Dodoma FM
Dodoma FM
5 May 2022, 14:11
Na;Mindi Joseph. Mkoa wa Dodoma umesema utaendelea kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira Magumu na hatarisha kwa kuhakikisha wanapata mahitaji muhimu. Taswira ya habari imezungumza na Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Dodoma Bi Honoratha Rwegasira amesema uwepo wa Baraza la…
5 May 2022, 14:00
Na; Leonard Mwacha. Wananchi mkoani Dodoma wametakiwa kutambua umuhimu wa zao la mbaazi kuwa lina manufaa makubwa katika matumizi mbalimbali pamoja na biashara. Wito huo umetolewa na, Mkurugenzi wa wa asasi siyokuwa ya serikali SEIDA Bw. Fredrick Ogenga, kupitia warsha…
5 May 2022, 13:42
Na; Benard Filbert. Kutokona na kubadilika kwa mfumo wa maisha kulikosababishwa na kupanda kwa bei ya nishati ya mafuta Duniani wakazi mkoani Dodoma wameiomba serikali kuangalia njia bora ya kutatua changamoto hiyo hali itakayosaidia kuwakwamua wananchi kiuchumi. Hayo yameelezwa na…
5 May 2022, 07:40
Na;Yussuph Hassan. Elimu ya mipaka ya ardhi katika kipindi cha Sensa ya watu na makazi imetajwa kuwa muhimu katika kuhakikisha kila eneo linafahamu kwa kina mipaka yake. Akizungumza na kituo hiki Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Nzije Jijini hapa…
5 May 2022, 07:13
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa viongozi wa dini wanayo nafasi kubwa ya kuhamasisha zoezi la sensa na makazi ambalo linatarajiwa kufanyika mwaka huu mnamo mwezi Agosti. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi jijini hapa wakati wakizungumza na taswira ya habari…
2 May 2022, 15:21
Na; Selemani Kodima. Wakati zoezi la Ukusanyaji wa taarifa za namba za anwani za Makazi likitegemewa kufika Tamati Mei 30, Wilaya ya Chemba imefika lengo katika zoezi la ukusanyaji wa taarifa za anwani za makazi kwa kukusanya taarifa 72958 Sawa…
2 May 2022, 15:11
Na;Mindi Joseph . Wafanyakazi za Ndani wameomba serikali kutengeneza sera na miongozo itakayowasaidia kuwalinda na unyanyasaji na ukatili wa kijinsia pindi wanapotekeleza majukumu yao. Taswira ya habari imezungumza na baadhi ya wafanyakazi za ndani ambapo wamesema changamoto wanazokumbana nazo ni…
29 April 2022, 06:48
Na;Yussuph Hassan. Zoezi la chanjo ya ugonjwa polio lililotarajiwa kuanza jana Nchini, limehairishwa ambapo zoezi hilo litafanyika kuanzia mwezi may 12-15 nchini huku wananchi wakikisitizwa kujiandaa na zoezi hilo. Akizungumza na kituo hiki Mratibu wa Chanjo Mkoani Dodoma Victor Kweka…
22 April 2022, 14:07
Na; Shani Nicolous. Mara baada ya taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu jiwe la Ruby lililopo Dubai Wizara ya madini imesema inafanya utafiti na kutoa majibu sahihi namna taifa litanfaika na jiwe hilo. Akizungumza bungeni Naibu waziri wa madini Mh.Dr. Steven Kiruswa…
22 April 2022, 13:53
Na;Yussuph Hassan. Serikali Nchini imeshauriwa kusimamia kwa kina suala la malisho kwa wafugaji kwani kundi hilo limekuwa likichangia kwa kiasi kubwa shughuli za kiuchumi. Akizungumza na waandishi wa habari na Mwenyekiti wa Chama Cha Wafugaji Nchini Jeremia Wambura amesema kuwa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-