kipindi cha mvua za masika.Wakizungumza na…
22 December 2020, 12:41 pm
Na,Timotheo Chiume, Dodoma. Upatikanaji mdogo wa mbegu za maboga jijini Dodoma umezifanya kutotumiwa kwa wingi na watu wanaozihitaji kwa ajili ya chakula na lishe.Pamoja na changamoto hiyo uhitaji na watumiaji wanaongezeka kila siku kutokana na kutambua faida zitokanazo na mbegu…
22 December 2020, 12:23 pm
Na,Thadey Tesha, Dodoma Baadhi ya wafanyabiashara wa kuku katika soko la Changombe jijini hapa wameiomba Serikali kuwatengenezea mazingira rafiki ya kuuzia bidhaa zao kutokana na eneo lililopo kutotosheleza mahitaji. Wakizungumza na Taswira ya habari wafanyabiashara hao wamesema kwa sasa mazingira…
21 December 2020, 2:47 pm
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa maji wa Mzakwe wenye thamani zaidi ya milioni 200 unaotarajiwa kuzalisha maji lita laki nne kwa saa katika kuendelea kupunguza adha ya maji kwa Mkoa wa…
19 December 2020, 7:20 am
Dar es Salaama. KIUNGO mkabaji wa Klabu ya Yanga Abdulaziz Makame yupo kwenye mpango wa kutua kwa mkopo ndani ya Klabu ya Polisi Tanzania. Taarifa zinadai kuwa mpaka sasa ni timu mbili zinahitaji kupata huduma yake ikiwa ni Polisi Tanzania …
18 December 2020, 3:52 pm
Na, Benard Filbert, Dodoma. Ili kuondokana na changamoto ya upatikanaji wa maji katika Kata ya Matumbulu Mkoani Dodoma Serikali imeelekeza nguvu zake katika kutatua adha hiyo ili kuleta unafuu kwa wananchi.Akizungumza na taswira ya habari afisa mtendaji wa Kata hiyo…
18 December 2020, 3:41 pm
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Serikali imewataka maafisa mazingira wa Mikoa yote Nchini kuhakikisha Halmshauri zote zilizopo katika Mikoa yao zinapanda miti milioni moja na laki tano kila mwaka ili kuhifadhi mazingira kwa vizazi vya sasa na vijavyo.Akizungumza na Waandishi wa habari…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-