Dodoma FM

Recent posts

5 November 2021, 12:59

Mchango wa sekta ya madini waongezeka na kufikia asilimia 7.7

Na;Mindi Joeph . Waziri wa Madini Dotto Biteko amesema Mchango wa sekta ya madini umeongezeka na kufikia asilimia 7.7 ya pato la taifa katika robo ya pili ya mwaka 2021 huku ukitarajiwa kufikia asilimia 10 ifikapo mwaka 2025. Akizungumza leo…

4 November 2021, 11:44

Hali ya utoaji na upokeaji chanjo ya uviko 19 inaridhisha

Na; Mariam Matundu Imeelezwa kuwa hali ya utoaji na upokeaji chanjo ya uviko 19 inaridhisha kwakuwa wananchi wamehamasika na wanajitokeza kwa wingi hasa wananchi wanaoishi vijijini . Aidha wanawake wametajwa kujitokeza kwa wingi katika kupata chanjo hiyo maeneo yote nchini…

3 November 2021, 13:40

Jamii imetakiwa kusoma na kuielewa mikataba mbalimbali kabla ya kusaini

Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kusoma na kuelewa mikataba mbalimbali wanayopewa katika makubaliano kabla ya kuisaini. Wito huo umetolewa na msaidizi wa kisheria kutoka kata ya Dodoma Makulu Bw. Kapesa Youngson wakati akizungumza na Taswira ya habari na…

3 November 2021, 13:21

Waziri wa maji akutana na uongozi wa Benki ya Exim kutoka India

Na; Mindi Joseph. Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amekutana na uongozi wa Benki ya Exim India kuhusu utekelezaji wa mradi wa maji wa miji 28 ambao ni moja ya miradi ya maji iliyopangwa kutekelezwa na Serikali. Kikao hicho kimefanyika…

DODOMA FM

Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.

SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE

• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards

 COVERAGE

Dodoma Region in all its 7 districts  It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.

AREA OF FOCUS

Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-

  • Ensure that people of central region have access to Improved nutrition
  • Ensure health and wellbeing for all
  • Quality education
  • Gender equality
  • Access to safe water and sanitation
  • Decent work and economic growth
  • Climate change
  • Violence against children and women
  • hunger