Dodoma FM
Dodoma FM
6 October 2025, 6:03 pm
Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule katika hafla ya Capital City Marathon . Picha na Lilian Leopold. Amesisitiza kuwa ni wajibu wa kila mtu kujitokeza kushiriki katika shughuli za michezo ili kudumisha afya na kuongeza ubunifu…
6 October 2025, 5:07 pm
Kazi ya ukondakta ni kazi kama kazi nyingine, hivyo wanawake wana nafasi sawa ya kuifanya bila kubaguliwa. Picha na Blog. Amesema wanawake hao wamekuwa wakijituma kama watu wengine katika kutafuta kipato, ili kuhakikisha familia zao zinapata mahitaji ya msingi na…
6 October 2025, 3:30 pm
Picha ya pamoja ya mgeni rasmi Kamanda wa Polisi jamii na wanamichezo. Picha na Selemani Kodima. Katika Bonanza hilo ambalo limehusisha Mchezo wa mpira wa Miguu kwa kushuhudia mechi zikichezwa na baadhi ya timu zikijinyakulia zawadi mbalimbali ikiwemo Mbuzi,Vifaa vya…
6 October 2025, 11:43 am
Aidha, amesema changamoto kubwa kwa vijana wengi wa sasa ni kutegemea wazazi wao badala ya kujituma na kupambana kwa ajili ya maisha yao, hali inayowadumaza kimaendeleo. Picha na Blog. Muhuri amesema ukosefu wa kipato umesababisha baadhi ya wasichana kujiingiza kwenye…
6 October 2025, 11:11 am
Picha ni Mganga Mkuu jiji la Dodoma Dkt. Pima Sebastian na wadau wakifungua jengo la mama na mtoto zahanati ya Chamwino. Picha na Lilian Leopold. Mradi huo ambao ulianza kutekelezwa mwaka 2018 na kukamilika mwezi Septemba 2025, umekuwa miongoni mwa…
3 October 2025, 11:22 am
Licha ya elimu iliyotolewa mwanzoni mwa mpango huo lakini bado haikueleweka kwa wananchi wengi. Na Victor Chigwada. Wakazi wa Kijiji cha Chanhumba Kata ya Handali Wilaya ya Chamwino wamesema imekuwa ni vigumu kupokea zoezi la urasimishaji wa ardhi kwa kuhofia…
3 October 2025, 10:51 am
Picha ya pamoja ya watumishi wa umma na Naibu Katibu Mkuu Bi. Hilda Kabissa alipokuwa akifungua kikao kazi cha sita cha wadau wa usimamizi wa maadili ya kitaaluma na utendaji. Picha na Selemani Kodima. Hili linajiri baada ya Ofisi ya…
2 October 2025, 5:17 pm
Picha ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Doroth Gwajima. Picha na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum. Katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Katiba ya Tanzania imeweka…
2 October 2025, 4:23 pm
Picha ni baadhi ya mabondia watakaoshiriki katika Kibaigwa vitasa mitano tena. Picha na Hamis Makila. Kwa mujibu wa mratibu, mabondia mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya mkoa wa Dodoma na nje yake wamethibitisha kushiriki. Na Hamis Makila. Kuelekea pambano la ngumi…
2 October 2025, 3:42 pm
Mikopo hiyo inawapa faida zaidi ikilinganishwa na mikopo mingine ya mtaani ambayo mara nyingi ina riba kubwa. Na VictorChigwada. Vijana wa Kata ya Msamalo, Wilaya ya Chamwino, wameipongeza serikali kwa kujali kundi la vijana, wanawake, na watu wenye ulemavu kwa…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-