Dodoma FM
Dodoma FM
19 April 2021, 1:23 pm
Na; Selemani Kodima Licha ya Jitihada mbalimbali kuendelea kufanyika ,Bado kijiji cha Banyi banyi wilayani Kongwa kimeendelea kukabiliwa na Changamoto ya ukosefu wa maji safi na salama. Hili limeendelea kujiri baada ya Kupitia zaidi ya Mwezi mmoja tangu Uongozi wa…
19 April 2021, 12:48 pm
Na; Mariam Matundu Serikali kupitia Halmashauri nchini imetenga shilingi elfu moja(1000) kwa kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mitano ili kutekeleza afua mbalimbali za lishe ikiwemo kuanzisha kamati elekezi yenye lengo la kuimarisha usimamizi na uratibu wa suala la…
19 April 2021, 12:19 pm
Na; Benard Filbert. Wenyeviti wa mitaa katika jiji la Dodoma wametakiwa kutoa ushirikiano kwa mamlaka ya maji DUWASA ikiwepo kutoa taarifa za watu wanaojiunganishia maji kinyume na sheria. Hayo yanajiri kufuatia agizo la mkuu wa Mkoa Dkt.Binilith Mahenge alilolitoa hivi…
19 April 2021, 11:43 am
Na; Thadei Tesha. Gharama kubwa za nishati rafiki kwa mazingira ikiwemo gesi, zimetajwa kuchangia uharibifu wa mazingira kutokana na wananchi wengi kutozimudu. Hali hii imechangia wananchi wengi kuendelea kutumia nishati ya mkaa na kuni ambazo zinasababisha uharibifu wa mazingira. Wananchi…
19 April 2021, 5:41 am
Na ; Mariam kasawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na mijadala inayoendelea bungeni ya kumlinganisha na mtangulizi wake, hayati John Magufuli. Akizungumza jana Jumapili Aprili 18, 2021 katika kongamano la viongozi wa dini, …
16 April 2021, 12:42 pm
Na; Benard Filbert. Wito umetolewa kwa waandishi wa habari nchini kutumia kalamu zao ili kuhamasisha maendeleo ya Nchi na si vinginevyo. Wito huo umetolewa na msemaji mkuu wa serikali na mkurugenzi wa idara ya habari maelezo Mh. Gerson Msigwa wakati…
16 April 2021, 12:02 pm
Na; Selemani kodima Dampo la kutupia taka lililopo katikati ya mpaka wa Kijiji cha Chamwino ikulu na Chilonwa Wilayani Chamwino limetajwa kuhatarisha afya za wananchi wa eneo hilo.. Hayo yamefahamika baada ya Taswira ya habari kuzungumza na baadhi ya wakazi…
16 April 2021, 11:13 am
Na; Mariam Matundu. Wadau wa mazingira wanasema wanafurahi kuona jitihada zao za kutaka kutokomezwa matumizi ya plastiki zinaendelea kufanikiwa kutokana na athari zake katika mazingira. Hayo yamesemwa na mdau wa mazingira kutoka taasisi ya Fudeco Bakari Mntembo na kuongeza kuwa…
16 April 2021, 10:49 am
Na;Mindi Joseph . Mkurugenzi wa mamlaka ya udhibiti wa mbolea Tanzania (TFRA) Dtk.Stephane Ngailo amesema kuwa wataendelea kuhimiza na kuhamasisha wawekezaji kushirikiana na serikali ikiwemo kituo cha uwekezaji , kuwekeza katika ujenzi wa viwanda vya mbolea hapa nchini . Dkt.Ngailo…
16 April 2021, 9:57 am
Na; Shani Nicolous. Wafanyabiashara wa soko la majengo wamelalamikia kukosekana kwa vifungashio mbadala vilivyo elekezwa na Serikali vitumike . Akizungumza na Taswira ya habari Mwenyekiti wa soko la Majengo Bw.Hamis Bomu amesema kuwa vifungashio mbadala vinavyo takiwa kutumika havipatikani kwa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-