Dodoma FM
Dodoma FM
14 October 2025, 12:36 pm
Hali hiyo imekuwa ikisababisha usumbufu mkubwa kwa wakulima na wafanyabiashara hasa msimu wa masika. Na Victor Chigwada. Wananchi wa vitongoji vya Mugu na Mjiha, vilivyopo Kata ya Idifu, Wilaya ya Chamwino, wameiomba serikali kujenga daraja katika eneo la Nyika, ambalo…
14 October 2025, 12:13 pm
Hatua ya kufungwa kwa transifoma mpya katika kijiji cha Chanhumba italeta faraja kwa wananchi waliokuwa wakikabiliwa na upungufu wa maji. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Chanhumba, Kata ya Handali, Wilaya ya Chamwino, wameanza kupata matumaini juu ya utatuzi…
13 October 2025, 1:50 pm
Picha ni aliyekuwa Kocha Mkuu wa Dodoma jiji FC Vicent Mashami. Picha na ukurasa wa Dodoma Jiji FC Kwa mujibu wa kanuni za Ligi Kuu Tanzania Bara, kila timu inatakiwa kuwa na kocha mwenye leseni ya kiwango kinachokubalika na Shirikisho…
13 October 2025, 11:51 am
Viongozi kisiasa watakiwa kutambua umuhimu wa kulinda amani ya nchi kwenye kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Picha na Mtandao. Rai hiyo imetolewa na Askofu Evance Chande alipokuwa akihubiri kwenye ibada iliyofanyika kanisani hapo lililopo Ipagala Mkoani Dodoma. Na Selemani…
13 October 2025, 11:22 am
Picha ni Mwanasheria wa Baraza la Machifu Tanzania akizungumza na waandishi wa habari mkoani Dodoma. Picha na Selemani Kodima. Watanzania watakiwa kujihadhari na taarifa zisizo sahihi zinazotolewa kwenye mitandaoni ya kijamii zenye lengo la kupotosha umma kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba…
13 October 2025, 10:45 am
Baadhi ya wananchi wamegundulika kuwa na tatizo la mtoto wa jicho, jambo lililosababisha changamoto za kuona kwa baadhi yao. Picha na Mtandao. Kupitia kambi ya huduma za macho, wagonjwa hao wamepatiwa matibabu ikiwemo upasuaji mdogo, hatua iliyowawezesha kurejesha uwezo wao…
13 October 2025, 10:06 am
Hatua hii itasaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi na kuimarisha mazingira ya kujifunzia. Picha na Mtandao. Kupitia mradi wa BOOST, serikali inaendelea kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa kujenga na kukarabati vyumba vya madarasa nchi nzima. Na Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji…
10 October 2025, 3:16 pm
Kupitia siku hii, jamii inatakiwa kutambua umuhimu wa mayai, kwani kupitia ulaji wa mayai, familia zinaweza kupunguza utapiamlo na kuimarisha afya za watoto. Na Anwary Shaban. Siku hii, inayoadhimishwa kila mwaka mwezi Oktoba, inalenga kuongeza uelewa kuhusu nafasi ya yai…
10 October 2025, 11:33 am
Aidha, amebainisha kuwa serikali inaendelea na mchakato wa kuhakikisha kuwa viwanda hivyo vinarejea katika hali ya uzalishaji ili kuimarisha uchumi wa wananchi wa Rungwe na kuongeza tija katika sekta ya kilimo cha chai nchini. Na Selemani Kodima. Katibu Mkuu wa…
10 October 2025, 11:05 am
Picha ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamula katika kikao maalum kilichowakutanisha na wazee wa mkoa. Picha na Selemani Kodima. Kikao hicho kimehitimishwa kwa maazimio ya pamoja ya kuimarisha ushirikiano kati ya viongozi wa serikali na wazee katika…
Is a local radio station with community content, has grown to be one of the leading radio stations in central region.
SERVICES WE OFFER TO OUR CLIENTS ARE
• Live Interviews , Recorded Interviews , Adverts ,Mentions ,Outside broadcasting , Digital marketing ,.Billboards
COVERAGE
Dodoma Region in all its 7 districts It also reaches Tanga-Kilindi,Morogoro-Gairo,kihonda,Manyara-Kiteto,Singida-Manyoni, Iringa -Mtera and Tabora rural.
AREA OF FOCUS
Dodoma FM differentiate itself from other media by preparing programs which directly affect the lives of central region communities. Our main focus are:-